Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


WAJANJA WA NDALA, NZEGA WAMESTUKA!

Wasanii mbalimbali wakisalimia na mgombea mwenza wa nafasi ya urais kwa tiketi ya CCM, Bi. Samia Suluhu, eneo la Ndala, Nzega Vijijini, jana.Wasanii wakitangaza kampeni yao ya 'Nimestuka'.

GPL

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Michuzi

Hotuba ya Dkt. Hamisi Kigwangalla, Mbunge wa Jimbo la Nzega na Mwenyekiti wa Kamati ya Bunge ya TAMISEMI Alipopokelewa Jimboni Nzega Baada ya Kutangaza Nia Kugombea Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania

Awali ya yote nianze kwa kumshukuru mwenyezi mungu, mwingi wa rehema na mwenye kurehemu, kwa kutujalia afya njema na kutukutanisha hapa siku hii adhimu ya leo, maana ni kwa utashi wake tu tunaweza kuyafanya haya yote.


Nitumie fursa hii kwa namna ya kipekee kuwashukuru nyote kwa kuacha shughuli zenu kuja kunipokea na kushiriki mkutano huu. Mmenipa heshima kubwa sana na mimi nawajibika tu kusema ‘ahsanteni sana’.


Mimi hapa ni aidha mtoto wenu, mjukuu wenu ama mdogo wenu, mnapoacha shughuli zenu...

 

11 years ago

GPL

JOKATE AELEZEA BIDHAA YAKE MPYA YA NDALA


                                    Mwanamitindo na mtangazaji wa TV nchini, Jokate Mwegelo. Picha ya bidhaa mpya ya ndala ya Kidoti. Mwanamitindo na mtangazaji wa TV nchini, Jokate Mwegelo amefunguka kwa kusema kuwa ameamua kufungua biashara ya ndala za brand yake ya ‘Kidoti’ kutokana na mapenzi yake ya...

 

10 years ago

Tanzania Daima

Chuo cha ualimu Ndala chasaidiwa madawati

MFUKO wa Pensheni kwa Watumishi wa Umma (PSPF), umetoa msaada wa madawati 100 yakiwa na tahamani ya sh milioni 8 kwa Chuo cha Ualimu Ndala wilayani Nzega Mkoa wa Tabora....

 

10 years ago

Michuzi

LEO IMETIMIA MIAKA 10 TOKA FREDDY "SUPREME" NDALA KASHEBA ATUTOKE

Na John KitimeLEO tunatimiza miaka kumi toka kifo cha mwanamuziki mahiri Freddy Supreme au maarufu kama Ndala Kasheba. Freddy alianza kufundishwa gitaa na baba yake wakati akiwa na umri wa miaka 12. Baba yake alijua kupiga gitaa japo hakufanya kazi ya uanamuziki, alikuwa akipiga gitaa nyumbani baada ya saa za kazi.Moja ya bendi maarufu ambazo zilimtambulisha sana Fredd ilikuwa Orchestra Fauvette, Freddy alieleza kuwa bendi ya Orchestra Fauvette ilianza tarehe 7 mwezi wa sita mwaka 1964...

 

11 years ago

Bongo5

Nature aapa kutoweka wazi miradi yake, ni baada ya idea ya ndala kuchukuliwa

Msanii mkongwe wa muziki kutoka TMK, Juma Nature amesema baada ya kuibiwa idea yake ya biashara ya ndala amejifunza kutoweka wazi miradi yake iliyopo kwenye ‘pipeline’. Nature ameiambia Bongo5 kuwa amekoma kutangaza miradi yake hadi pale itakapokuwa imekamilika. “Watu wanakuwa matajiri kwa idea za kwangu mimi, sasa hivi siwezi kuzinadi kazi zangu kwa sababu zinapotea, […]

 

10 years ago

Raia Mwema

Abrakadabra ni neno la wajanja!

JAMII yetu iko kwenye hali ya mkanganyiko.

Maggid Mjengwa

 

11 years ago

BBCSwahili

Walevi wajanja wa Nairobi, Kenya

Madereva walevi nchini Kenya wamebuni njia za kufika nyumbani huku wakikwepa kifaa cha 'Alcoblow' kinachotumiwa na polisi kuwanasa

 

10 years ago

Vijimambo

NEW YORK - JIJI LA WAJANJA LAVAMIWA NA WALEGEVU WA MAMBO

Jiji la New York jana jumapili lilikuwa baadhi ya mitaa haipitiki, baada ya kufungwa na kuwapa fursa walegevu wa mambo ( wasenge)  kusherehekea na kupongezana baada ya mahakama juu nchini marekani  kuhalalisha ndoa ya jinsia moja, (mwanamke kumuowa mwanamke mwengine, na mwanamme kumuowa mwanamme mwengine, kitu ambacho kimewatia hasira baadhai ya wana dini na kuandaa kupingana na uamuzi huoo wa mahakama ya juu





















 

10 years ago

Vijimambo

Wachaga Wamegawanyika Kama ifuatavyo, Sio Wote ni Wajanja!


Wachaga wamegawanyika kama ifuatavyo, sio wote wajanja. Kuna:-1. Warombo wajanja sana kibiashara/wezi pia, wameajiri Wamarangu mjini ni walevi sana hupeleka wake zao vijijini wakileta kiburi mjini. Wanawake zao ni mama Huruma, wanaachia tu.. Ukioa mrombo ujue umeolea kijiji.
2. Kuna Wamarangu wazuri sana wa sura na umbo wanawachuna Warombo. Wanawake wana dharau sana na wanaume ni waoga kuliko wanawake. Mwanaume wa Marangu kupigwa na mkewe si jambo la ajabu.
3. Kuna Wakibosho wanafanana na...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani