Atakiwa kuonesha hati ya kumkamata bosi wa UDA
SAKATA la mfanyabiashara wa Dar es Salaam, kushutumu viongozi wa Jeshi la Polisi na Serikali kwa madai ya kushindwa kumkamata mwendeshaji wa Kampuni ya Usafiri Dar es Salaam (UDA), Robert Kisena kwa kudaiwa kuvamia kiwanja Mbagala, limechukua sura mpya, baada ya mfanyabiashara, Alex Msama kutakiwa kuonesha amri ya Mahakama inayoagiza Kisena kukamatwa.
habarileo
Habari Zinazoendana
10 years ago
Habarileo09 Dec
Amri ya kumkamata bosi TRA yaondolewa
KATIBU wa Bodi ya Rufaa ya Kodi katika Mahakama Kuu Kitengo cha Biashara, Respicius Mwijage ameamuru maombi ya kumkamata Kamishna wa Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA) na kumpeleka gerezani kwa kukiuka amri ya bodi hiyo, yaondolewe.
10 years ago
Habarileo17 Jul
Bosi wa kampuni ya UDA kukamatwa
MAHAKAMA ya Hakimu Mkazi Kisutu jana imetoa hati ya kukamatwa kwa Mkurugenzi Mtendaji wa Kampuni ya Simon Group, Robert Kisena na mwenzake kwa kuwa hawajafika mahakamani kusomewa mashitaka yanayowakabili.
11 years ago
Habarileo21 May
Bosi UDA ashitakiwa bungeni
MBUNGE wa Ubungo, John Mnyika amemshitaki Mwenyekiti Mtendaji wa Simon Group inayoendesha Kampuni ya Usafiri Dar es Salaam (UDA), Robert Kisena kwa Spika wa Bunge, Anne Makinda, kutokana na kudai wabunge wa Dar es Salaam wamehongwa.
11 years ago
Mwananchi21 May
Bosi wa Uda kujieleza bungeni
9 years ago
Mwananchi23 Dec
Museveni kumkamata Mbabazi
9 years ago
Mtanzania08 Dec
Mahakama yatishia kumkamata Lwakatare
Na Patricia Kimelemeta, Dar es Salaam
MAHAKAMA ya Hakimu Mkazi Kisutu jana ilitishia kumkamata Mkurugenzi wa Ulinzi na Usalama wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Wilfred Lwakatare baada ya kutokuwapo mahakamani hapo.
Kauli ya Hakimu Thomas Simba imetolewa baada ya Mdhamini wa mshtakiwa, Paschal Mwita kudai mahakamani hapo kuwa mshtakiwa huyo hakuwapo mahakamani na kwamba amesafiri kwenye shughuli zake za ubunge.
Wakili Mwandamizi wa serikali, Pamela Shinyambala alidai kuwa...
10 years ago
Mwananchi05 Dec
Interpol yaomba msaada kumkamata jangili
10 years ago
BBCSwahili14 Jun
ICC yaitaka A. Kusini kumkamata Bashir
10 years ago
BBCSwahili12 Jan
Seleka wadai malipo kwa kumkamata Ongwen