Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Ronaldo- Mwamuzi aliwabeba Barcelona

MSHAMBULIAJI wa Real Madrid, Cristiano Ronaldo amesema “maamuzi yasiyoaminika” yameigharimu timu yake katika kichapo cha mabao 4-3 kutoka kwa Barcelona juzi. Lionel Messi alifunga penalti mbili zinazotiliwa shaka kati ya mabao yake matatu wakati Barca ilipotoka kuwa nyuma kwa mabao 3-2 na kufufua matumaini yao ya ubingwa.

habarileo

Read more


Habari Zinazoendana

5 years ago

Latest News In Nigeria &Amp; Breaking Naija News 24/7 | LEGIT.NG

Barcelona trolls Ronaldo as Messi overtakes him on all-time highest scorer list

Barcelona trolls Ronaldo as Messi overtakes him on all-time highest scorer list  Latest News in Nigeria & Breaking Naija News 24/7 | LEGIT.NGLa Liga 2019/20: Barcelona vs Real Sociedad – tactical analysis  Football Bloody HellGolden Shoe 2019-20: Top Goalscorers in Europe, Latest Points on March 9  Bleacher ReportMessi Overtakes Ronaldo As The All-Time Record Goalscorer In Europe's Top Five Leagues  Peace FM OnlineBarcelona's official Twitter trolls Cristiano Ronaldo after Lionel Messi...

 

5 years ago

Barca Blaugranes

FC Barcelona News: 8 March 2020; Lionel Messi tops Cristiano Ronaldo

FC Barcelona News: 8 March 2020; Lionel Messi tops Cristiano Ronaldo  Barca BlaugranesBarcelona have a Messi problem... and they simply can't do without him  Goal.comLionel Messi was foiled by an ingenious method to defend his free-kick against Real Sociedad  GIVEMESPORTJordi Alba tells Barcelona fans to respect him after Real Sociedad win  Barca BlaugranesLionel Messi Is Now The All-Time Top Scorer In Top Five European Leagues  SPORTbibleView Full coverage on Google...

 

9 years ago

Habarileo

Maxime amlalamikia mwamuzi

BAADA ya Mtibwa Sugar kupata kipigo cha bao 1-0 dhidi ya Azam, Kocha Mecky Maxime amemlaumu mwamuzi wa mchezo huo akidai aliwabeba wapinzani wao.

 

11 years ago

Tanzania Daima

Yanga walia na mwamuzi

BAADA ya Yanga kulazimisha sare ya bao 1-1 dhidi ya mahasimu wao Simba, Kocha Mkuu wa Yanga, Hans Van Pluijm, amemtupia lawama mwamuzi Dominic Nyamisana wa Dodoma kwa madai ya...

 

9 years ago

Habarileo

Simba ‘yalia’ na mwamuzi

UONGOZI wa timu ya Simba umemlalamikia mwamuzi Israel Nkongo aliyechezesha mechi yake ya Ligi Kuu bara dhidi ya Yanga mwishoni mwa wiki iliyopita ukidai hakutenda haki. Mbali na madai hayo, Simba pia imemlalamikia mchezaji wa Yanga Donald Ngoma kwa kumpiga kichwa mchezaji wao Hassan Kessy.

 

11 years ago

GPL

RAMBIRAMBI MSIBA WA MWAMUZI MSEBULA

Shrikisho la Mpira wa Miguu Tanzania (TFF) limepokea kwa masikitiko kifo cha mwamuzi Methusela Msebula kilichotokea juzi (Januari 13 mwaka huu) katika Wilaya ya Bukombe mkoani Geita. Mwamuzi Msebula ambaye alikuwa mwamuzi daraja la kwanza (class one) alikuwa akisumbuliwa na ugonjwa wa kisukari, maradhi ambayo yalimsababisha kuwa nje ya uchezeshaji mechi za mpira wa miguu kwa karibu misimu miwili. Msiba huu ni mkubwa kwa jamii ya...

 

10 years ago

BBCSwahili

Aliyempiga kichwa mwamuzi aadhibiwa

Mchezaji wa timu ya SK Rum ya nchini Austria amefungiwa kutocheza mechi 70kama adhabu kwa kumpiga kichwa mwamuzi

 

10 years ago

Michuzi

RAMBIRAMBI MSIBA WA MWAMUZI LUGENGE

Shirikisho la Mpira wa Miguu Tanzania (TFF) limepokea kwa masikitiko kifo cha mwamuzi wa daraja la kwanza (class one), Luteni  David Lugenge kilichotokea jana (Septemba 7 mwaka huu) kwa ajali ya gari katika Wilaya ya Handeni mkoani Tanga.
Luteni Lugenge ambaye mwishoni mwa wiki alishiriki mitihani ya utimamu wa mwili kwa waamuzi wa Ligi Kuu alikuwa na ndugu yake Christopher Alexander Lunyungu katika gari dogo wakienda mkoani Kilimanjaro.
Kwa mujibu wa Mwenyekiti wa Chama cha Mpira wa Miguu...

 

9 years ago

Mtanzania

Simba washikana uchawi, yamshtaki mwamuzi

Simba-vs-Yanga-8NA MWANDISHI WETU, DAR ES SALAAM

KIPIGO ilichokipata timu ya Simba kwenye mchezo dhidi ya mahasimu wao, Yanga juzi kimezua mapya kwa wekundu hao baada ya wachezaji watatu wa safu ya ulinzi kudaiwa kufanya hujuma

Yanga ilivunja uteja dhidi ya Simba kwa kuichapa mabao 2-0 yaliyofungwa na washambuliaji, Amissi Tambwe na Malimi Busungu.

Habari za kutoka ndani ya Simba zilizolifikia gazeti hili zimedai kuwa wachezaji hao wa safu ya ulinzi walishindwa kabisa kuwazuia washambuliaji wa Yanga,...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani