Wabunge upinzani wamsusia tena JK
Waziri Kivuli wa Nishati na Madini, John Mnyika akizungumza na Wabunge wa Kambi Upinzani wanaounda Umoja wa Katiba ya Wananchi (Ukawa) kuhusu msimamo wa wabunge wa umoja huo kutoendelea kushiriki vikao vilivyobaki vya bunge, Dodoma jana. Kutoka wa pili kulia ni Kiongozi wa Kambi ya Upinzani Bungeni, Freeman Mbowe, Waziri Kivuli wa Ofisi ya Waziri Mkuu (Sera, Uratibu na Bunge), Rajabu Mbarouk Mohammed na Waziri Kivuli wa Katiba na Sheria, Tundu Lissu. Picha na Edwin Mjwahuz
Dodoma. Historia...
Vijimambo
Habari Zinazoendana
11 years ago
GPL
WABUNGE WA UPINZANI WATOKA NJE BUNGE LA KATIBA
10 years ago
Mwananchi23 Nov
Hapatoshi:Wabunge wa upinzani wadai ripoti imechakachuliwa
10 years ago
GPL
UCHAGUZI WA WABUNGE WAFANYIKA BURUNDI LICHA YA UPINZANI KUSUSA
10 years ago
Mwananchi15 May
Wabunge wahoji tena Lowassa kutosafishwa
10 years ago
Mwananchi02 May
Nyalandu aibua tena mgogoro na wabunge
11 years ago
Mwananchi13 Jun
BAJETI 2014/2015: Bajeti yawagawa wabunge, CCM waipongeza, upinzani waiponda
10 years ago
Vijimambo20 Jul
Wabunge marafiki wa Lowassa wajitosa tena kuwania ubunge.

Wabunge wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) waliokuwa wakimuunga mkono Waziri Mkuu wa zamani, Edward Lowassa, katika harakati za kusaka urais, wamechukua fomu za kuomba kuteuliwa kuwania ubunge kupitia chama hicho.
Kabla ya hapo, kulikuwa na uvumi kuwa wabunge hao hawatachukua fomu kutokana na kukatwa kwa Lowassa katika kinyang’anyiro cha urais.
Baadhi ya wabunge hao ambao wamechukua fomu hizo na kuzirejesha jana ni pamoja na Kangi Lugola (Mwibara), Andrew Chenge...
11 years ago
GPLYANGA (WABUNGE) WALIVYOISAMBARATISHA SIMBA (WABUNGE) KATIKA TAMASHA LA MATUMAINI 2014