Asasi zalaani waliomfanyia vurugu Warioba
KITUO cha Sheria na Haki za Binadamu (LHRC), kwa kushirikiana na asasi nyingine za kiraia wamelaani na kukemea vurugu zilizofanyika katika mdahalo wa Katiba ulioandaliwa na taasisi ya Mwalimu Nyerere...
Tanzania daima
Habari Zinazoendana
10 years ago
Mwananchi03 Nov
Warioba awasuta kwa Nyerere, vurugu zaibuka
10 years ago
Vijimambo03 Nov
HABARI KWA KINA VURUGU ALIYOFANYIWA JAJI WARIOBA
![](https://images-blogger-opensocial.googleusercontent.com/gadgets/proxy?url=http%3A%2F%2F3.bp.blogspot.com%2F-lJlLQivegVQ%2FVFaRAOyHVaI%2FAAAAAAADMEs%2F8EvkaBWtMjY%2Fs1600%2Fa3dddd0632c0910e452897e99fb543b3.jpg&container=blogger&gadget=a&rewriteMime=image%2F*)
Aliyekuwa Mwenyekiti wa Tume ya Mabadiliko ya Katiba, Jaji Mstaafu Joseph Warioba, jana alifanyiwa vurugu kubwa zilizosababisha kuvunjika kwa kongamano la kujadili mambo ya msingi ya kuangaliwa katika Katiba inayopendekezwa.
Kongamano hilo liliandaliwa na Taasisi ya Mwalimu Nyerere (MNF) na...
5 years ago
CCM Blog![](https://1.bp.blogspot.com/-ZXGkxxLaW3I/Xp0ehfp03tI/AAAAAAAAS44/c21CLBa2VpQIKe7EUthsP5BstHvgBHcfQCLcBGAsYHQ/s72-c/49227218_303.jpg)
SERIKALI ZA KIGENI ZALAANI KUKAMATWA WANAHARAKATI WA DEMOKRASIA HONG KONG
![](https://1.bp.blogspot.com/-ZXGkxxLaW3I/Xp0ehfp03tI/AAAAAAAAS44/c21CLBa2VpQIKe7EUthsP5BstHvgBHcfQCLcBGAsYHQ/s400/49227218_303.jpg)
Miongoni mwa waliokamatwa ni wanasiasa wakongwe, tajiri wa vyombo vya habari na wanasheria waandamizi. Chama cha Kimataifa cha Wanasheria kimesema maafisa wa Hong Kong hawapaswi kukiuka haki za binaadamu na mfumo wa kisheria lazima uweke ulinzi dhidi ya ukiukaji wowote wa mamlaka wakati ulimwengu...
9 years ago
Bongo Movies14 Oct
Rayuu Afunguka Kuhusu Wanaume Wanne Waliomfanyia Mbaya Kisha Kumtosa Bila Kumuoa
9 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-uKLJ9Ntx00A/VgFSUrXVFrI/AAAAAAAAn6Q/65ZBlXFYSkY/s72-c/1.jpg)
JAJI WARIOBA AMNADI KIPPI WARIOBA KWENYE KAMPENI ZA UBUNGE JIMBO LA KAWE
![](http://2.bp.blogspot.com/-uKLJ9Ntx00A/VgFSUrXVFrI/AAAAAAAAn6Q/65ZBlXFYSkY/s640/1.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-D6jzGhxpqTw/VgFSU7wmRFI/AAAAAAAAn6U/Tt1AlaI5QWY/s640/3.jpg)
9 years ago
Vijimambo![](http://2.bp.blogspot.com/-uKLJ9Ntx00A/VgFSUrXVFrI/AAAAAAAAn6Q/65ZBlXFYSkY/s72-c/1.jpg)
JAJI WARIOBA AMNADI KIPPI WARIOBA
![](http://2.bp.blogspot.com/-uKLJ9Ntx00A/VgFSUrXVFrI/AAAAAAAAn6Q/65ZBlXFYSkY/s640/1.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-wj5l-WSI6eA/VgFSUm3kmGI/AAAAAAAAn6Y/SduVxz1S-9c/s640/2.jpg)
10 years ago
Habarileo17 Oct
Asasi 7 zakunwa Katiba 'mpya'
MUUNGANO wa Asasi za Kiraia Juu ya Jinsia na Katiba (GFC), umesema Katiba Inayopendekezwa imezingatia mapendekezo yao kwa zaidi ya asilimia 90, hasa katika usawa wa kijinsia na haki za watoto. Aidha, umewataka wananchi kuacha ushabiki wa kisiasa na kufuata mkumbo wa kuipinga badala yake waisome na kuichambua kila kipengele ili waielewe.
9 years ago
Habarileo04 Jan
Asasi ya Marekani yasaidia madawati
ASASI ya Joy Moja kutoka nchini Marekani imetoa msaada wa madawati yenye thamani ya zaidi ya Sh milioni sita kwa Shule ya Msingi ya Kisongo kwa malengo ya kuboresha elimu shuleni hapo.
11 years ago
Habarileo14 Jul
Waziri kutembelea asasi za kisheria
NAIBU Waziri wa Katiba na Sheria, Angellah Kairuki anafanya ziara ya kikazi ya siku tano kuanzia leo katika Jiji la Dar es Salaam kutembelea asasi zinazotoa huduma za msaada wa kisheria kwa wananchi.