Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


CRDB yasaidia wanawake Bukoba

BENKI ya CRDB katika Manispaa ya Bukoba, mkoani Kagera, imetoa msaada wa mashuka 50 na miche ya sabuni, kwa wanawake waliolazwa kwenye wodi ya wazazi katika hospitali ya mkoani hapa....

Tanzania daima

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Michuzi

BENKI YA CRDB YASAIDIA KAMATI YA AMANI YA DINI

Mkurugenzi wa Masoko, Utafiti na Huduma kwa Wateja wa Benki ya CRDB, Tully Mwambapa  akizungumza wakati wa hafla fupi ya kukabidhi hundi ya Shilingi milioni 12 kwa ajili maandalizi ya Futari iliyoandaliwa na Kamati ya Amani ya Viongozi wa Madhehebu ya Dini. Kulia ni Sheikh wa Mkoa wa Dar es Salaam Alhad Mussa Salum.  Mkurugenzi wa Masoko, Utafiti na Huduma kwa Wateja wa Benki ya CRDB, Tully Mwambapa na Sheikh wa Mkoa wa Dar es Salaam Alhad Mussa Salum wakionyesha hundi ya shilingi milioni 12...

 

9 years ago

Michuzi

BENKI YA CRDB YASAIDIA UJENZI VYUMBA VYA MADARASA GEITA

Benki ya CRDB kupitia tawi lake la mjini Geita imechangia ujenzi wa vyumba vya madarasa katika  Shule za Msingi Mwatulole na Shule ya Msingi Geita ambayo baadhi ya majengo yalibomolewa na mvua kubwa iliyoambata na upepo mkali mwanzoni mwa mwake huu mkoani Geita. 
Sambamba na kusaidia ujenzi na ukarabati wa madarasa Benki ya crdb ilichangia maadhimisho ya wiki ya Nenda kwa Usalama Barabarani yaliyofanyika mjini Geita kwa sababu benki hiyo inawajali wateja wake. Maadhimisho ya wiki Huduma kwa...

 

11 years ago

Michuzi

BENKI YA CRDB YASAIDIA UJENZI WA ZAHANATI YA KIJIJI CHA KIFURU-KISARWE MKOA WA PWANI

Meneja wa Benki ya CRDB tawi la Waterfront, Adelainde Bishangazi (kushoto), akimkabidhi sehemu ya vifaa vya ujenzi, Mkuu wa Masista wa Mtoto Yesu Bukoba, Sista Pudentiana   Kirungo kwa ajili ya ujenzi wa Kliniki ya akinamama na watoto katika kijiji cha Kifuru-Kisarawe, Mkoa wa Pwani. Vifaa vilivyokabidhiwa ni mifuko ya Saruji, bati, mbao na nondo. (Picha na Francis Dande)

 Meneja wa Benki ya CRDB tawi la Waterfront, Adelainde Bishangazi (kushoto), akimkabidhi nondo kwa Mkuu wa Masista wa...

 

11 years ago

Tanzania Daima

TPDC yasaidia wajasiriamali wanawake

WIZARA ya Nishati na Madini kupitia Shirika la Maendeleo ya Petroli Tanzania (TPDC), limetoa msaada wa majiko ya gesi 25 na mitungi yake yenye thamani ya sh milioni 8.7 kwa...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Airtel Divas yasaidia wanawake walemavu

UMOJA wa Wafanyakazi Wanawake wa Kampuni ya Airtel (Airtel Divas) umejitoa kusaidia Kikundi cha Sauti ya Wanawake wenye Ulemavu Tanzania (Swauta) kilichopo Kinondoni, Dar es Salaam. Wafanyakazi hao wa Airtel...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Airtel yasaidia wanawake wenye kansa

UMOJA wa wafanyakazi wanawake wa Airtel Tanzania unaofahamika kwa jina la ‘Airtel Divas’ wameandaa hafla ya kuchangisha fedha ili kusaidia kinamama wanaosumbuliwa na maradhi ya kansa katika Hospitali ya Ocean...

 

10 years ago

Dewji Blog

CRDB Singida yasheherekea siku ya wanawake kwa kutoa misaada Hospital ya Mkoa

DSC04439

Meneja wa CRDB benki mkoa wa Singida, Edith Maganga (kushoto) akimkabidhi kaimu mganga mkuu wa mkoa wa Singida, Dk. Ernest Mgeta msaada wa vyandarua 70 na sabauni wenye thamani ya zaidi ya shilingi milioni mbili ikiwa ni sehemu ya maadhimisho ya siku ya wanawake duniani.Msaada huo umewanufaisha akina mama waliolazwa katika wodi za akina mama wajawazito na waliojifungua.CRDB pia ilikarabati taa katika wodi hizo tatu na kufanya usafi katika maeneo yanayozunguka wodi hizo.

Na Nathaniel Limu,...

 

5 years ago

Michuzi

BENKI YA CRDB YAZINDUA MPANGO MAALUMU WA KUWAWEZESHA WANAWAKE KUSHIKA NAFASI ZA UONGOZI

Benki ya CRDB imezindua mpango maalum wa kuwawezesha wafanyakazi wanawake katika nyanja mbalimbali ili  waweze  kushika nafasi za uongozi.
Akizindua mpango huo katika hoteli ya Johari Rotana Jijini Dar es salaam jana, Mkurugenzi Mtendaji wa Benki hiyo, Abdulmajid Nsekela alisema, Mpango huo ni mahususi katika kuwawezesha wanawake wa CRDB Banki ili waweze kuwa viongozi katika nyanja mbalimbali pamoja na kuwafanya waweze kujiamini na kukamata fursa zilizopo.
Mpago huo ni mwendelezo wa...

 

11 years ago

Michuzi

CRDB YATOA SOMO KWA WANAWAKE WAJASIRIAMALI ZAIDI YA 1000 KUHUSU KUWEKA AKIBA

Zaidi ya wajasiriamaili wanawake 1000 kutoka katika Manispaa ya Temeke jijini Dar es Salaam wamepata mafunzo ya kuwajengea uwezo wakati wa tamasha la Mwanamke na Akiba, 2014 lililofanyika katika ukumbi wa Dar Live Mbagala.
Akizungumzia Tamasha hilo, Mkurugenzi Mkuu wa Kampuni ya Angels Moment ambao ndio waandaaji wa tamasha hilo, Naima Malima alisema kuwa lengo la semina hiyo ni kuchochea utamaduni wa kuweka akiba kwa wanawake wajasiriamali na kuwaelimisha aina tofauti ya kuweka...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani