Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Hoteli iliyoshambuliwa Mali kufunguliwa

Hoteli iliyoshambuliwa katika mji mkuu wa Mali, Bamako, mwezi jana itafunguliwa tena leo.

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

BBCSwahili

Uvamizi wa hoteli nchini Mali

Watu wenye silaha wameshambulia hoteli ya Radisson Blu katika mji mkuu wa Mali, Bamako, ripoti zinasema.

 

9 years ago

BBCSwahili

Watu wenye silaha washambulia hoteli Mali

Watu wenye silaha wameshambulia hoteli ya Radisson Blu katika mji mkuu wa Mali, Bamako, ripoti zinasema

 

10 years ago

BBCSwahili

Mali:Hoteli zashambuliwa katika mji wa Savere

Watu waliojihami kwa bunduki wameshambulia zaidi ya hoteli mbili katika mji wa Sevare eneo la katikati mwa Mali.

 

9 years ago

Bongo5

27 wauawa baada ya watu 170 kushikiliwa mateka kwenye hoteli nchini Mali

2EA5E94000000578-3326708-image-a-1_1448047482182

Takriban watu 27 wameuawa Jumamosi hii baada ya watu 170 kushikiliwa mateka kwenye hoteli ya Radisson Blu ya nchini Mali.

2EA5E94000000578-3326708-image-a-1_1448047482182

Shambulio hilo limefanywa na watu watatu kwenye mji mkuu Bamako, ambapo watu hao wakiwa na silaha waliivamia hoteli hiyo. Wawili kati yao wameuawa kwenye tukio hilo.

Mbunge wa Ubelgiji, Geoffrey Dieudonné, ni miongoni mwa waliouawa.

Dieudonné alikuwa akitoa mafunzo kwa maafisa wa bunge la Mali. Rais Ibrahim Boubacar Keita ametangaza siku tatu za maombolezo.

Kundi la...

 

5 years ago

Michuzi

RC ARUSHA MRISHO GAMGO ASEMA HOTELI ALIYOPATIKANA MGONJWA WA CORONA IMEIFUNGA, WALIOPO HOTELI WOTE HAKUNA KUTOKA WALA KUINGIA

Na Mwandishi Wetu,Michuzi Globu ya jamii

MKUU wa Mkoa wa Arusha Mrisho Gambo amesema kwamba ndani ya Mkoa huo amebainika kuwepo kwa mgonjwa mmoja wa Corona na kwamba hoteli ambayo amekutwa mgonjwa huyo imefungwa na hivyo hakuna anayeingia wala anayetoka.

Akizungumza leo Machi 16 mwaka 2020 , Mkuu wa Mkoa wa Arusha Gambo amesema kama ambavyo ameeleza Waziri wa Afya ,Maendeleo  ya Jamii,Jinsia, Wazee na Watoto Ummy Mwalimu ni kweli wamepata mgonjwa mmoja wa Corona na kwa mujibu wa taarifa huyo...

 

11 years ago

Tanzania Daima

CPA kufunguliwa na Kikwete

RAIS Jakaya Kikwete, anatazamiwa kufungua mkutano wa 45 wa Umoja wa Mabunge ya Jumuiya ya Madola (CPA) Kanda ya Afrika unaojumuisha wajumbe 500 kutoka nchi 17 wanachama. Miongoni mwa mambo...

 

10 years ago

Habarileo

Hospitali IMTU kufunguliwa

UONGOZI wa Hospitali ya Chuo Kikuu cha Kimataifa cha Tiba na Teknolojia (IMTU) umesema hospitali hiyo inatarajia kufunguliwa mwishoni mwa mwezi ujao. Kufunguliwa kwake kunatokana na kukamilika kwa marekebisho ya upungufu uliokuwepo awali yaliyosababisha hospitali hiyo kufungiwa kwa muda usiojulikana.

 

10 years ago

BBCSwahili

Duka la West Gate kufunguliwa

Jumba la Westgate jijini Nairobi nchini Kenya lililoshambuliwa na magaidi wa Alshabab miaka miwili iliyopita linatarajiwa kufunguliwa upya mwishoni mwa wiki hii.

 

10 years ago

GPL

WESTGATE KUFUNGULIWA UPWA LEO

Jengo la Maduka ya Westgate. Jengo la maduka la westagate lililo katika Mji Mkuu wa Kenya Nairobi linafungua upya milango yake hii leo kwa umma baada ya kufungwa kwa kutumika miaka miwili tangu liliposhambuliwa na wanamgambo wa Al Shaabab Septemba 2013. Watu 67 waliuawa wakati wa makabiliano ya siku nne wakati wanamgambo hao walipovamia maduka hayo na kuwafyatulia risasi watu waliokuwemo ndani ya maduka hayo, kwaua na wengine...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani