Wadau wahofia BRN kukwama
Mpango wa Matokeo Makubwa Sasa (BRN), huenda ukakwama kutokana na changamoto zinazoikabili sekta ya elimu wilayani Karagwe, mkoani Kagera, imebainika.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
11 years ago
Mwananchi07 Jun
Wazee wazidi kukwama
11 years ago
Tanzania Daima06 Apr
Wafanyabiashara waeleza sababu za kukwama
WAFANYABIASHARA wadogo nchini wametaja sababu zinazowakwamisha katika biashara zao kuwa ni riba kubwa inayotozwa na mabenki, ukosefu wa masoko na kodi zisizofuata utaratibu. Wakizungumza katika semina iliyoandaliwa na kampuni inayojihusisha...
11 years ago
Mwananchi12 May
Bajeti ya Kilimo ‘chupuchupu’ kukwama
10 years ago
Nipashe28 Sep
Rasimu iliyopendekezwa hatarini kukwama
Rasimu ya Katiba Mpya inayopendekezwa na Bunge Maalum la Katiba (BMK) ipo katika hatari ya kukwama kupitishwa na baadhi ya wajumbe, kufuatia kukosekana kwa kipengele kinachoruhusu Mahakama ya Kadhi.
Msimamo huo ulitolewa jana na wajumbe hao kwa nyakati tofauti, ndani na nje ya ukumbi wa Bunge.
Sheikh Masoud Jongo, baada ya kuruhusiwa kuchangia mjadala bungeni alisema;
"Tulileta mapendekezo yetu, mpaka sasa tunaona kimya tunachotaka kujua yataingizwa au hayaingizwi.?
Kama hayaingizwi...
11 years ago
Mwananchi25 Feb
Mbunge ahofia Rasimu ya Katiba kukwama
11 years ago
Mwananchi27 Jan
Utekaji malori wasababisha maelfu kukwama Nzega
11 years ago
Michuzi13 Aug
10 years ago
Habarileo05 Jun
Sababu ya kukwama reli Arusha-Musoma yatajwa
UGUNDUZI wa madini ya red nickel pamoja na kilometa 13 zinazohitaji daraja katika Ziwa Victoria, ni miongoni mwa mambo yaliyochelewesha ujenzi wa reli mpya ya kutoka Arusha hadi Musoma, imefahamika.
10 years ago
Mwananchi17 Jan
Ahadi ya Pinda Mahakama ya Kadhi hatarini kukwama