Dida aanza kujihami
Kipa namba moja wa Yanga, Deogratius Mushi ‘Dida’, katika kile kinachoonekana kuhofia kukosa namba katika kikosi cha timu hiyo, ameanza mazoezi binafsi kwa ajili ya kulinda kiwango chake.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
10 years ago
KwanzaJamii19 Aug
SERIKALI KUFUNGA MIPAKA ITAKAPOBIDI KUJIHAMI NA EBOLA
10 years ago
BBCSwahili17 Nov
Wito kwa wakazi kujihami dhidi ya Boko:H
10 years ago
Dewji Blog21 Feb
WHO yatoa vifaa vya dola za Marekani 46,000 kwa serikali ya Tanzania kujihami na Ebola
Mwakilishi Mkazi wa Shirika la Afya Duniani (HWO) nchini, Rutaro Chatora (kulia), akimkabidhi Katibu Mkuu wa Wizara ya Afya na Ustawi wa Jamii, Dk. Donan Mmbando, moja ya kompyuta na baadhi ya vifaa tiba vyenye thamani ya dola za Marekani 46,000 vilivyotolewa na WHO kwa Serikali ya Tanzania Dar es Salaam jana, kwa ajili ya maandalizi ya udhibiti wa magonjwa ya kuambukiza na ebola.
Mwakilishi Mkazi wa Shirika la Afya Duniani (WHO) nchini, Rutaro Chatora (kulia), na Katibu Mkuu wa Wizara ya...
11 years ago
Bongo522 Jul
Kanye na Kim watumia tshs mil 835 kupata mtoto anayefanana na North West ili kujihami na mapaparazi
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/2qI9QjpEOxwV48Ap1slAUjBX2aGdCNAd1MkUc*jlAWism9rc7AoSAseL0Wj6zVQC0Kn1o74nAfaHyb5hBrnmkvLd5jcoFJqu/dida1.jpg?width=650)
NDOA YA DIDA KUVUNJIKA;
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/-a-FzCyHE-CPc1ecL0OYcTjYOwBgXhZ69uWaIS42wyohB-VmkWItCadhwZcIhlXqNB70AmkfREk3P83*GVTy0cmPPHnPjpF1/dida.jpg)
DIDA NDOA TENA!
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/DbrwTSp7ycPl4daO70*LQsU9Ffp8Q9wnmITR0*twc5VeyTGFh0Hs4Hxh9zhzV10xxQETCmVLOI5*Wj5tq6LDEc8ABpyLTjec/dida.gif?width=650)
DIDA AIBU ILIYOJE!
10 years ago
Mtanzania14 Aug
Bahanuzi amwonyesha Dida
![Said Bahanuzi](http://mtanzania.co.tz/wp-content/uploads/2014/08/Said-Bahanuzi.jpg)
Said Bahanuzi
Mshambuliaji wa timu ya Yanga, Said Bahanuzi, ameendeleza kuonesha cheche zake za kurejea kwenye moto wake wa mwaka juzi, kwani jana alimuonesha cha moto kipa wa timu hiyo, Deogratius Munishi ‘Dida’.
Bahanuzi alimpigia mashuti makali Dida, ambayo alishindwa kuyadaka, huku mawili kati ya hayo yakigonga mwamba wa juu na kujaa wavuni, jambo ambalo liliamsha hisia za mashabiki wa Yanga na kumsifia.
Mashabiki hao waliokuwa wakichungulia mazoezi ya Yanga kwa nje sambamba na MTANZANIA...
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/EiPRnn58uVnb3ruxOBgtQ1KYMNM1l9xeWC0P74ILCf2n89IE49bO3vXs8F9Mr8FJ1oI-vM4XfqfLBUjUgXMo57q2If1PlQ73/NDOA.jpg)
NDOA YA 3 YA DIDA YAVUNJIKA