Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Wachezaji wa Spurs wahofia kuzomewa

Emmanuel Adebayor, amesema wachezaji wa klabu hiyo wanahofia kuchezea nyumbani kwani wanazomewa na mashabiki wao

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Tanzania Daima

Okwi: Sijali kuzomewa

MSHAMBULIAJI wa Simba, Emmanuel Anord Okwi amewataka mashabiki wa Yanga kuacha kumzomea anapocheza kwa sababu ni kujisumbua bure, haiwezi kumzuia kucheza vizuri. Okwi aliyesajiliwa na Simba kwa mkataba wa miezi...

 

9 years ago

Mwananchi

Wahariri walaani waandishi kuzomewa

Dar es Salaam. Jukwaa la Wahariri Tanzania (TEF), limelaani tukio la wafuasi wa CCM kuwazomea waandishi wa habari wa ITV waliokwenda kufuatilia mapokezi ya Rais mteule, Dk John Magufuli katika ofisi ndogo za CCM, Lumumba, Oktoba 30.

 

11 years ago

Mwananchi

Maria Sarungi: Sikutarajia kuzomewa bungeni

Maria Sarungi ni mwanaharakati na mmoja wa wajumbe wa Bunge Maalumu la Katiba ambaye amejizolea umaarufu katika kipindi kifupi kutokana na msimamo wake wa kutetea haki za raia.

 

9 years ago

StarTV

Mtandao wa wanawake walaani kuzomewa kwa Dk Ackson

Mtandao wa wanawake wa Katiba na Uchaguzi  wamelaani kitendo cha baadhi ya wabunge wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania  kumuuliza maswali ya kejeli  na kumzomea Naibu Spika Wa Bunge,  Dokta Tulia Ackson na kuudhalilisha utu wa mwanamke wakati akijieleza kabla ya kupigiwa kura na kuidhinishwa na Bunge.

Wamesema kitendo hicho ni cha udhalilishaji na aibu kufanywa ndani ya chombo kikubwa cha uamuzi na baadhi ya wabunge ambao ni wawakilishi wa wananchi.

Akizungumzia kitendo hicho ambacho...

 

9 years ago

MillardAyo

TOP 20 ya wachezaji bora wa Ligi Kuu Uingereza 2015, Afrika imetoa wachezaji wawili pekee, Cheki list hapa …

Tukiwa tunaelekea kuumaliza mwaka 2015 na kuingia mwaka mpya 2016 moja kati ya mitandao inayoandika stori za michezo duniani imeandika TOP ya wachezaji bora wakali wa Ligi Kuu Uingereza. Mtandao wa bleacherreport.com umeandika list ya wachezaji 20 wakali wa Ligi Kuu Uingereza kwa mwaka 2015. Hii ndio list ya majina yote 20 mtu wangu. David De […]

The post TOP 20 ya wachezaji bora wa Ligi Kuu Uingereza 2015, Afrika imetoa wachezaji wawili pekee, Cheki list hapa … appeared first on...

 

11 years ago

Habarileo

Mwalimu Mkuu aamrisha mzazi kuzomewa, kupigwa mawe

KATIKA hali isiyokuwa ya kawaida, inadaiwa Mwalimu Mkuu wa Shule ya Msingi Darajani iliyoko Tabata katika Manispaa ya Ilala, Dar es Salaam kuamuru wanafunzi wake kumzomea mzazi aliyefika shuleni hapo kuhoji juu ya michango wanayodaiwa wanafunzi mara kwa mara.

 

11 years ago

Mwananchi

ANC walaani Zuma kuzomewa, wananchi wadai alistahili hilo

Chama Tawala cha Afrika Kusini, Africa National Congress (ANC) kimekasirishwa na kuzomewa kwa Rais wa nchi hiyo, Jacob Zuma wakati wa Ibada ya kitaifa ya heshima za mwisho kwa rais wake wa kwanza mzalendo, Mzee Nelson Mandela.

 

9 years ago

MillardAyo

Baada ya Fabregas kuzomewa na mashabiki wa Chelsea, Pedro kaamua kuongea haya ….

December 19 Ligi Kuu Uingereza iliendelea na moja ya mechi zilizochezwa ni ile ya Chelsea dhidi ya Sunderland, mchezo uliomalizika kwa Chelsea kuibuka na ushindi wa goli 3-1. Katika mchezo huo, mashabiki wa Chelsea walionekana kumzomea Fabregas kwa kauli yake aliyoitoa juu ya Diego Costa kuwa anachangia kupata matokeo mabovu kwa timu hiyo. Mshambuliaji Pedro Rodriguez […]

The post Baada ya Fabregas kuzomewa na mashabiki wa Chelsea, Pedro kaamua kuongea haya …. appeared first on...

 

11 years ago

Mwananchi

Wadau wahofia BRN kukwama

Mpango wa Matokeo Makubwa Sasa (BRN), huenda ukakwama kutokana na changamoto zinazoikabili sekta ya elimu wilayani Karagwe, mkoani Kagera, imebainika.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani