Wazalishaji watakiwa kuzingatia mafunzo kukuza mitaji yao
![](https://1.bp.blogspot.com/-TF1qKofF9r8/XliYXkMG60I/AAAAAAALfxU/SsdKoM8dpPs0GRGP_5Rkk5ZgAUWWsBKJACLcBGAsYHQ/s72-c/09cdfb99-78ec-4bd6-b414-e92b17bba07b.jpg)
Na Ripota Wetu Kongwa .
WILAYA Kongwa imewataka wajasiriamali kuzingatia mafunzo yanayotolewa na Serikali pamoja na taasisi zake yenye lengo la kuboresha bidhaa wanazozizalisha, kukuza mitaji yao na hatimaye kupata uhakika wa soko la bidhaa.
Kauli hiyo ilitolewa hivi karibuni na Katibu Tawala wa Wilaya ya Kongwa, Audiphace Mushi, akimwakilisha Mkuu wa Wilaya hiyo, Deogratius Ndenjembi, wakati akifungua mafunzo kwa wazalishaji wa mafuta ya alizeti na wauzaji wa bidhaa za chakula na dawa...
Michuzi
Habari Zinazoendana
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-CNV8H_qNsos/XlKbXmWYVFI/AAAAAAALe7E/wKYLpZhKNQgaN-5faV6NC7hHTBw-67yZACLcBGAsYHQ/s72-c/3ba8b1f5-4f7d-4569-8486-99f701e39935.jpg)
Wazalishaji watakiwa kuzingatia viwango
WAZALISHAJI wa bidhaa mbalimbali mkoani Singida wametakiwa kutambua kuwa suala la viwango ni la kisheria hivyo ni lazima kuthibitisha ubora wa bidhaa ili kumlinda mlaji na kupata uhakika wa soko la bidhaa wanazozizalisha.
Kauli hiyo ilitolewa mwishoni mwa wiki na Mkuu wa Mkoa wa Singida Mhe. Dkt Rehema Nchimbi alipokuwa akifungua mafunzo ya wazalishaji wa bidhaa za vyakula yakiwemo mafuta ya alizeti na wauzaji wa vipodozi na vyakula yaliyofanyika katika ukumbi wa...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-Dwmg0Kie35A/XnczGmM9bDI/AAAAAAALkuA/KdKByf4lYTcp82cDXYcmGMzC5vrKGh30gCLcBGAsYHQ/s72-c/daimu%2Bpicha.jpg)
DC NJOMBE AWATAKA WAKULIMA KUJIUNGA CHAMA CHA USHIRIKA KUKUZA MITAJI YAO
Na Shukrani Kawogo, Njombe.
Mkuu wa Wilaya ya Njombe, Ruth Msafiri amewataka wakulima kujiunga kwenye chama cha ushirika ili kuweza kukuza mitaji yao kwa kuitumia Benki ya Maendeleo ya Wakulima (TADB) iliyoanzishwa na serikali kwa lengo la kumwezesha mkulima.
Hayo alitasema katika uzinduzi wa shamba la mfano la upandaji wa miti lenye ukubwa wa hekali mbili uliofanywa na wakala wa huduma za misitu Tanzania (TFS) katika kijiji cha Mikongo, Kata ya Kifanya wilayani Njombe ikiwa ni njia ya...
9 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-tK5NvkqYl2o/VdLS6BWtkPI/AAAAAAAHx5Q/gZmpPVQY6vU/s72-c/unnamed%2B%252830%2529.jpg)
madereva wa BRT watakiwa kuzingatia mafunzo, weledi katika kutoa huduma
10 years ago
Vijimambo![](http://4.bp.blogspot.com/-hgVQFQ0fSl8/VVd8CjLjuuI/AAAAAAABOkg/6sE6f9_4_rs/s72-c/anna-tibaijuka.jpg)
PROF. TIBAIJUKA ACHANGIA MIL 60 KUKUZA MITAJI YA WANAWAKE JIMBONI MWAKE
![](http://4.bp.blogspot.com/-hgVQFQ0fSl8/VVd8CjLjuuI/AAAAAAABOkg/6sE6f9_4_rs/s640/anna-tibaijuka.jpg)
Profesa Tibaijuka amesema kuwa...
9 years ago
MichuziWAKAGUZI WATAKIWA KUZINGATIA WELEDI
10 years ago
Tanzania Daima08 Sep
Wahitimu JKT watakiwa kuzingatia utii
JESHI la Kujenga Taifa (JKT), limewataka wahitimu wa mafunzo ya awali kuzingatia utii na uwajibikaji katika jamii wanazoishi ili kuepuka migogoro. Aidha, kupitia mafunzo waliyoyapata yasiwe kwa faida yao pekee...
9 years ago
StarTV01 Oct
Waratibu, wasimamizi watakiwa kuzingatia sheria
Waratibu, wasimamizi wa uchaguzi na wasaidizi wao katika majimbo mbalimbali nchini wametakiwa kuhakikisha wanazifahamu vyema sheria, kanuni na taratibu zinazotawala mchakato huo na kuzizingatia ipasavyo wakati wote wa utekekelezaji wa majukumu waliyopewa.
Lengo ni kuhakikisha kuwa uchaguzi mkuu ujao unakuwa huru na haki kwa kusimamia vyema zoezi la upigaji kura, kuhesabu, kujumlisha na kutangaza matokeo ili kudumisha amani na utulivu uliopo.
Zikiwa zimebaki siku 24 kabla ya kufanyika kwa...
9 years ago
Habarileo23 Sep
Iringa watakiwa kuzingatia lishe bora
WAKAZI wa mkoa wa Iringa wametakiwa kushiriki vita dhidi ya utapiamlo, udumavu na upungufu wa damu kwa watoto, kwa kuwapa lishe bora.
10 years ago
Habarileo05 Feb
Watumishi wa mahakama watakiwa kuzingatia haki
MAHAKIMU na watumishi wa Mahakama katika Wilaya za Tarime na Rorya mkoani Mara wamehimizwa kuzingatia maadili na weledi katika kazi ili kurejesha imani kwa wananchi kuwa mahakama ipo pale kutafasiri sheria na kutoa haki kwa watu wote.