Wapambanaji wa ufisadi wazua maswali
UKIMYA wa wanasiasa walioongoza harakati za kupambana na ufisadi katika majukwaa ya kisiasa, wakati huu Serikali ikichukua hatua za wazi na haraka kukabiliana na ubadhirifu wa mali za umma, umeibua maswali kuhusu uzalendo kwa nchi yao.
habarileo
Habari Zinazoendana
9 years ago
Global Publishers04 Jan
Kendall, Harry Styles wazua maswali
Modo kiwango Kendall Jenner akiwa na mwanamuziki Harry Stayles.
CARIBBEAN, Mexico
BAADA ya wiki iliyopita kuonekana wakiwa pamoja kwenye mtoko wa chakula cha usiku, modo kiwango Kendall Jenner na mwanamuziki Harry Stayles wameonekana tena wakiwa katika mikao ya kimahaba kwenye boti huko Carribean.
Wawili hao ambao wanaripotiwa kuwa kwenye uhusiano wa kimapenzi bado hawajazungumza lolote kuhusu hali iliyopo baina yao kwa sasa licha ya kuwa wamekuwa wakionekana kuwa kwenye mikao ya kimahaba.
9 years ago
Vijimambo![](http://1.bp.blogspot.com/-apVUKOxd6HA/Vec3APIPqEI/AAAAAAAAHfI/H5O_5A7b8Uw/s72-c/Eyakuze.jpg)
Utafiti wazua taharuki, waibua maswali tata.Kura za maoni: Twaweza yaipa CCM ushindi wa 65%, Ukawa 25%
![](http://1.bp.blogspot.com/-apVUKOxd6HA/Vec3APIPqEI/AAAAAAAAHfI/H5O_5A7b8Uw/s640/Eyakuze.jpg)
Matokeo ya utafiti kuhusu uchaguzi mkuu yaliyompa ushindi wa asilimia 65 mgombea wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Dk. John Magufuli dhidi ya asilimia 25 za Edward Lowassa wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) yameibua taharuki kubwa huku baadhi wakiupinga, kuunga mkono na wengine kuibua maswali kadhaa magumu.
Akizungumza mbele ya waandishi wa habari jijini Dar es Salaam jana, katika tukio lililorushwa moja kwa moja (live)...
11 years ago
Tanzania Daima04 Jun
Maswali saba kwa Waziri Muhongo kuhusu ufisadi IPTL
IFAHAMIKE kwamba ufisadi katika Akaunti ya Baraza la Usuluhishi la Migogoro ya Kibiashara (Escrow) ya Benki Kuu ya Tanzania (BoT), msingi wake ni mkataba wa kifisadi wa IPTL uliosainiwa mwaka...
11 years ago
Tanzania Daima17 Dec
Wahitimu Mzumbe Mbeya washauriwa kuwa wapambanaji
VIJANA wahitimu wa vyuo vikuu wameshauriwa kuingia katika soko la ajira wakiwa wanajiamini na kujipambanua kiuwezo kutokana na elimu waliyopata chuoni. Akizungumza wakati wa mahafali ya 12 ya Chuo Kikuu...
10 years ago
Vijimambo22 Apr
Ufisadi, ufisadi, ufisadi TRL
![](http://www.ippmedia.com/media/picture/large/Sitta-22April2015.jpg)
Aidha, imebainika pia kuwa ya...
9 years ago
Mtanzania23 Sep
Twaweza wazua mjadala
NA WAANDISHI WETU, DAR ES SALAAM
UTAFITI uliofanywa na Taasisi ya Twaweza umepokewa kwa hisia tofauti na watu wa kada mbalimbali.
Kwa mujibu wa utafiti huo uliotangazwa jana, kama uchaguzi mkuu wa rais, wabunge na madiwani ungefanyika leo, mgombea wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Dk. John Magufuli, angeibuka na ushindi wa asilimia 65, huku mgombea wa Chadema chini ya mwamvuli wa Ukawa, Edward Lowassa, akipata asilimia 25.
Akitangaza matokeo ya Twaweza Dar es Salaam jana, Mkurugenzi Mtendaji...
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/wfufAsrgkK*avof-8Hp4X5pwi7hMSWYUOyxmS5WDOYoJmQewrZGWyGM06oFECueiGpdBd3pmg3FwJFnTNIilMrybRQR9irWu/WOSIA.jpg?width=650)
WOSIA WA GURUMO WAZUA UTATA
10 years ago
Tanzania Daima01 Sep
Wanafunzi wazua tafrani Nkasi
WANAFUNZI wapya 52 wa kidato cha tano katika shule ya sekondari Kati wilayani Nkasi, Rukwa wamefanya vurugu lililolazimisha nguvu ya polisi kutumika baada ya kuzuiwa kufanya sherehe ya kujikaribisha hadi...
10 years ago
Mtanzania31 Mar
Vijana wazua vurugu Mbeya
Na Pendo Fundisha, Mbeya
KUNDI la vijana linalosadikiwa kuwa ni vibaka limeibuka na kufanya vurugu zilizoambatana na uvunjifu wa amani katika eneo la Soweto na Mwanjelwa jijini hapa.
Kutokana na hali hiyo, Polisi mkoani Mbeya walilazimika kutumia nguvu ya ziada kuwatawanya vijana hao ambao tayari walianza kuweka matairi, mawe na magogo kwenye barabara kuu ya Dar es Salaam-Zambia katika eneo la Mwanjelwa.
Kabla ya vurugu hizo baadhi ya wafanyabiashara ambao walikuwa kwenye mgomo wa...