YANGA DIMBANI LEO DHIDI YA ANKARA SEKER SPOR
Mabingwa wa soka wa Tanzania Bara, Yanga leo wanacheza mechi yao ya kwanza dhidi ya timu daraja la kwanza ya Ankara Seker Spor, Mechi hiyo itachezwa saa 9.00 za Tanzania kwa mujibu wa Mwenyekiti wa Mashindano wa kimataifa wa Yanga, Seif “Magari†Ahmed amesema Ahmed alisema kuwa wachezaji wanaendelea vizuri na mpaka sasa wamepania kufanya vyema katika mchezo huo ambao unatarajiwa kuwa mkali na wa kusisimua.Alisema kuwa...
GPL
Habari Zinazoendana
10 years ago
BBCSwahili27 Feb
Kombe la Shirikisho:Yanga dimbani leo
11 years ago
Mwananchi11 Jan
Yanga kuivaa Ankara SekerSpor
10 years ago
Mwananchi21 Aug
Simba, Yanga dimbani Taifa Oktoba 12
9 years ago
MillardAyo04 Jan
Matokeo ya mchezo wa kwanza wa Kundi A kati ya URA dhidi ya JKU, kabla ya Simba kushuka dimbani (+Pichaz)
Jumatatu ya January 4 ni siku ambayo Kombe la Mapinduzi liliendelea tena kwa mchezo wa kwanza wa Kundi A kuchezwa katika uwanja wa Amani Zanzibar. Huu ulikuwa ni mchezo wa tatu wa mashindano na wa kwanza kwa Kundi A ambalo lina timu za Simba, Jamuhuri, JKU na URA ya Uganda. Hivyo timu ya URA dhidi […]
The post Matokeo ya mchezo wa kwanza wa Kundi A kati ya URA dhidi ya JKU, kabla ya Simba kushuka dimbani (+Pichaz) appeared first on TZA_MillardAyo.
9 years ago
Habarileo10 Nov
Stars kushuka dimbani leo
TIMU ya soka ya taifa, Taifa Stars leo inatarajia kucheza mechi ya kirafiki dhidi ya timu ya vijana ya Afrika Kusini chini ya umri wa miaka 23 ‘Amaglug- glug’ na kocha Charles Mkwasa amesema ana imani mechi hiyo itakuwa kipimo kikubwa kwa timu yake.
10 years ago
BBCSwahili20 Jan
Kivumbi leo AFCON,Wababe dimbani
11 years ago
Tanzania Daima12 Jul
Wahariri, Waandishi Mtwara dimbani leo
KLABU ya Waandishi wa Habari Mtwara (MTPC), juzi imekabidhiwa jezi na mpira kwa ajili ya mechi ya kirafiki kati ya Jukwaa la Wahariri na wanahabari wa Mtwara, mechi itakayochezwa leo...
10 years ago
Mwananchi06 Sep
Simba, Gor Mahia dimbani leo