Wakazi Tanga kutumia stendi ya Kange
WAKAZI wa Jiji la Tanga wametakiwa kukitumia kituo kipya cha mabasi yaendayo mikoani na wilayani kilichopo Kange ingawa bado kuna baadhi ya changamoto za kukamika kwake. Rai hiyo ilitolewa na...
Tanzania daima
Habari Zinazoendana
5 years ago
Michuzi
KAMPUNI YA ASAS YAKABIDHI STENDI KUU YA IGUMBILO NA STENDI YA ZAMANI MTAMBO WA KUNAWIA MIKONO
NA DENIS MLOWE,IRINGA
STENDI kuu ya Igumbilo na stendi ya zamani zimekabidhiwa msaada wa mashine ya kunawia mikono ya kisasa kutoka kwa kampuni ya Asas ya mjini Iringa ikiwa ni mwendelezo wa kampuni hiyo kusaidia jamii kupambana na kuenea kwa virusi vya coroni mkoani hapa.
Msaada huo wa mashine mbili za kisasa ambazo zinazinatumia miguu kuweza kutoa maji na vitakasa mikono ni kubwa zinazoweza kuhudumia watu zaidi ya watano kwa wakati mmoja zimekabidhiwa na mwakilishi wa kampuni hiyo, Afisa...
5 years ago
MichuziTANGA UWASA KUTUMIA FEDHA ZA NDANI KUENDELEZA HUDUMA YA MAJI MARUNGU
Tanga (Tanga Uwasa) Mhandisi Rashid Shabani akizungumza wakati wa
mkutano huo
Afisa huduma kwa Wateja Tanga Uwasa ambaye kwa sasa ni Kaimu Mkuu wa kitengo cha Huduma kwa Wateja Rogers Machaku akizungumza wakati wa mkutano huo kushoto anayemfuatilia kwa umakini ni Afisa Uhusiano wa Tanga Uwasa Devotha Mayala
Afisa Uhusiano wa Tanga Uwasa Devotha Mayala akisisitiza jambo wakati wa mkutano huo
Meza kuu...
11 years ago
GPL
ROSE MUHANDO AWAKUNA WAKAZI WA TANGA UWANJA WA MKWAKWANI LEO
Mwimbaji mahiri wa nyimbo za kiroho a.k.a Injili na anaetamba na wimbo mpya wa Facebook,Rose Muhando akiwa sambamba na skwadi lake zima wakilishambulia jukwaa vilivyo jioni ya leo ndani ya uwanja wa Mkwakwani wakati wa muendelezo wa tamasha la Krisimasi lililofanyika leo Mkoani Tanga. Tamasha hilo ndio kwa mara ya kwanza linafanyika mkoani humo,limezindundiliwa jijini Dar siku ya Krisimasi ndani ya uwanja wa Taifa na...
10 years ago
Michuzi06 Jan
10 years ago
Michuzi
NSSF YAENDESHA ZOEZI LA UPIMAJI AFYA BURE KWA WAKAZI WA TANGA



BOFYA...
11 years ago
Bongo501 Sep
Kili Music Tour 2014: Jinsi wakazi wa Tanga walivyozungusha Kikwetu (Picha)
Mkoa wa Tanga umefunga matamasha ya Kili Music Tour yaliyokuwa yakizunguka mikoa mbalimbali nchini kwa show iliyojaza umati mkubwa wa mshabiki uwanja wa Mkwakwani. Mtangazaji wa EATV Abdallah Hamis Ambuaa “Dulla” akiendesha shindano kwa kina dada wa Tanga waliojitokeza uwanjani kushuhudia Kili Music Tour Tamasha hilo linalodhaminiwa na bia ya Kilimanjaro Premium Lager lilipambwa na […]
11 years ago
Michuzi
WAKAZI WA JIJI LA TANGA NA VITONGOJI VYAKE WAKUBALI MAKAMUZI YA TAMASHA LA FIESTA 2014.





11 years ago
GPL
KANGE LUGOLA ALIVYOTINGA BUNGENI NA BANGO
Mbunge wa Mwibara, Kange Lugola akiomba kura za kuwania nafasi ya Mjumbe  wa Tume ya Utumishi Bungeni kwenye ukumbi wa Bunge mjini Dodoma leo. Mbunge…
10 years ago
Michuzi
KATIBU MKUU WA CCM,NDUGU KINANA AWASHUKURU WAKAZI WA TANGA KWA KUFANYA VYEMA UCHAGUZI WA SERIKALI ZA MITAA.



Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
08-May-2025 in Tanzania