Wachezaji wa Spurs wahofia kuzomewa
Emmanuel Adebayor, amesema wachezaji wa klabu hiyo wanahofia kuchezea nyumbani kwani wanazomewa na mashabiki wao
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
10 years ago
Tanzania Daima08 Sep
Okwi: Sijali kuzomewa
MSHAMBULIAJI wa Simba, Emmanuel Anord Okwi amewataka mashabiki wa Yanga kuacha kumzomea anapocheza kwa sababu ni kujisumbua bure, haiwezi kumzuia kucheza vizuri. Okwi aliyesajiliwa na Simba kwa mkataba wa miezi...
9 years ago
Mwananchi05 Nov
Wahariri walaani waandishi kuzomewa
11 years ago
Mwananchi20 Mar
Maria Sarungi: Sikutarajia kuzomewa bungeni
9 years ago
StarTV21 Nov
Mtandao wa wanawake walaani kuzomewa kwa Dk Ackson
Mtandao wa wanawake wa Katiba na Uchaguzi wamelaani kitendo cha baadhi ya wabunge wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kumuuliza maswali ya kejeli na kumzomea Naibu Spika Wa Bunge, Dokta Tulia Ackson na kuudhalilisha utu wa mwanamke wakati akijieleza kabla ya kupigiwa kura na kuidhinishwa na Bunge.
Wamesema kitendo hicho ni cha udhalilishaji na aibu kufanywa ndani ya chombo kikubwa cha uamuzi na baadhi ya wabunge ambao ni wawakilishi wa wananchi.
Akizungumzia kitendo hicho ambacho...
9 years ago
MillardAyo30 Dec
TOP 20 ya wachezaji bora wa Ligi Kuu Uingereza 2015, Afrika imetoa wachezaji wawili pekee, Cheki list hapa …
Tukiwa tunaelekea kuumaliza mwaka 2015 na kuingia mwaka mpya 2016 moja kati ya mitandao inayoandika stori za michezo duniani imeandika TOP ya wachezaji bora wakali wa Ligi Kuu Uingereza. Mtandao wa bleacherreport.com umeandika list ya wachezaji 20 wakali wa Ligi Kuu Uingereza kwa mwaka 2015. Hii ndio list ya majina yote 20 mtu wangu. David De […]
The post TOP 20 ya wachezaji bora wa Ligi Kuu Uingereza 2015, Afrika imetoa wachezaji wawili pekee, Cheki list hapa … appeared first on...
11 years ago
Habarileo09 Aug
Mwalimu Mkuu aamrisha mzazi kuzomewa, kupigwa mawe
KATIKA hali isiyokuwa ya kawaida, inadaiwa Mwalimu Mkuu wa Shule ya Msingi Darajani iliyoko Tabata katika Manispaa ya Ilala, Dar es Salaam kuamuru wanafunzi wake kumzomea mzazi aliyefika shuleni hapo kuhoji juu ya michango wanayodaiwa wanafunzi mara kwa mara.
11 years ago
Mwananchi12 Dec
ANC walaani Zuma kuzomewa, wananchi wadai alistahili hilo
9 years ago
MillardAyo21 Dec
Baada ya Fabregas kuzomewa na mashabiki wa Chelsea, Pedro kaamua kuongea haya ….
December 19 Ligi Kuu Uingereza iliendelea na moja ya mechi zilizochezwa ni ile ya Chelsea dhidi ya Sunderland, mchezo uliomalizika kwa Chelsea kuibuka na ushindi wa goli 3-1. Katika mchezo huo, mashabiki wa Chelsea walionekana kumzomea Fabregas kwa kauli yake aliyoitoa juu ya Diego Costa kuwa anachangia kupata matokeo mabovu kwa timu hiyo. Mshambuliaji Pedro Rodriguez […]
The post Baada ya Fabregas kuzomewa na mashabiki wa Chelsea, Pedro kaamua kuongea haya …. appeared first on...
11 years ago
Mwananchi10 Apr
Wadau wahofia BRN kukwama