KAJALA: NINA MACHOZI YA KARIBU
![](http://api.ning.com:80/files/LWw0InctTwlDp8e63jQZz*JmkXBzgIXyht6RuQdQnnGOHMz1nOZuSIRzfAwS7MghX7duchuKaCwUWsqFhhJ1qcPKrXj6JF94/kajala.jpg?width=650)
Stori: Imelda Mtema STAA wa sinema za Kibongo, Kajala Masanja ‘K’ amefunguka kuwa machozi yake huwa yapo karibu hivyo ukimuudhi kidogo tu lazimaalie. Staa wa sinema za Kibongo, Kajala Masanja ‘K’ Akipiga stori mbili-tatu na Bongowood, Kajala alisema: “Machozi yangu yapo karibu sana sijui kwa nini huwa nashindwa sana kujizuia yaani mtu akinikorofisha kidogo tu lazima nitoe machozi ndipo hasira...
GPL
Habari Zinazoendana
10 years ago
Bongo Movies13 Apr
Kajala: Nina Kibarua Kumchunga Paula
Staa mrembo wa Bongo Movies, Kajala Masanja ‘Kay’ amefunguka kuwa kwa umri aliofikia mwanaye, Paula Paul wa miaka 14 ana kibarua kigumu cha kuhakikisha anakuwa salama hasa kwenye suala la wanaume.
Akiongea na gazeti la Ijumaa Wikienda hivi karibuni, Kajala alisema kuwa kwa umri huo, Paula ambaye alizaa na Prodyuza wa Bongo Records, Paul Matthysse ‘P Funky’ anahitaji uangalizi wa nguvu na kumsimamia kwa kila jamabo ili kuwakwepa ‘mijitu mikware’ ambao wanaweza kumrubuni.
“Dunia ya sasa...
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/DGjgPH8*8vlKXF45tsuSpCVp5Mjeqy*2Wh-5tCqfhHH40EV6M0c72INNMKE7*Fnphc2fnfh8MJDlzlNyg1dSE-5nZMb-xRPu/3.jpg?width=650)
KAJALA: NINA KIBARUA KIGUMU KWA PAULA
10 years ago
Vijimambo![](http://img.youtube.com/vi/Cmufrv6JsXU/default.jpg)
11 years ago
Bongo Movies19 Jul
Baada ya Kajala kudai Wema ni mnafiki,Wema aamua kujibu mapigo. 'Amlipua' vibaya Kajala
Ikiwa ni siku chache zimepita baada ya mwigizaji Kajala kudai kuwa mrembo Wema Sepeteu ni Mnafiki, hatimaye Mwanadada Wema Sepetu , amemlipua aliyekuwa shosti wake, Kajala Masanja ‘K’ ambaye wiki iliyopita alimwita mnafiki, habari ambayo ilisambaa katika mitandao mbalimbali ya kijamii.
Katika habari hiyo, Kajala alikaririwa akisema kwamba licha ya watu wengi kuamini wamepatana, hakuna ukweli kwani rafiki yake huyo ni mnafiki kufuatia kutomthamini na kutokuwa karibu naye kama zamani...
10 years ago
VijimamboEmerson: Nina habari za Simba
Kiungo mkabaji, Mbrazil Emerson De Oliveira Neves Rouqe amewasili nchini na kupokewa na mashabiki wachache wa Yanga kwenye Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Julius Nyerere...
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/2VGrzzXedu0IVUjvVjLWJU4lQ1ewsJdxh-vZijj5bYDPzBqWxg8cQKD9sb1nLQbKCSo7RIv1FnKhEjUZ6TNVj4R4EpSVAXU*/DIDA.jpg)
DIDA NINA SHEPU YA KALIMATI!
10 years ago
Bongo Movies10 Dec
Dude:Nina Watoto Wanane Tu!!
MWONGOZAJI na mwigizaji mahiri katika tasnia ya filamu za Bongo, Kulwa Kikumba ‘Dude’, ametaja idadi ya watoto wake akisema wapo wanane tu. Amekanusha vikali kuwa na timu ya mpira (watoto 11) idadi inayovumishwa na wengi.
Dude anatajwa kuwa ni msanii anayeongoza kwa kuwa na idadi kubwa ya watoto kwa wasanii wengine wa kiume wa Tanzania.
“Kila mtu anasema anavyojisikia, mara ooh Dude ana timu nzima ya mpira wa miguu, lakini ukweli ni kwamba nina watoto wanane tu, ambao nimezaa na...
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/pgHCO1djFo6KdDmUP9P4fZavjOz9dxFE-s7OkIs357O-7Mm*Zi-XV55Mn4Mjn7HgBV7H6lBs6sIyr*8MefbmwvyqwMCBOe*K/1.gif?width=650)
WASTARA: NINA JINAMIZI LA AJALI!
10 years ago
Habarileo31 Aug
JK: Bado nina mamlaka kutimua Ma-RC, Ma-DC
RAIS Jakaya Kikwete amesema bado anayo mamlaka ya kuwafuta kazi wateule wake wakiwemo wakuu wa mikoa na wilaya ambao watashindwa kusimamia ukamilishaji wa ujenzi wa maabara katika shule za sekondari za kata ifikapo Novemba mwaka huu.