Wapongeza DASIP kuwatoa kimasomaso
Na Ahmed Makongo, Bunda
WAKULIMA walioko kwenye vikundi vinavyowezeshwa na Mradi wa Uwekezaji katika Kilimo Wilayani (DASIP) wilayani Bunda, wameupongeza mpango huo kwa uwainua kiuchumi.
Baadhi ya wakulima hao waliipongeza DASIP kwa kusaidia kuinua maisha yao tofauti na ilivyokuwa miaka michache iliyopita.
Wakiongozwa na mkulima bora wa mkoa wa Mara, Mugole Lusungura, walisema kabla ya mradi huo kuanza, walikuwa na maisha duni ikilinganishwa na sasa.
“Kabla ya DASIP, maisha yetu yalikuwa dunia...
Uhuru Newspaper
Habari Zinazoendana
11 years ago
GPL25 Jul
11 years ago
Mwananchi09 Jun
Wawakilishi wa Afrika watatutoa kimasomaso?
10 years ago
GPLMASTAA WALIOTUTOA KIMASOMASO KIMATAIFA 2014
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/uVSra6c8ZxUTXZg91jLmvFkxt1Yr7w*CoIwEtj4zXKSEbXJ1Z5tYn4TCXdK2qxGmWyfJtWVGOkTEdMO*vDKovoXK3o84kVGr/VANESSAMDEE.jpg?width=650)
VANESSA AWATOA KIMASOMASO WASANII WA KIKE
10 years ago
Mwananchi09 Feb
MAONI: Azam, Yanga watoeni kimasomaso Watanzania
10 years ago
Mwananchi02 Sep
Sekondari ya Nangwa yautoa kimasomaso mkoa wa Manyara
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/lu8a2-fLGRnP3iONX8dMDWbl1ZgL8y32wwOf7*zQAON4rbxefQxTOFZZ-ZbV7ZAqvpH6XI2CUA80T1ujakGrvaKCFBOqwWWW/tamasha.jpg)
ALI KIBA TALK OF THE TOWN - KUZINDUA MWANA NA KIMASOMASO
10 years ago
Vijimambo![](http://1.bp.blogspot.com/-t4Rf0wh2cuE/VaZ8iORxTOI/AAAAAAAAFuc/bM7lxun7IVE/s72-c/zahara_michuzi_viti_maalum_ccm_tabora%2B%25281%2529.jpg)
Binti wa Michuzi Ajitoa Kimasomaso; Achukua Form ya Ubunge wa Viti Maalum
![](http://1.bp.blogspot.com/-t4Rf0wh2cuE/VaZ8iORxTOI/AAAAAAAAFuc/bM7lxun7IVE/s640/zahara_michuzi_viti_maalum_ccm_tabora%2B%25281%2529.jpg)
Zahara Michuzi alipowasili katika ofisi za CCM mkoa wa Tabora ili kuchukua form ya kugombea viti maalum kwa vijana.
Zahara Michuzi ni binti wa Issa Michuzi blogger na mpiga picha hodari wa rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mh. Jakaya Mrisho Kikwete ambaye anamalizia muda wake sasa.
Binti wa Michuzi mara baada ya kuhitimu elimu yake ya shahada yake ya uchumi UDOM ameona ni vyema akawatumikua wananchi wa nyumbani kwake mkoani Tabora kwa kutangaza nia ya kugombea ubunge wa viti maalum kwa...
10 years ago
Dewji Blog07 Dec
Idris Sultan aitoa kimasomaso Tanzania kwenye shindano la Big Brother Africa Hotshots
Mshiriki wa Tanzania kwenye shindano la Big Brother Africa Hotshots Idris Sultan ameibuka kidedea kwa kutwaa taji msimu wa 9 wa shindano BBA Hotshots na kujinyakulia kitita cha dola za kimarekani 300,000.
Shindano hilo lilidumu kwa muda miezi 2 sawa na siku 60 na kumalizika usiku leo nchini Afrika Kusini, ambalo lilishirikisha washiriki 26 kutoka nchi mbalimbali za bara la Afrika na kisha baadhi yao kutolewa kwa kukosa kura na matukio mbalimbali yaliyokuwa yakiendelea ndani ya jumba hilo na...