Vodacom Mbeya wasaidia yatimaÂ
WATANZANIA wametakiwa kujitolea kuwalea watoto yatima ili kupunguza wimbi la watoto wa mitaani na wale wanaoishi katika mazingira magumu. Wito huo ulitolewa juzi na Mwenyekiti wa Mtandao wa Yatima mkoani...
Tanzania daima
Habari Zinazoendana
11 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-oRfsWes6WMg/U9JnZW0MreI/AAAAAAAF6Rk/OfRC5Dm0xss/s72-c/unnamed+(27).jpg)
VODACOM FOUNDATION YAFUTURISHA JIJINI MBEYA
![](http://3.bp.blogspot.com/-oRfsWes6WMg/U9JnZW0MreI/AAAAAAAF6Rk/OfRC5Dm0xss/s1600/unnamed+(27).jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-VXy5T8g_J0I/U9JnZ39KI6I/AAAAAAAF6Rs/0WcUMMdhWuE/s1600/unnamed+(28).jpg)
10 years ago
Michuzi18 Jan
ligi kuu ya vodacom yazidi kurindima, kagera city hoi kwa mbeya city, yanga yabanwa na ruvu shooting, azam na simba kidedea
Yanga walistahili ushindi lakini walishindwa kufunga wakati walipata nafasi za wazi kibao.
Huko Kambarage, Shinyanga, Azam FC wameifunga Stand United Bao 1-0 kwa...
9 years ago
Mtanzania17 Aug
Wakala wa ununuzi wasaidia wagonjwa
ALLY BADI
WAKALA wa Ununuzi wa Serikali Mkoa wa Lindi, GPSA umekabidhi msaada wenye thamani ya Sh milioni moja kwa wagonjwa wa Hospitali ya Sokoine mkoani hapa.
Akizungumza baada ya kukabidhi msaada huo, Kaimu Meneja wa Wakala wa Ununuzi Mkoa wa Lindi, Mwakiselu Mwambange, alisema wametoa msaada wa kanga, sabauni za kuogea na kufulia kwa wagonjwa pamoja na makopo ya maziwa kwa ajili ya kusaidia wagonjwa.
Mwambange alisema kitendo hicho ni utamaduni wa wakala wa ununuzi kusaidia watu wenye...
10 years ago
Mtanzania10 Mar
Lowassa, Mbowe wasaidia waathirika Kahama
Sitta Tumma na Paul Kayanda, Kahama
MBUNGE wa Monduli, Edward Lowassa (CCM), ametoa msaada wa Sh milioni 5 kwa waathirika wa mafuriko wilayani Kahama, Mkoa wa Shinyanga.
Fedha hizo zilikabidhiwa jana na Mwenyekiti wa CCM, Mkoa wa Shinyanga, Khamis Mgeja kwa Mkuu wa Mkoa wa Shinyanga, Ali Rufunga.
Wakati wa makabidhiano hayo, waathirika 250 waliohifadhiwa katika Shule ya Msingi Mwakata, walikuwapo pia.
Akizungumza kwa niaba ya Lowassa, Mgeja alisema mbunge huyo alisema yeye na familia yake...
10 years ago
Habarileo04 Jan
Wawata Dar wasaidia wagonjwa mil 9.5/-
WANAWAKE Wakatoliki Tanzania (WAWATA), Jimbo Kuu la Dar es Salaam, wametoa Sh milioni 9.5 kwa ajili ya kusaidia Hospitali ya Taifa ya Muhimbili na Taasisi ya Saratani ya Ocean road.
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-Uni4qsLLr3U/VW3WBu07y-I/AAAAAAAHbd4/ZFIYEW1Vh00/s72-c/unnamed%2B%252855%2529.jpg)
Waliopigania ukombozi China wasaidia Kiluvya ‘B’
![](http://1.bp.blogspot.com/-Uni4qsLLr3U/VW3WBu07y-I/AAAAAAAHbd4/ZFIYEW1Vh00/s640/unnamed%2B%252855%2529.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-rx95TY3vmUQ/VW3WUr3zWtI/AAAAAAAHbeA/Y6HdVIjq-u0/s640/unnamed%2B%252856%2529.jpg)
9 years ago
GPL![](http://globalpublishers.co.tz/wp-content/uploads/2015/11/1-21.jpg?width=650)
WATUMIAJI INSTAGRAM WASAIDIA WAGONJWA OCEAN ROAD
10 years ago
Habarileo12 Jul
Wajerumani wasaidia VETA kufua mafundi stadi
TANZANIA itafaidika kwa kupata mafundi stadi mahiri kama walivyo Wajerumani, baada ya kuzinduliwa kwa awamu ya pili ya Mafunzo ya Uanagenzi, yatakayoendeshwa na Mamlaka ya Mafunzo ya Ufundi Stadi (VETA) kwa ushirikiano na serikali ya Ujerumani kupitia Taasisi ya Hamburg Chamber of Skilled Craft.
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-XMaLgNlWBaM/XsfXR4ANsUI/AAAAAAALrSc/6nJ9sVigsRkUYyP7lubgiGSjeck_yqWuQCLcBGAsYHQ/s72-c/IMG-20200522-WA0022.jpg)
TAKUKURU WASAIDIA MJANE KITETO KUPATA JENGO LAKE
TAASISI ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa (TAKUKURU) imefanikisha kurejesha jengo la mjane Jane Duncan Kaaya ambalo liliporwa na ofisa maendeleo ya jamii wa kata ya Kibaya, Wilayani Kiteto Mkoani Manyara, Janeth Paulo na kutumiwa kukodishwa kama ghala la kuhifadhi mazao.
Akizungumza jana Mkuu wa TAKUKURU, Mkoani Manyara, Holle Joseph Makungu akizungumza alisema mjane huyo aliporwa jengo hilo na ofisa huyo wa maendeleo ya jamii wa Kata ya Kibaya Janeth Paulo tangu mwaka 2017 hadi ...