Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


DC Bunda awaasa wananchi wake

Mkuu wa Wilaya ya Bunda, Joshua Mirumbe amewataka wakazi wa wilaya hiyo kuupokea mwaka mpya wa 2014 wakiwa wamejiandaa kubadilika kifikra na kimtazamo hali itakayoharakisha ukuaji wa maendeleo katika wilaya hiyo.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Habarileo

Wananchi Bunda hawana chakula

CHAMA Cha Mapinduzi (CCM) katika Wilaya ya Bunda mkoani Mara, kimeitaka serikali kupeleka chakula cha msaada kwa wananchi ambao mazao yao yameshambuliwa na tembo, kutoka katika Hifadhi ya Taifa ya Serengeti, kwa sababu wanakabiliwa na njaa kubwa.

 

11 years ago

Tanzania Daima

Barabara Bunda kero kwa wananchi

ABIRIA wanaopita kwenye barabara ya Bunda-Ukerewe, wamelalamikia ubovu wa barabara hiyo na kuiomba serikali kuwaondolea kero hiyo. Baadhi ya wananchi hao wakiwemo madereva wa magari ya abiria pamoja na mizigo,...

 

5 years ago

Michuzi

Huduma za Afya Zaboreshwa Bunda na Kuondoa Kero kwa Wananchi

Muonekano wa chumba cha upasuaji katika kituo cha afya Bunda mjini baada ya kuboreshwa  na Serikali ya Awamu ya Tano kwa gharama ya shilingi milioni 500 kwa kujengewa majengo mapya na vifaa tiba vya kisasa.Sehemu  ya  majengo ya  kituo cha Afya Bunda   mjini mkoani Mara  baada ya kuboreshwa na kuanza kutoa huduma za upasuaji kwa wananchi wa mji huo na maeneo ya jirani.(Picha  na  MAELEZO)

Jonas Kamaleki, Bunda 
Utoaji wa huduma za Afya umeboreshwa baada ya Serikali kutoa milioni 500 kwa ajili...

 

9 years ago

StarTV

Mbunge wa Bunda kutowavumilia watendaji wazembe katika utoaji wa huduma kwa wananchi

Mbunge wa jimbo la Bunda Boniphace Mwita amesema kuwa hatawavumilia watendaji wa serikali na viongozi wa ngazi mbalimbali jimboni humo ambao watashindwa kwenda na kasi ya rais Magufuli kwani hatakuwa tayari kufanyakazi na watu wazembe.

Mbunge huyo wa Bunda ameyasema hayo kwenye kikao elekezi alichokiandaa katika kata ya Nyamuswa kikishirikisha viongozi wa ngazi mbalimbali na watendaji wote wa serikali, ili kila mmoja atambuwe wajibu wake wa kutumikia wananchi.

Mbunge wa Bunda Boniphace...

 

10 years ago

Michuzi

Askari wa Usalama barabarani aliyefariki katika ajali kisarawe aagwa leo, mwili wake wasafirishwa kwenda bunda kwa mazishi

Askari wa Usalama barabarani wakiwa wamebeba mwili wa marehemu Koplo John John Masele aliyepata ajali  ya gari na kufariki  dunia hapo hapo maeneo ya Kisarawe, mkoa wa Pwani, juzi. Hii na baada ya mwili wake kuagwa jijini Dar es salaam kabla ya kusafirishwa kuelekea kwao Bunda mkoa wa Mara.

 

11 years ago

GPL

MKUU WA MKOA WA IRINGA AWAPONGEZA WANANCHI WAKE

Mkuu wa mkoa wa Iringa Dkt.Christina Ishengoma amewapongeza wananchi wa mkoa huo kwa ushirikiano wao katika shughuli za kujiletea  maendeleo ya kiuchumi na kijamii.   Akizungumza na waandishi wa habari ofisini kwake Dkt.Christina Ishengoma amesema katika kipindi cha mwaka 2013 wananchi wa mkoa wa Iringa wamekuwa wakifanyakazi kwa kujituma na kwa ushirikiano mkubwa. Kwa upande mwingine  ishengoma amewataka...

 

11 years ago

Dewji Blog

Mwigulu awanunulia wananchi wake gari la kubebea wagonjwa

DSC07824

Naibu Waziri wa Fedha na Mbunge wa jimbo la Iramba magharibi, Mh. Mwigulu Nchemba akihutubia wapiga kura wake na wananchi wa kata ya Mtoa tarafa ya Shelui ambapo pamoja na mambo mengine, alihimiza ujenzi wa zahanati kwa kila kijiji.

DSC07878

Naibu Waziri wa Afya na Ustawi wa Jamii, Dk.Kebwe Stephen Kebwe (MB) akizungumza kwenye mkutano wa hadhara uliofanyika katika kijiji cha Mgongo tarafa ya Shelui jimbo la Iramba magharibi ambapo amewataka Wakurugenzi wa halmashauri za majiji, manispaa na wilaya...

 

9 years ago

Dewji Blog

Mbunge wa Ubungo Said Kubenea awatembelea wananchi wake kuwashukuru!

 Mbunge wa Jimbo la Ubungo, Said Kubenea akiongea na wananchi Stendi ya Mabasi ya Ubungo Dar es Salaam leo, kuwashukuru kwa kumchagua na kujua changamoto zao mbalimbali. Mbunge huyo jana alitembelea Soko la Ndizi la Mabibo, Soko la Mabibo, Kituo cha Mabasi cha Mawasiliano  na kumpa pole ya sh. milioni 1.1 Diwani wa Kata ya Manzese, Ramadhani Kwangaya ambaye ni Mkuu wa Chuo cha Mus’ab kilicho chomwa moto na kuunguza magodoro 30.  Kubenea akizungumza na waandishi wa habari na wananchi katika...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani