Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Yanga walia na mwamuzi

BAADA ya Yanga kulazimisha sare ya bao 1-1 dhidi ya mahasimu wao Simba, Kocha Mkuu wa Yanga, Hans Van Pluijm, amemtupia lawama mwamuzi Dominic Nyamisana wa Dodoma kwa madai ya...

Tanzania daima

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

Habarileo

Maxime amlalamikia mwamuzi

BAADA ya Mtibwa Sugar kupata kipigo cha bao 1-0 dhidi ya Azam, Kocha Mecky Maxime amemlaumu mwamuzi wa mchezo huo akidai aliwabeba wapinzani wao.

 

9 years ago

Habarileo

Simba ‘yalia’ na mwamuzi

UONGOZI wa timu ya Simba umemlalamikia mwamuzi Israel Nkongo aliyechezesha mechi yake ya Ligi Kuu bara dhidi ya Yanga mwishoni mwa wiki iliyopita ukidai hakutenda haki. Mbali na madai hayo, Simba pia imemlalamikia mchezaji wa Yanga Donald Ngoma kwa kumpiga kichwa mchezaji wao Hassan Kessy.

 

11 years ago

GPL

RAMBIRAMBI MSIBA WA MWAMUZI MSEBULA

Shrikisho la Mpira wa Miguu Tanzania (TFF) limepokea kwa masikitiko kifo cha mwamuzi Methusela Msebula kilichotokea juzi (Januari 13 mwaka huu) katika Wilaya ya Bukombe mkoani Geita. Mwamuzi Msebula ambaye alikuwa mwamuzi daraja la kwanza (class one) alikuwa akisumbuliwa na ugonjwa wa kisukari, maradhi ambayo yalimsababisha kuwa nje ya uchezeshaji mechi za mpira wa miguu kwa karibu misimu miwili. Msiba huu ni mkubwa kwa jamii ya...

 

10 years ago

BBCSwahili

Aliyempiga kichwa mwamuzi aadhibiwa

Mchezaji wa timu ya SK Rum ya nchini Austria amefungiwa kutocheza mechi 70kama adhabu kwa kumpiga kichwa mwamuzi

 

11 years ago

Habarileo

Ronaldo- Mwamuzi aliwabeba Barcelona

MSHAMBULIAJI wa Real Madrid, Cristiano Ronaldo amesema “maamuzi yasiyoaminika” yameigharimu timu yake katika kichapo cha mabao 4-3 kutoka kwa Barcelona juzi. Lionel Messi alifunga penalti mbili zinazotiliwa shaka kati ya mabao yake matatu wakati Barca ilipotoka kuwa nyuma kwa mabao 3-2 na kufufua matumaini yao ya ubingwa.

 

10 years ago

Michuzi

RAMBIRAMBI MSIBA WA MWAMUZI LUGENGE

Shirikisho la Mpira wa Miguu Tanzania (TFF) limepokea kwa masikitiko kifo cha mwamuzi wa daraja la kwanza (class one), Luteni  David Lugenge kilichotokea jana (Septemba 7 mwaka huu) kwa ajali ya gari katika Wilaya ya Handeni mkoani Tanga.
Luteni Lugenge ambaye mwishoni mwa wiki alishiriki mitihani ya utimamu wa mwili kwa waamuzi wa Ligi Kuu alikuwa na ndugu yake Christopher Alexander Lunyungu katika gari dogo wakienda mkoani Kilimanjaro.
Kwa mujibu wa Mwenyekiti wa Chama cha Mpira wa Miguu...

 

11 years ago

Mwananchi

Kocha Mourinho amshukia mwamuzi Foy

Kocha Jose Mourinho amemshutumu mwamuzi Chris Foy baada ya kuwatoa nje wachezaji wawili wa Chelsea pamoja na yeye huku wakinyukwa bao 1-0 na Aston Villa.

 

10 years ago

BBCSwahili

Mourinho aomba radhi kumkosoa mwamuzi

Mourinho aomba radhi kumkosoa mwamuzi baada ya kunyimwa Penalti kwenye mchuano wa Kombe la FA

 

11 years ago

GPL

MAPENZI YA RAHA AU KARAHA, MWAMUZI NI WEWE!-2

TUNAENDELEA kujifunza katika mada yetu iliyoanza wiki iliyopita, leo ikiwa ni sehemu ya mwisho. Nilishafafanua mengi lakini niliishia pale niliposema kwamba, ukweli kwa wapenzi ni jambo la msingi. Unapojaribu kudanganya wakati ukweli unao moyoni kuwa huna nia ya kumuoa (kama ni mwanaume), siku ukimuacha akitamka neno lolote baya ujue linaweza kukufika na maisha yako yakaanza kuwa hatarini (kimafanikio). Hii inamaanisha kuwa kama...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani