Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Waziri ataka miili ya watoto ipatikane

Waziri wa Afya wa Ghana ametoa siku 14 kwa hospitali moja katika mji wa Kumasi itafute miili ya watoto waliopotea

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Michuzi

Naibu Waziri wa Maendeleo ya Jamii, Jinsia na Watoto, Mhe. Dk. Pindi H. Chana afungua kikao cha baraza la watoto dodoma

 Wajumbe wa Kamati Kuu wa Baraza la Watoto wakijadili baadhi ya mambo yanayowahusu watoto pamoja na changamoto zinazo wakabili katika kikao cha Kamati Kuu ya Baraza la Watoto kilichofunguliwa na Naibu Waziri wa Maendeleo ya Jamii, Jinsia na Watoto, Mhe. Dk. Pindi H. Chana mjini Dodoma.

 Naibu Waziri wa Maendeleo ya Jamii, Jinsia na Watoto, Mhe. Dk. Pindi H. Chana na viongozi wengine akimsikiliza  Mwenyekiti wa Baraza la Watoto Ameir Haji Khamis  Naibu Waziri wa Maendeleo ya Jamii, Jinsia na...

 

9 years ago

Habarileo

Shein ataka timu za watoto ziendelezwe

RAIS wa Zanzibar Dk Ali Mohamed Shein amewataka wanamichezo nchini kujenga mapenzi baina yao ili kudumisha michezo kwa faida yao na taifa kwa ujumla. Dk Shein aliyaeleza hayo juzi alipokutana na wanamichezo mbalimbali katika hafla ya ugawaji wa vifaa vya michezo iliyofanyika kwenye viwanja vya Ikulu mjini Unguja.

 

10 years ago

Habarileo

‘Katiba ipatikane kabla ya Rais ajaye’

MJUMBE wa Bunge Maalumu, Askofu Amos Mhagache amemwomba Rais Jakaya Kikwete aache amekamilisha mchakato wa kupata Katiba mpya.

 

11 years ago

Mwananchi

JK ahimiza haki ipatikane kwa wakati

Rais Jakaya Kikwete amewataka wadau wa haki na sheria na vyombo vyote kushirikiana pamoja katika utendaji kazi, ili kuwawezesha walengwa kupata haki zao kwa wakati.

 

11 years ago

Mwananchi

Mbowe: Siyo lazima Katiba ipatikane sasa

Mwenyekiti wa Umoja wa Katiba ya Wananchi (Ukawa), Freeman Mbowe amesema Katiba inayoandaliwa siyo lazima ipatikane kwa sasa kutokana na hofu ya kukosekana kwa maridhiano yanayoendelea kujitokeza miongoni mwao na wajumbe wanaosimamia muundo wa serikali mbili.

 

10 years ago

Mwananchi

Pinda Katiba ipatikane kabla ya Rais mpya

>Waziri Mkuu, Mizengo Pinda amesema atafurahi kuona mchakato mzima wa Katiba ukikamilika kabla rais mpya hajapatikana katika Uchaguzi Mkuu ujao

 

10 years ago

Mwananchi

Graca Machel ataka watoto wa kike walindwe Tarime

Mke wa rais wa kwanza wa Afrika Kusini, Nelson Mandela, Mama Graca Machel ameitaka jamii kuondokana na suala la ukatili wa kijinsia ukiwamo ukeketaji, ndoa na mimba za utotoni kwa lengo la kumlinda mtoto wa kike na kumpa nafasi ya kutimiza ndoto zake.

 

11 years ago

Habarileo

RC Dar ataka tahadhari homa ya ini kwa watoto

MKOA wa Dar es Salaam umesema watoto waliozaliwa kabla ya mwaka 2008 hawana kinga ya ugonjwa wa homa ya ini, hivyo imeagiza Manispaa zote kuwapima na kuwapatia kinga ili kukabiliana na ugonjwa huo hatari. Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Said Meck Sadiki alisema hayo leo katika maadhimisho ya Siku ya Wanawake Duniani na kuwasisitiza wanawake kuhakikisha wanapatiwa chanjo ya ugonjwa huo hasa wakati wa ujauzito.

 

9 years ago

Mtanzania

Waziri ataka kambi ya kudumu

kigwangal3NA CHRISTINA GAULUHANGA, DAR ES SALAAM

NAIBU Waziri wa Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto, DK. Hamis Kigwangala, ameipa miezi sita Manispaa ya Ilala jijini Dar es Salaam kujenga kambi ya kudumu ya wagonjwa wa Kipundupindu.

Agizo hilo la Dk. Kigwangala linakwenda kinyume na mtazamo wa Rais Dk. John Magufuli ambaye amekuwa akihimiza suala la usafi ili kutokomeza ugonjwa wa kipindupindu nchini.

Katika kuhakikisha ugonjwa huo unatokomezwa, Rais Magufuli alifuta sherehe za Uhuru za...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani