Ni majonzi wazazi wakiandamana Nigeria
Wazazi wa wasichana 230, waliotekwa nyara Kaskazini Mashariki mwa Nigeria, wamefanya maandamano kuiomba serikali ya Nigeria kuongeza juhudi za kuwatafuta watoto wao
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
11 years ago
BBCSwahili17 Apr
Nigeria:Wazazi wawasaka watoto msituni
Wazazi wa takriban watoto 100 waliotekwa nyara na watu wanaoshukiwa kuwa wapiganaji wa kundi la Boko Haram wameingia msituni kuwatafuta watoto wao.
11 years ago
BBCSwahili16 Jul
Wazazi wakana siasa katika kilio Nigeria
Wazazi wa wasichana waliotekwa nyara nchini Nigeria wakanusha madai kuwa wanaingiza siasa katika kilio chao cha kutaka serikali iwaokoe wasichana wao.
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/6LjPLZ8wv3cNhlbTsy7JrUTM2lHk7LKEx3fhWQ1eCVjTyT2GAWj7FnsTaVRuDkCnWjUgDBNOL7b8WszlP52NiQWCpjPD97H8/MSIBA.jpg?width=650)
MAJONZI MAZITO IKULU
Stori: Haruni Sanchawa na Makongoro Oging’ MAJONZI mazito yameikumba Ofisi ya Rais, ikulu jijini Dar es Salaam kufuatia kutokea kwa vifo viwili vya watumishi wa ofisi hiyo wiki iliyopita. Picha ya marehemu Rashidi John Chilwangwa (45). Wa kwanza ni Afisa Usalama wa Taifa Mwandamizi, Silvanus Adriano Mzeru (56) aliyeuawa kwa kupigwa risasi na watu wasiojulikana Aprili 29, mwaka huu maeneo ya Uwanja wa Ndege wa...
10 years ago
Vijimambo![](http://1.bp.blogspot.com/-_OnH5PPF5Pc/VPMuuae-s8I/AAAAAAAAXT4/ndals8FhGEk/s72-c/k1.jpg)
KHADIJA KOPA NDANI YA MAJONZI
![](http://1.bp.blogspot.com/-_OnH5PPF5Pc/VPMuuae-s8I/AAAAAAAAXT4/ndals8FhGEk/s1600/k1.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-3CKZ46cKi8g/VPMvXk-a3AI/AAAAAAAAXUE/mA1QwFEsLJM/s1600/K6.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-ACye_gQnyQ0/VPMugg62hOI/AAAAAAAAXTo/d3k6-UZNZ3o/s1600/k5.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-RUozx0-7VtE/VPMughpdkXI/AAAAAAAAXTs/ZjeA7zzz4wM/s1600/k3.jpg)
Email ThisBlogThis!Share to TwitterShare to Faceboo
11 years ago
BBCSwahili02 Jul
Msongo wa mawazo,majonzi na kilio
Hapa ndipo homa kali ya Ebola ilipowafikisha wakazi wa mataifa ya Afrika Magharibi
10 years ago
GPLMAJONZI MSIBANI NYUMBANI KWA KOMBA
Makazi ya marehemu John Komba, Mbezi Tangi Bovu jijini Dar ...waombolezaji wakilia kwa uchungu nyumbani kwa marehemu…
10 years ago
BBCSwahili03 Dec
Kilio na majonzi kwa waliouawa Mandera
Familia za wachimba machimbo ya kokoto waliouawa na Al Shabaab mjini Mandera leo waliwapokea wapendwa wao baada ya miili yao kufikishwa chumba cha kuhifadhi maiti cha City mjini Nairobi
10 years ago
Mwananchi10 Nov
MAJONZI: Amigolas kuzikwa leo Kisutu
>Mwanamuziki wa bendi ya Ruvu Star inayomilikiwa na Jeshi la Kujenga Taifa (JKT), Hamis Kayumbu Amigolas aliyefariki dunia usiku wa kuamkia jana baada ya kulazwa Hospitali ya Taifa ya Muhimbili kwa siku tano, anatarajiwa kuzikwa leo saa 9:00 kwenye makaburi ya Kisutu, Dar es Salaam.
11 years ago
Mwananchi28 Dec
Mwaka 2013 ulikuwa wa majonzi kwa wasanii
Mwaka 2013 ukiwa unaelekea ukingoni, umekuwa wa huzuni kwenye tasnia ya filamu kutokana na wasanii wengi kupoteza maisha.
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania