Katiba ya kulazimisha itaiumiza nchi
KUIBUKA kwa shangwe, vifijo, nderemo na vigeregere katika Bunge Maalum la Katiba baada ya kutangazwa kwa matokeo ya kura za kupitisha vifungu vya Katiba inayopendekezwa mapema wiki hii ni dalili...
Tanzania daima
Habari Zinazoendana
10 years ago
Habarileo30 May
‘Hatuwezi kulazimisha Nkurunziza kutogombea’
SERIKALI imesema haitamlazimisha Rais wa Burundi, Pierre Nkurunziza kuacha kugombea urais wa nchi hiyo kwa muhula wa tatu kama ambavyo wananchi wa Burundi wanavyoandamana kupinga jambo hilo.
10 years ago
Habarileo11 Jun
‘Ni marufuku kulazimisha malipo kwa fedha za kigeni’
WAZIRI wa Fedha, Saada Mkuya amesema, kwa mujibu wa tamko la Serikali la mwaka 2007, Mtanzania yeyote hapaswi kulazimishwa kufanya malipo kwa fedha za kigeni.
9 years ago
Mwananchi17 Aug
Askofu: Kauli za kulazimisha kwenda Ikulu hatari
11 years ago
Mwananchi31 Dec
Mjadala wa Katiba ulenge masilahi ya nchi
11 years ago
Habarileo21 Mar
'Watanzania msiige Katiba za nchi nyingine'
MWANASHERIA Mkuu wa zamani wa Kenya, ambaye sasa ni Seneta wa Busia, Amos Wako amewashauri wajumbe wa Bunge Maalum la Katiba, kutoiga kila kitu kutoka kwenye Katiba za nchi nyingine bali wajifunze na kutunga Katiba inayoendana na mazingira ya Tanzania.
11 years ago
Tanzania Daima30 Mar
Tuache maslahi binafsi tutafute katiba ya nchi
MCHAKATO wa kuandika katiba mpya ya taifa letu umefika mahali pagumu. Ni pagumu kwa vile mwenendo wa Bunge Maalumu la Katiba hauonyeshi kutoa kile ambacho wananchi wanakisubiri kwa hamu sana....
11 years ago
Habarileo12 Apr
‘Tumuombe Mungu nchi ipate katiba ya wengi’
ASKOFU Mkuu wa Kanisa la Tanzania Assemblies of God (TAG), Dk Barnabas Mtokambali amesema vyama vya siasa haviwezi kuwa suluhisho la kupatikana kwa Katiba mpya bali kinachotakiwa ni kumuomba Mungu ili nchi ipate katiba yenye maslahi ya wengi na si kwa ajili ya kundi dogo la watu.
10 years ago
Mwananchi08 Oct
Katiba Mpya imetoa mwelekeo mbaya wa nchi
11 years ago
Mwananchi19 Apr
Wengi wape haitaipa nchi katiba inayofaa