DC Bunda awaasa wananchi wake
Mkuu wa Wilaya ya Bunda, Joshua Mirumbe amewataka wakazi wa wilaya hiyo kuupokea mwaka mpya wa 2014 wakiwa wamejiandaa kubadilika kifikra na kimtazamo hali itakayoharakisha ukuaji wa maendeleo katika wilaya hiyo.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Habarileo15 Aug
Wananchi Bunda hawana chakula
CHAMA Cha Mapinduzi (CCM) katika Wilaya ya Bunda mkoani Mara, kimeitaka serikali kupeleka chakula cha msaada kwa wananchi ambao mazao yao yameshambuliwa na tembo, kutoka katika Hifadhi ya Taifa ya Serengeti, kwa sababu wanakabiliwa na njaa kubwa.
11 years ago
Tanzania Daima08 Apr
Barabara Bunda kero kwa wananchi
ABIRIA wanaopita kwenye barabara ya Bunda-Ukerewe, wamelalamikia ubovu wa barabara hiyo na kuiomba serikali kuwaondolea kero hiyo. Baadhi ya wananchi hao wakiwemo madereva wa magari ya abiria pamoja na mizigo,...
9 years ago
CHADEMA Blog![](http://4.bp.blogspot.com/-jfe2sdAw0C4/VmjZCHojsUI/AAAAAAAAXZ0/JwBH_-B768w/s72-c/2015-12-09%2B09.16.28.jpg)
5 years ago
MichuziHuduma za Afya Zaboreshwa Bunda na Kuondoa Kero kwa Wananchi
Jonas Kamaleki, Bunda
Utoaji wa huduma za Afya umeboreshwa baada ya Serikali kutoa milioni 500 kwa ajili...
9 years ago
StarTV03 Dec
Mbunge wa Bunda kutowavumilia watendaji wazembe katika utoaji wa huduma kwa wananchi
Mbunge wa jimbo la Bunda Boniphace Mwita amesema kuwa hatawavumilia watendaji wa serikali na viongozi wa ngazi mbalimbali jimboni humo ambao watashindwa kwenda na kasi ya rais Magufuli kwani hatakuwa tayari kufanyakazi na watu wazembe.
Mbunge huyo wa Bunda ameyasema hayo kwenye kikao elekezi alichokiandaa katika kata ya Nyamuswa kikishirikisha viongozi wa ngazi mbalimbali na watendaji wote wa serikali, ili kila mmoja atambuwe wajibu wake wa kutumikia wananchi.
Mbunge wa Bunda Boniphace...
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-HVsJMGImD_U/VA8xDSU_2pI/AAAAAAAGiQM/L2CK91YSXw4/s72-c/ae686fcdda19248aa327d70e25fb915e.jpg)
Askari wa Usalama barabarani aliyefariki katika ajali kisarawe aagwa leo, mwili wake wasafirishwa kwenda bunda kwa mazishi
![](http://3.bp.blogspot.com/-HVsJMGImD_U/VA8xDSU_2pI/AAAAAAAGiQM/L2CK91YSXw4/s1600/ae686fcdda19248aa327d70e25fb915e.jpg)
11 years ago
GPLMKUU WA MKOA WA IRINGA AWAPONGEZA WANANCHI WAKE
11 years ago
Dewji Blog14 Apr
Mwigulu awanunulia wananchi wake gari la kubebea wagonjwa
Naibu Waziri wa Fedha na Mbunge wa jimbo la Iramba magharibi, Mh. Mwigulu Nchemba akihutubia wapiga kura wake na wananchi wa kata ya Mtoa tarafa ya Shelui ambapo pamoja na mambo mengine, alihimiza ujenzi wa zahanati kwa kila kijiji.
Naibu Waziri wa Afya na Ustawi wa Jamii, Dk.Kebwe Stephen Kebwe (MB) akizungumza kwenye mkutano wa hadhara uliofanyika katika kijiji cha Mgongo tarafa ya Shelui jimbo la Iramba magharibi ambapo amewataka Wakurugenzi wa halmashauri za majiji, manispaa na wilaya...
9 years ago
Dewji Blog27 Nov
Mbunge wa Ubungo Said Kubenea awatembelea wananchi wake kuwashukuru!