Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Katiba ya kulazimisha itaiumiza nchi

KUIBUKA kwa shangwe, vifijo, nderemo na vigeregere katika Bunge Maalum la Katiba baada ya kutangazwa kwa matokeo ya kura za kupitisha vifungu vya Katiba inayopendekezwa mapema wiki hii ni dalili...

Tanzania daima

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Habarileo

‘Hatuwezi kulazimisha Nkurunziza kutogombea’

Waziri wa Mambo ya Ndani, Mathias Chikawe.SERIKALI imesema haitamlazimisha Rais wa Burundi, Pierre Nkurunziza kuacha kugombea urais wa nchi hiyo kwa muhula wa tatu kama ambavyo wananchi wa Burundi wanavyoandamana kupinga jambo hilo.

 

10 years ago

Habarileo

‘Ni marufuku kulazimisha malipo kwa fedha za kigeni’

Waziri wa Fedha, Saada Mkuya Salum.WAZIRI wa Fedha, Saada Mkuya amesema, kwa mujibu wa tamko la Serikali la mwaka 2007, Mtanzania yeyote hapaswi kulazimishwa kufanya malipo kwa fedha za kigeni.

 

9 years ago

Mwananchi

Askofu: Kauli za kulazimisha kwenda Ikulu hatari

Askofu wa Kanisa  la Pentecostal Assemblies of God Tanzania (PAG), Mbeya Christian Centre (MCC), Damianus Kongoro  amesema kauli za wanasiasa kulazimisha kwenda Ikulu zinazotolewa kipindi hiki  zinatishia usalama na amani ya nchi.

 

11 years ago

Mwananchi

Mjadala wa Katiba ulenge masilahi ya nchi

Kuwasilishwa kwa rasimu ya pili ya Katiba Mpya kwa marais Jakaya Kikwete wa Jamhuri ya Muungano na Dk Ali Mohamed Shein wa Zanzibar, ni hatua muhimu katika mchakato wa kuandika upya sheria hiyo mama.

 

11 years ago

Habarileo

'Watanzania msiige Katiba za nchi nyingine'

MWANASHERIA Mkuu wa zamani wa Kenya, ambaye sasa ni Seneta wa Busia, Amos Wako amewashauri wajumbe wa Bunge Maalum la Katiba, kutoiga kila kitu kutoka kwenye Katiba za nchi nyingine bali wajifunze na kutunga Katiba inayoendana na mazingira ya Tanzania.

 

11 years ago

Tanzania Daima

Tuache maslahi binafsi tutafute katiba ya nchi

MCHAKATO wa kuandika katiba mpya ya taifa letu umefika mahali pagumu. Ni pagumu kwa vile mwenendo wa Bunge Maalumu la Katiba hauonyeshi kutoa kile ambacho wananchi wanakisubiri kwa hamu sana....

 

11 years ago

Habarileo

‘Tumuombe Mungu nchi ipate katiba ya wengi’

ASKOFU Mkuu wa Kanisa la Tanzania Assemblies of God (TAG), Dk Barnabas Mtokambali amesema vyama vya siasa haviwezi kuwa suluhisho la kupatikana kwa Katiba mpya bali kinachotakiwa ni kumuomba Mungu ili nchi ipate katiba yenye maslahi ya wengi na si kwa ajili ya kundi dogo la watu.

 

10 years ago

Mwananchi

Katiba Mpya imetoa mwelekeo mbaya wa nchi

Katiba Mpya inayopendekezwa na Bunge Maalumu la Katiba baada ya kuchakachua maoni ya Tume iliyoongozwa na Jaji Joseph Warioba, imetoa mwelekeo mbaya wa nchi kisiasa.

 

11 years ago

Mwananchi

Wengi wape haitaipa nchi katiba inayofaa

Mara kwa mara tumesema kwamba kitu cha msingi kinachotakiwa kutoka katika mioyo ya wajumbe wa Bunge Maalumu la Katiba ni kuandika Katiba mpya inayozingatia masilahi ya umma.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani