Waathirika wa mafuriko Kilosa wapewa chakula
TAASISI za kutoka Kuwait za African Relief Commitee , na Africa Muslims Agency, zimetoa misaada kwa waathirika wa mafuriko wa vijiji vya Taarafa ya Magole wilaya za Kilosa Dakawa na Mvomero.
habarileo
Habari Zinazoendana
11 years ago
Habarileo26 Jan
Waathirika mafuriko Kilosa wahitaji misaada zaidi
SERIKALI ya Mkoa wa Morogoro inahitaji misaada zaidi ya kibinadamu, itakayowasaidia watu zaidi ya 8,000 waliokumbwa na mafuriko katika Kata tatu ya Magole, Dumila na Berega zilizopo Tarafa ya Magole, wilayani Kilosa. Misaada hiyo inatakiwa kutokana na makazi yao kubomoka na kujaa maji ya mafuriko na kupoteza vyakula.
11 years ago
Mwananchi23 Jan
Mafuriko yaikumba dumila, kilosa, mamia waathirika na daraja kuvunjika
11 years ago
Habarileo29 Mar
Waathirika mafuriko wapewa mabati 689
SHIRIKA la Nyumba la Taifa (NHC) limetoa mabati 689 yenye thamani ya Sh milioni 15 kwa wananchi wa wilaya za Hai na Mwanga, waliokumbwa na mafuriko. Mafuriko hayo yalisababisha zaidi ya kaya 500 kukosa makazi.
5 years ago
MichuziWANAWAKE TUGHE PWANI WATOA MSAADA WA CHAKULA KWA WAATHIRIKA WA MAFURIKO RUFIJI
Baadhi ya wananchi Wilayani Rufiji Mkoa wa Pwani wamekosa makazi ya kuishi kutokana na nyumba zao pamoja na maduka kuzingirwa na maji ikiwemo wengine kukumbwa na changamoto ya mazao yao mbali mbali zaidi ya hekta 4000 kusombwa na maji kufuatia mvua zinazoendelea kunyesha na kusababisha maafa hayo ambayo yamepelekea wananchi kuishi katika mazingira magumu hivyo kupelekea kuishi katika mazingira magumu.
Hayo yalibainishwa na wananchi hao wakati wa ziara ambayo...
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/72Jod1iYAGGe3LJ0dHasyttnc9M4K6autBMnOXE4byPHFiLJn8HSmPPSVY2lHA4j31KA6IEyPr59N5*g8x1m8dT5PORgXWKL/002.jpg?width=650)
RED CROSS YAPIGWA JEKI KUWASAIDIA WAHANGA WA MAFURIKO KILOSA
10 years ago
Mwananchi05 May
Waathirika wa mafuriko waomba msaada
11 years ago
Tanzania Daima22 Apr
Waathirika wa mafuriko wadai kutelekezwa
BAADHI ya wakazi wa Kijiji cha Bulembo ambao walikumbwa na maafa ya nyumba zao kuanguka na nyingine kuezuliwa na mazao yao kuharibiwa na mvua, wamedai kutelekezwa na serikali. Wakizungumza kwa...
11 years ago
Tanzania Daima18 Apr
Mil. 44/- kusaidia waathirika wa mafuriko
HATIMAYE Kamati ya Uongozi ya Bunge Maalumu la Katiba imeridhia wajumbe wake kukatwa posho ya siku moja ambayo ni sh 70,000 kila mjumbe ili kuwasaidia waliokumbwa na mafuriko, Mkoa wa...
11 years ago
Tanzania Daima07 Jun
Dk. Mwanjelwa alivyosaidia waathirika wa mafuriko Kyela
MBALI na Mbunge wa Jimbo la Kyela mkoani Mbeya, Dk, Harrison Mwakyembe, kutoa misaada kwa waathirika wa mafuriko jimboni humo, Mbunge wa Viti Maalum (CCM), Dk. Mary Mwanjelwa, amejitokeza na...