Wazazi wakana siasa katika kilio Nigeria
Wazazi wa wasichana waliotekwa nyara nchini Nigeria wakanusha madai kuwa wanaingiza siasa katika kilio chao cha kutaka serikali iwaokoe wasichana wao.
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
9 years ago
Bongo501 Dec
Msanii wa Nigeria Burna Boy aponda mfumo wa muziki wa Nigeria, adai umejaa siasa
![Burna-Boy](http://www.bongo5.com/wp-content/uploads/2015/12/Burna-Boy-300x194.jpg)
Muimbaji wa Dancehall kutoka Nigeria, Burna Boy ameponda mfumo wa muziki wa Nigeria na kudai kuwa umejaa siasa ndio sababu hapati tuzo nyingi anazostahili.
Akizungumza na jarida la Fader, Burna amesema kutokana na hayo anajiona kama yeye si sehemu ya muziki wa Nigeria kwasababu kuna baadhi ya watu walioutawala muziki huo wasiompenda.
“Kusema kweli ni siasa tupu, sijioni kama ni sehemu ya kiwanda cha muziki, angalia tuzo, sipati tuzo kwasababu wanaoutawala hawanipendi, mimi sio kama...
11 years ago
BBCSwahili01 May
Ni majonzi wazazi wakiandamana Nigeria
11 years ago
BBCSwahili17 Apr
Nigeria:Wazazi wawasaka watoto msituni
10 years ago
Mwananchi26 Aug
‘Wazazi wekezeni katika elimu’
10 years ago
MichuziKilio cha Mdau juu ya ushuru unaolipishwa katika kituo kikuu cha mabasi Ubungo
Tunawapongeza sana kwa kazi nzuri mnayoendelea kuifanya ya kutujuza mambo mbali mbali yanayoendelea hapa nchini na nje ya mipaka ya nchi yetu,tunawapa BIGI APU sana kwa kweli.
Kupitia libeneke la Globu ya Jamii,naomba nifikishie kero yangu hii kwa wahusika wa Halmashauri ya Jiji,maana leo nilifika pale kwenye stendi kuu ya mabasi (Ubungo Bus Terminal) na kukutana na utaratibu wa kulipisha kiasi cha sh. 300 ikiwa ni gharama ya maegesho ya...
11 years ago
Mwananchi02 Feb
Nafasi ya wazazi katika mavazi ya mtoto
11 years ago
MichuziWAZAZI WATAKIWA KUWEKEZA KATIKA ELIMU
-============ Na...
11 years ago
Tanzania Daima28 Apr
‘Wazazi leeni watoto katika maadili mema’
MSAIDIZI Mkuu wa mahabusu ya watoto iliyopo Upanga, Dar es Salaam, Magreth Minja, amewataka wazazi kuwalea watoto katika maadili mema ili kuepukana na vitendo viovu. Amesema kwa sasa vitendo vya...
9 years ago
Mwananchi16 Sep
‘Marufuku siasa katika soka’