Hii ni awamu ya kazi, tuchape kazi
Katika kipindi chote cha kampeni za kuwania urais, Dk John Magufuli amekuwa akiwataka wananchi kujipanga kufanya kazi kwa sababu Serikali yake haitavumilia watu wavivu. Kwa mujibu wa Kamusi ya Kiswahili Sanifu “mvivu†ni mtu asiyependa kufanya kazi; mtepetevu, mkunguni; mlegevu, mzembe.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
9 years ago
Raia Mwema02 Dec
Wapinzani wana kazi ngumu awamu ya tano
KUWA katika kambi ya upinzani ilikuwa ni kazi rahisi zaidi wakati wa awamu tatu za serikali ziliz
Njonjo Mfaume
9 years ago
Raia Mwema02 Dec
Hapa kazi tu na utendaji kazi wa staili ya jeshi la mtu mmoja
RAIS wa Awamu ya Tano, Dk. John Magufuli ameanza kazi kwa staili ambayo si mpya hapa nchini.
Yahya Msangi
10 years ago
Bongo Movies09 Dec
KAZI MPYA:Wema Atua Nchini Ghana Kufanya Kazi na Van Vicker
Aliekuwa Miss Tanzania (2006), Mwigizaji na mkurugenzi wa kampuni ya Endless Fame, inayojishughurisha na mambo ya filamu hapa nchini, Wema Sepetu aka Madame hivi sasa yupo nchini Ghana kwaajili ya kufanya kazi na msanii maarufu nchini humo na Afrika kwa ujumla aitwaye van vicker.
Leo hii kwenye mtandao wa kijamii Wema aliweka picha hiyo akiwa na msanii huyo na kuandika “In the Making” na kumtag Van.
Jina la project (MOVIE) hiyo mpya hadi sasa bado halijajulikana. Endelea kutufuatilia hapa...
9 years ago
Michuzi27 Sep
JESHI LA ANGA LA CCM LAMALIZA KAZI TABORA,WANANCHI WAAHIDI KUCHAGUA "KAZI TU"
![](https://ci5.googleusercontent.com/proxy/vRUyt5gK-lCGtpsTfui9k6Tyahr2nOjql4RT86g2VPgldzX6syMGsuR_rv9bzQz5SsP4eCpL2ouWYUBhDJ3VaDNbgbPK8GAj_8pPI1Vvz6Cknx27tbnn9gOjgG20YYecxXzNLiWr6mp16J10B83TPlkLxlL_EGKUWc17b8FEyaAC5QzJgJrxDTeHAaVobf21vtHIbB7ALrHdm8SHNXhmDR0LPaXq5tF-JLAJrkZDW41BjzXQ=s0-d-e1-ft#https://scontent-cdg2-1.xx.fbcdn.net/hphotos-xtp1/v/t1.0-9/12043167_429722983896602_2289722885655738355_n.jpg?oh=802e9123e3ea8af0b46fb4534d18298c&oe=5690AF24)
9 years ago
Mwananchi25 Oct
SUZANE : Kazi ni kazi bora mkono uende kinywani
10 years ago
Habarileo26 Nov
Wasichana wa kazi Uganda kupewa vyeti vya kazi
INSPEKTA Jenerali wa Polisi nchini Uganda, Jenerali Kale Kayihura, ameagiza Jeshi la Polisi kuanza kutoa vyeti kwa wasichana wa nyumbani, wakati Umoja wa Mataifa (UN), ukitaka Serikali ya Uganda kuchukua hatua dhidi ya msichana wa kazi, aliyemtesa mtoto kwa kumpiga, kumtupa chini na kumkanyaga.
11 years ago
Tanzania Daima18 Mar
Kazi hii haitazidi wiki mbili — Shekifu
MJUMBE wa Bunge Maalumu la Katiba, Henry Shekifu, amesema kuwa endapo mambo mawili yanayoleta ukinzani kwenye Raismu ya Katiba yakipatiwa ufafanuzi, kazi ya kuandika katiba mpya haiwezi kuzidi wiki mbili....
10 years ago
Mwananchi24 Oct
Rais Kikwete: Kazi hii ya urais ni ngumu
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/U4nVIpmxyNOcRwNB0zBE0mWwT0rSPMSX-5reo7S9pT2WCW4dWUOpC-tcQs73nQV2P6SVveUngFTN63fA45H5HOxoZjUegPtE/Loves.jpg)
HIVI MKE WA SAMPULI HII WA KAZI GANI?