Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


JIDE, HEBU JIANGALIE UPYA!

MMOJA kati ya wasanii ninaowa-heshimu sana katika muziki wa kizazi kipya kutokana na uwezo wao, ni Judith Wambura Mbibo, mwenye majina mengi ya kisanii, lakini maarufu zaidi Lady Jaydee au Jide.
Ni bonge la msanii, anajua kuimba, anajua mashairi yanayogusa na anakwenda na wakati. Tokea alipojiingiza katika muziki huo zaidi ya miaka 13 iliyopita, siku zote amekuwa mtu anayepanda juu. Wamekuja wasanii wengi vijana wa kike,...

GPL

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

GPL

ROMA KWA HILI UTALOSTI, JIANGALIE UPYA DOGO!

UGUMU wa maisha Bongo umewafanya watu wengine kujitoa ufahamu. Asubuhi na mapema, unamkuta kijana wa Kitanzania amekamata kinywaji chake aina ya kiroba anakunywa, anataka ashinde akiwa hana akili sawasawa, maana hajui jinsi siku yake itakavyoisha. Anapowaona viongozi wakikatisha ndani ya magari ya thamani kubwa, anasema ‘wenye nchi hao bwana, ndiyo wanakula maisha’. Akilini mwake anaamini kabisa kuwa kuna kundi f’lani dogo...

 

10 years ago

Vijimambo

11 years ago

GPL

KAJALA,WEMA HEBU NISIKILIZENI KIDOGO!

Mastaa wa filamu Bongo, Wema Sepetu na Kajala Masanja.
KWENU,Mastaa wa filamu Bongo, Kajala Masanja na Wema Sepetu. Poleni kwa tifu linaloendelea kati yenu. Hongereni kwa kazi za kila siku za kujipatia kipato. Tuweke mambo yote pembeni, mimi kama kaka yenu, hebu tuzungumze kirafiki kidogo leo. Nimefuatilia kwa karibu ugomvi unaoendelea kati yenu, moyoni imeniuma na nimeona naweza kuwashauri mawili matatu, nanyi mkiona...

 

11 years ago

GPL

DIMPOZ, HEBU ACHA ULIMBUKENI WA HELA

Staa wa Bongo Fleva, Omar Nyembo 'Ommy Dimpoz'. UNAPOTAKA kutaja majina ya vijana chipukizi, ambao sasa wanaogelea katika bahari ya ustaa, basi huwezi kuliweka mbali jina la Ommy Dimpoz, mkali wa vibao vikali vya Baadaye na Tupogo. Hizi ngoma mbili zimekimbiza sana na nadhani ndizo zinazompa shoo nyingi, ndani na nje ya nchi, ingawa pia hivi karibuni aliingiza mtaani kazi yake nyingine inayokwenda kwa jina la Ndagushima.
...

 

11 years ago

GPL

STEVE NYERERE, HEBU ACHANA NA ZILE ZA RAY

Mwenyekiti wa Bongo Muvi, Steve Nyerere. KUWA kiongozi wa ngazi yoyote ile, ni changamoto kubwa sana. Hata familia nyingi zinazoyumba, iwe kiuchumi au kimaadili, zinachangiwa kwa kiwango kikubwa sana na kukosa kiongozi imara, awe baba, mama au hata shangazi na mjomba. Baba ambaye hana msimamo, hata kama ana fedha ataifanya familia yake ikose kuaminika, idharaulike. Baba akiwa mlevi kupindukia, akilewa chakari na kuanza kutukana...

 

9 years ago

StarTV

Je unajua Lowassa alichokifanya Leo?hebu tazama

Wakati ambapo wananchi wana kiu ya kufahamu Ukawa watafanya lini uzinduzi wa kampeni zao hasa kwa kuzingatia kuwa CCM imefanya uzinduzi wa kishindo jana katika viwanja vya Jangwani, Dar es Salaam, mgombea urais wa Chadema na Ukawa, Edward Lowassa ameanza ziara ya kupanda usafiri wa umma (daladala). Lowassa ameanza ziara yake asubuhi hii ambapo anapanda katika usafiri huo wa umma kwa lengo la kuwafikia wananchi wa maisha ya chini kabisa ili awasikilize kwa ukaribu na kufahamu kero zao. Katika...

 

9 years ago

Raia Mwema

Hebu tudurusu ‘Ufisadi’ wa Lowassa na ‘Usafi’ wa Magufuli

NITAANZA makala yangu ya wiki hii kwa kurejea swali nililoliuliza mwishoni mwa ile ya wiki iliyop

Jenerali Ulimwengu

 

10 years ago

Bongo Movies

Wewe ni Shabiki wa Riyama? Hebu Pitia Hapa

Huyu ni moja kati ya waigizaji wa kike wanaokubalika zaidi kwa kuvaa uhusika kwenye kazi zao, ni moja kati ya mastaa kutoka Bongo Movies ambao hawana skedo za AJABU AJABU,kiufupi  ni moja kati ya wanaojielewa na kujiheshimu , hii inamfanya kuheshimika mbele ya jamii,huyu sio mwingine bali ni Riyama Ally.

Kwakua unamkubali na unapenda kazi zake mpigie kura kama mwigizaji anayependwa na filamu yake inayopendwa...Tuma neno TUZO kwenda 15678 utapokea ujumbe unaoainisha vipengele vyote vya tuzo...

 

10 years ago

Mwananchi

NATOA HOJA: Hebu anzeni kuwafuatilia Etoile du Sahel

Wiki iliyopita, Yanga iliwatoa kimasomaso Watanzania kwa kuirarua Platinum ya Zimbabwe mabao 5-1 katika mchezo wa kwanza wa raundi ya kwanza.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani