Wabunge wagombea taa za barabarani
KATIKA kile kinachoweza kutafsiriwa kama kupanda kwa joto la uchaguzi mkuu 2015, Mbunge wa Dodoma Mjini, David Malole na Felister Bura wa Viti Maalum, wote CCM, wameshambuliana mbele ya Waziri...
Tanzania daima
Habari Zinazoendana
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-u1UlqYMnLpU/VYHRtk3vA9I/AAAAAAAHgvg/QI10OigRODg/s72-c/unnamed%2B%252867%2529.jpg)
TAA na CCTV camera za barabarani Zanzibar
![](http://2.bp.blogspot.com/-u1UlqYMnLpU/VYHRtk3vA9I/AAAAAAAHgvg/QI10OigRODg/s640/unnamed%2B%252867%2529.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-JRlV9hFA-GU/VYHRv2qRg5I/AAAAAAAHgvo/BYM0rudHSwg/s640/Zanzibar%2Byapiga%2Bhatua%2B%252Cmafundi%2Bwakifunga%2B%2BTaa%2Bza%2Bbarabarani%2Bpamoja%2Bna%2Bcctv%2Bcamera%2Bkatika%2Beneo%2Bla%2Bmataa%2Bya%2Bkuelekea%2Bdarajani%252Cunguja.jpg)
10 years ago
GPLNGUZO YA TAA BARABARANI ILIYOANGUKA DAR YAFUMBIWA MACHO NA MAMLAKA
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-ZNbBX5akm9w/XoiUOx6mn2I/AAAAAAALmAU/2Ye6qvvpbfoipaJQVZXTokmIrBSk_oF0QCLcBGAsYHQ/s72-c/0D4A3754AAA-768x512.jpg)
BODI YA NISHATI VIJIJINI YAKAGUA UTEKELEZAJI WA MRADI WA TAA ZA BARABARANI WILAYA YA RUANGWA
![](https://1.bp.blogspot.com/-ZNbBX5akm9w/XoiUOx6mn2I/AAAAAAALmAU/2Ye6qvvpbfoipaJQVZXTokmIrBSk_oF0QCLcBGAsYHQ/s640/0D4A3754AAA-768x512.jpg)
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/04/0D4A3766AAA-1024x682.jpg)
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/04/0D4A3769AAA-1024x682.jpg)
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/04/0D4A3770AA-1024x682.jpg)
Kamati ya Ufundi ya Bodi ya Nishati Vijijini imekagua utekelezaji wa mradi wa kujenga taa za barabarani katika Halimashauri ya Wilaya ya Ruangwa na kushauri Halimashauri hiyo kuchukua tahadhari ya usalama wa nguzo za taa hizo.
Ushauri huo umetolewa tarehe 03/04/2020 na Mwenyekiti wa Kamati ya Ufundi ya Bodi ya Nishati Vijijini (REB), Mhandisi Styden Rwebangira wakati wa ziara ya kukagua utekelezaji wa miradi ya kusambaza nishati vijijini katika Mkoa wa Lindi. “Mfikirie jinsi gani ya kukinga...
5 years ago
CCM Blog![](https://1.bp.blogspot.com/-Z0h0pqw5kCM/Xp2P0NvasWI/AAAAAAALnhM/asDGLaPP6JwnaOpX3n0ZbCSK9fPMhzPUgCLcBGAsYHQ/s72-c/DSC_5479.jpg)
BODI YA USHAURI TAA YAIANGUKIA SERIKALI ISAIDIE TAA KATIKA KIPINDI HIKI CHA JANGA LA COVID 19
Na Bahati Mollel,TAA
BODI ya Ushauri (MAB) ya Mamlaka ya Viwanja vya Ndege Tanzania (TAA), imeiangukia serikali iisaidie TAA kuigharama huduma mbalimbali za uendeshaji kwenye viwanja vya ndege kutokana na kuathiriwa kwa asilimia 100 na ugonjwa wa homa kali ya mapafu (COVID19), inayoambukizwa na virusi vya corona.
Mwenyekiti wa MAB, Dkt. Masatu Chiguma, ametoa kauli hiyo mwishoni mwa wiki kwenye kikao cha dharura cha Bodi hiyo, kilichofanyika katika ukumbi wa mikutano wa Jengo la Watu Mashuhuri...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-Z0h0pqw5kCM/Xp2P0NvasWI/AAAAAAALnhM/asDGLaPP6JwnaOpX3n0ZbCSK9fPMhzPUgCLcBGAsYHQ/s72-c/DSC_5479.jpg)
BODI YA USHAURI TAA YAIANGUKIA SERIKALI ISAIDIE TAA KATIKA KIPINDI HIKI CHA JANGA LA COVID 19
Na Bahati Mollel,TAA
BODI ya Ushauri (MAB) ya Mamlaka ya Viwanja vya Ndege Tanzania (TAA), imeiangukia serikali iisaidie TAA kuigharama huduma mbalimbali za uendeshaji kwenye viwanja vya ndege kutokana na kuathiriwa kwa asilimia 100 na ugonjwa wa homa kali ya mapafu (COVID19), inayoambukizwa na virusi vya corona.
Mwenyekiti wa MAB, Dkt. Masatu Chiguma, ametoa kauli hiyo mwishoni mwa wiki kwenye kikao cha dharura cha Bodi hiyo, kilichofanyika katika ukumbi wa mikutano wa Jengo la Watu...
11 years ago
Mwananchi31 Mar
Wabunge CCM, Chadema wagombea mradi wa maji
10 years ago
Dewji Blog20 Aug
Taarifa kwa wabunge na wagombea watarajiwa katika uchaguzi mkuu wa 2015 Tanzania
![](http://3.bp.blogspot.com/-K3VlwnTeLGc/U_SIIRglI4I/AAAAAAAAWEI/ZiC9pEu0eIs/s1600/Newala%2B2.jpg)
Uchaguzi Mkuu wa Wabunge na Rais unatarajia kufanyika hapo mwakani, Wabunge na wanaotaka kuwania Ubunge katika majimbo mbalimbali nchini hata urais mnakaribishwa kuandaa TAARIFA YA UTEKELEZAJI WA ILANI YA VYAMA VYENU.
Kitabu kama hicho kitakuwezesha wewe Mgombea kutotumia nguvu kuubwa ya kujinadi badala yake utavigawa kwa wananchi mbalimbali jimboni kwako nawe kuelewa nini umewafanyia katika kipindi ambacho ulikuwa madarakani.
Pia wagombea wapya pia wanaweza andaa vitabu kama hivi...
11 years ago
GPLAIRTEL, BARAZA LA USALAMA BARABARANI KUHAMASISHA USALAMA BARABARANI MSIMU WA SIKUKUU
11 years ago
GPLYANGA (WABUNGE) WALIVYOISAMBARATISHA SIMBA (WABUNGE) KATIKA TAMASHA LA MATUMAINI 2014