Diwani awashauri wenzake wasiwe shamba la bibi
DIWANI Kenneth Yindi wa Kata ya Buigiri wilayani Chamwino mkoani Dodoma, amewashauri madiwani wenzake kutogeuzwa shamba la bibi katika kupitisha miradi mbalimbali ya maendeleo.
habarileo
Habari Zinazoendana
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-W_JCtR7QwfM/XrENxxLAWYI/AAAAAAALpKk/o2hUwFENpJ0R83fIy16lWgGI3A2qQSVxACLcBGAsYHQ/s72-c/IMG-20200503-WA0028.jpg)
KAMALA AWASHAURI VIJANA WENZAKE KUTOTUMIA VIBAYA MITANDAO HIYO YA KIJAMII.
![](https://1.bp.blogspot.com/-W_JCtR7QwfM/XrENxxLAWYI/AAAAAAALpKk/o2hUwFENpJ0R83fIy16lWgGI3A2qQSVxACLcBGAsYHQ/s640/IMG-20200503-WA0028.jpg)
John George Kamala, Kijana anayejihusisha na masuala ya mitindo (model) amewataka vijana kutokutumia vibaya mitandao ya kijamii bali waitumie kujiingizia kipato.
Kamala pia amekuwa moja ya vijana wanaojiingizia kipato kupitia mtandao wa kijamii YouTube.
Amesema, ukiitumia vizuri mitandao ya Kijamii inakuleta manufaa makubwa sana bila kumtegemea mtu akusaidie na zaidi utajulikana kwa upana zaidi na watu mbalimbali.
Kamala amewasihi vijana wote kuacha kutumia...
9 years ago
Mwananchi11 Sep
Magufuli: Nitahakikisha nchi haifanywi shamba la bibi
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-mho3iXQWZ3E/VNX41uzHDhI/AAAAAAAHCV0/os9wcy76dUU/s72-c/0L7C1936.jpg)
Shamba la Bibi na Uwanja wa Taifa jijini Dar es salaam toka angani
![](http://4.bp.blogspot.com/-mho3iXQWZ3E/VNX41uzHDhI/AAAAAAAHCV0/os9wcy76dUU/s1600/0L7C1936.jpg)
10 years ago
Vijimambo16 Dec
SHAMBA LA MWANADIASPORA MZEE TEMBA LAUZWA HUKU YEYE AKIWA NA HAKI ZOTE ZA KULIMILIKI SHAMBA HILO
Tukiachana na hiyo stori ya uraia pacha ninataka kukujuzeni kuhusu hii stori ya shamba ya mwanaDiaspora mwenzetu Mzee...
10 years ago
Habarileo25 Dec
Shamba apatikana na zao la ‘shamba’
SHAMBA Malela (20) mkazi wa Nianjema wilayani Bagamoyo mkoani Pwani anashikiliwa na polisi kwa tuhuma za kupatikana na kete 136 za dawa aina ya heroin.
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/Z-JJSpQIZ69qXvZegFu*0MgtOKv0J7XXMpMZ8p4XTbtWynZASRXYOnf-XHr7skPfZqepC9L**F9rJgnGscXe5hhHhWOE*YIW/001.JAY.jpg?width=650)
WATEJA WA VODACOM WAAMBIWA CHONDE WASIWE WANAZIMA SIMU ZAO
11 years ago
Tanzania Daima02 Jun
Askofu awashauri UKAWA
ASKOFU Mkuu wa Kanisa la Endtime Havest, Dk Elia Mauza amewataka viongozi wa Umoja wa Katiba ya Wananchi (UKAWA) kutorudi katika Bunge Maalum la Katiba hadi maoni ya wananchi yatakapoheshimiwa....
10 years ago
Uhuru Newspaper16 Apr
Askofu awashauri viongozi Dar
NA REHEMA MAIGALA
MWENYEKITI wa Ushirika wa Wachungaji wa Kipentekoste Tanzania (PPFT), Askofu Pius Ikongo, amewashauri viongozi wa Jiji la Dar es Salaam, kubadilisha ratiba ya ufanyaji wa usafi barabarani.
Alisema wafanya usafi wanatakiwa kufanya kazi zao jioni, kuanzia saa 12, ili kuepukana na msongamano mbalimbali ambayo inakwamisha utendaji wao wa kazi .
Akizungumza na Uhuru jana, Dar es Salaam, Pius alisema bado suala la usafi haliridhishi katika Jiji la Dar es Salaam, kwa sababu ya...
11 years ago
BBCSwahili23 Apr
Mkuu wa Facebook awashauri wanawake