Flora Mabasha adai talaka
Mwimbaji maarufu wa nyimbo za injili nchini Tanzania,Flora Mbasha,ameomba kuvunjwa kwa ndoa yake na mumewe Emanuel Mbasha.
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/1zruj0PgXfjP7nOZbWyoytmKjy4vAacRO6K-PJzCanmVXMiwcjnusI-45TYkcsXVpP7xjo3Wy*soLsrUShcEhHJ7pzq9zGYd/aunty.jpg)
AUNT ADAI TALAKA!
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/L5FNdOkpk1Z2wlNEKDlCvLqZ7w-2leKUd4uu107d0oIDDc8C93o7sxV30CAgUXFQfU4MQt0XMrwopBUZosZw76HeEdU4caUx/WEWW.jpg?width=650)
MKE WA SHETTA ADAI TALAKA
9 years ago
Bongo507 Oct
Flora Mbasha afuta kesi ya talaka dhidi ya mumewe, ‘bado nampenda sana mume wangu’
10 years ago
Bongo Movies15 Apr
Mke wa Shetta Adai Talaka, Kisa Rose Ndauka
Siku chache baada ya habari ya staa wa Bongo Fleva , Nurdin Bilal ‘Shetta’ kudaiwa kulala chumba kimoja na staa wa Bongo Movies, Rose Ndauka kuandikwa gazetini, mkewe Neila Yusuf ameshindwa kuvumilia na kudai talaka yake, Risasi Mchanganyiko linakujuza.
Shetta na Rose waliripotiwa na “gazeti pendwa”moja kuwa walilala katika chumba kimoja katika Hoteli ya Kingway iliyopo mkoani Morogoro walipokuwa wamekwenda kwenye mazishi ya muasisi wa Kundi la Tip Top Connection, Abdul Bonge.
Kwa mujibu...
10 years ago
Vijimambo![](http://img.youtube.com/vi/03AO119erRM/default.jpg)
MCHUNGAJI GWAJIMA ADAI MTOTO ALIEJIFUNGUA FLORA MBASHA SIYO WAKE
![](https://images-blogger-opensocial.googleusercontent.com/gadgets/proxy?url=http%3A%2F%2F2.bp.blogspot.com%2F-4HUCfASN9CI%2FVNPo79czpzI%2FAAAAAAADXsQ%2FItzW6auTit4%2Fs1600%2FGWAJIMA.jpg&container=blogger&gadget=a&rewriteMime=image%2F*)
Huyu ndiyo mtoto alie jifungua Flora Mbasha, mchungaji Gwajima aruka kimanga na kukana kuwa mtoto huyu siyo wake na kusema kuwa (It doesn't hold water) akiwa na maana haina mashiko. Mbasha nae alivyoulizwa juu ya mtoto huyu majibu yake aliyajibu kwa kutuma ujumbe wa wimbo huu wa injili hadi sasa watu wanashindwa kupata ukweli wa nani baba wa mtoto huyu lakini mwenye majibu ya maswali yote ni mwenyewe Flora Mbasha. Jitiririshe na wimbo wa Emmanuel Mbasha hapa chini kama majibu ya wale wote...
10 years ago
Bongo528 Aug
Baba yake Beyonce adai kuwa mwanae na Jay Z walisambaza tetesi za talaka kukuza mauzo ya tiketi ya ziara yao
9 years ago
Michuzi09 Sep
KUMBUKUMBU YA FLORA (MAPENDO YA FLORA)
Tunaona ni vema kumshukuru MUNGU hasa kwa mapendo aliyotushirikisha kupitia maisha ya FLORA, nasi tukabakiwa kwa namna ya pekee tunamuenzi kwa matukio mbalimbali hasa kupitia Misa Takatifu katika kanisa kuu la Mtakatifu Joseph Jimbo Kuu la Dar es Salaam. Siku ya tarehe 10/09/2015, saa 12.30 asubuhi. Baada ya hapo tunazuru makaburi ya Kinondoni.Sote tuzidi...
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/cZ399qCqOaFHyLmzK-Cl-BpnMhW48c42JVYXSkNkLeYq4WkwqI0P0wQwpzZhKTbUlUzjGSz*daU-lFOwUaVg6j7Pz8ruBjFo/jide.jpg?width=650)
JIDE AOMBA TALAKA