Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Kero mlundikano wa mizigo bandarini mbioni kumalizwa

Tatizo la mlundikano wa mizigo katika Bandari ya Dar es Salaam liko mbioni kupatiwa ufumbuzi baada ya Kampuni inayoendesha kitengo cha makontena ya Ticts kuagiza mitambo mipya ya kupakia na kupakua.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Habarileo

Mzozo Escrow kumalizwa J3

Rais Jakaya Kikwete.SAKATA la utoaji wa Sh bilioni 182.7 katika iliyokuwa akaunti ya Escrow katika Benki Kuu wa Tanzania (BoT), lililonguruma ndani ya Bunge na kuendelea nje tangu mwanzoni mwa Novemba mwaka huu, linatarajiwa kupewa majibu ya kina Jumatatu ijayo.

 

11 years ago

Uhuru Newspaper

Mlundikano wa kesi wamkera waziri


NA RACHEL KYALA
VITUO vinavyotoa msaada wa kisheria nchini vimetakiwa kupanua wigo wa huduma, ili kuzinusuru mahakama na tatizo la mlundikano wa kesi.

Huduma hizo ni pamoja na kutoa usuluhishi ili mashauri yaishie nje ya mahakama.
Alisema hivi sasa mahakama zimekuwa na mlundikano mkubwa wa kesi, ambazo nyingine zingewezwa na wataalam wa sheria katika vituo hivyo.
Mbali na usuluhishi, vilevile vimetakiwa kuwa na maofisa ustawi wa jamii watakaokuwa wanatoaushauri nasaha licha ya msaada wa...

 

11 years ago

Habarileo

Mahakama kuondoa mlundikano wa kesi

JAJI Mkuu wa Tanzania, Mohamed Othman Chande, amesema Mahakama imejipanga kuondoa tatizo la mlundikano wa mashauri ya muda mrefu ndani ya miezi 18 ijayo.

 

10 years ago

Vijimambo

USAFIRSHAJII MIZIGO DAR NA ZANZIBARUSAFIRSHAJII MIZIGO DAR NA ZANZIBAR

TUMA BIASHARA ZAKO KWA NJIA YA BAHARI AMBAYO NI NAFUU KWA UZITO WOWOTE ULE, CONTAINER LETU LINAONDOKA MWISHO MWA FEBRUARY.KWA TAARIFA ZAIDI WASILIANA NASI KWA CONTACT HIZO HAPO JUU

 

9 years ago

Habarileo

Hofu bandarini

MAJINA ya watumishi wa Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA) na Mamlaka ya Bandari Tanzania (TPA), waliohusika kutoa makontena 2,431 bila kulipa ushuru kati ya Machi hadi Septemba 2014 katika Bandari ya Dar es Salaam, yamepatikana na kufikishwa kwa Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa.

 

11 years ago

Tanzania Daima

Uingizaji shehena waongezeka bandarini

UINGIZAJI wa shehena katika bandari za mamlaka umeongezeka kutoka tani 1.185 wakati wa uhuru mwaka 1961 hadi kufikia tani 13,500  mwaka jana. Hayo yalibainishwa jijini Dar es Salaam jana na...

 

10 years ago

Habarileo

TPA kuimarisha huduma bandarini

UONGOZI wa Mamlaka ya Usimamizi wa Bandari Tanzania (TPA), umeelezea nia yake ya kuzidi kuboresha Bandari ya Dar es Salaam na kuifanya kuwa lango kuu la kupitisha mizigo kwa nchi za ukanda wa Afrika Mashariki, Kati na Kusini.

 

11 years ago

BBCSwahili

Urasimu bandarini Mombasa kushughulikiwa

Watumiaji wa bandari ya Mombasa nchini Kenya huenda wakawa na afueni, kufuatia mkataba wa kupunguza urasimu utakaosainiwa leo

 

11 years ago

Mwananchi

Mwakyembe, bandarini hapako vizuri

Tanzania ni nchi ambayo kijiografia imekuwa na bahati ya kutoa huduma kwa nchi sita zinazotegemea Bandari ya Dar es Salaam kupokea mizigo yao kutoka ng’ambo.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani