Kumbe ‘zimamoto’ siyo kwenye mitihani tu
Habari zenu wanadarasa huru. Ni juma lingine tena tunakutana kufahamishana mambo mbalimbali. Karibuni katika safu hii.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/3KGM3KZVxz59rLxARnoXSKhgFXJnwlqCr93aaA2s6AOjsuw7oBCPO0-RHuHW5Vzcm1SWSvlXzWWBna7XH02WrCZuWpMb5WL5/mateso.gif?width=650)
MAMA: AWALI NILIJUA NINA UJAUZITO KUMBE SIYO
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/d*xx8iAX09WQJXWKZcHjE2z*hoi5eGA3lo9mwVBFBstZB8vcfbY6jm*ijhWBtIy8I0DSfv7jCi*72IjJqTmNITYuDNeD164J/1.jpg)
KIFO CHA MWANASIASA MAARUFU; KUMBE SIYO KOMBA
11 years ago
Dewji Blog19 Jun
Ridhiwani kumbe jembe! mamia wafurika kwenye mikutano yake Singida
Mjumbe wa halmashauri kuu CCM (NEC) taifa, Ridhiwani Kikwete akihutubia mamia ya wakazi wa tarafa ya Itigi jimbo la Manyoni magharibi.
Na Nathaniel Limu, Itigi
ZIARA ya Mjumbe wa Halmashauri Kuu CCM (NEC) Taifa, Ridhiwani Kikwete, aliyoifanya katika jimbo la Manyoni magharibi mkoani Singida hivi karibuni, imefunika kwa kuhudhuriwa na mamia ya wana CCM na wanachi kwa ujumla, kitendo ambacho hakikutarajiwa.
Aidha, hotuba zake alizotoa kwenye mikutano ya hadhara iliyofanyika katika vijiji...
9 years ago
MillardAyo30 Dec
DJ wa Jay Z katua Dar es Salaam.. kumbe ana washkaji TZ !! Mengine kwenye dakika 3.. +Video
Jamaa anaitwa DJ Young Guru, huyu ndio jamaa ambae anafanya kazi kama DJ wa rapper Jay Z akiwa kwenye show zake… Hii ni safari ya pili kwa Young Guru kukanyaga Tanzania. Young Guru anasema anajisikia poa sana kwa sababu tayari alipata washkaji kadhaa alipotua mara ya kwanza na alifahamiana pia na baadhi ya watu, kwa […]
The post DJ wa Jay Z katua Dar es Salaam.. kumbe ana washkaji TZ !! Mengine kwenye dakika 3.. +Video appeared first on TZA_MillardAyo.
10 years ago
Bongo513 Nov
(18+): Kumbe Kim Kardashian alionesha hadi ‘nanihii’ yake kwenye jarida la Paper (Picha)
9 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/Uf5Jdma8M3241BYZfcII5076gpdmu-9P2YI8q0O6YQJRLwIpCwxm5sNQdHu8w9ZEvgM43uoTjbiRq7ExyIWhwyxbTwTDwCPA/BACKUWAZI.jpg?width=650)
VURUGU KWENYE KAMPENI ZA UCHAGUZI HII SIYO SIASA
10 years ago
Vijimambo11 Feb
Mahojiano Maalum: “Ujane siyo ulemavu wala Huyatima siyo kufungwa” -Tabu Obago
![Tabu Obago, akiwa nyumbani kwake Mbagala](http://alphaigogo.com/wp-content/uploads/2015/02/Tab-Obago-169x300.jpg)
Wapendwa wasomaji, wiki iliyopita niliwaletea mahojiano maalum kutoka kwa dada Zawadi Kakoschke. Katika mahojiahano hayo moja ya maswali ambayo nili muuliza ni kama kuna huusiano kati ya majina ambayo wazazi wanawapa watoto wao na mafanikio au tabia ya watoto hao. Sehemu ya mahojiano hayo yalikuwa kama ifuatavyo:-
Wewe binasfi unaamini majina ambayo wazazi wana wapa watoto wao yanachangia katika mafanikio yao kiuchumi, kielimu, na tabia zingine?...
9 years ago
Mtanzania08 Dec
Chagonja ahamishiwa Zimamoto
Na Mwandishi Wetu
AMIRI Jeshi Mkuu wa Majeshi ya Ulinzi na Usalama, Rais Dk. John Magufuli amefanya mabadiliko madogo ya utendaji ndani ya Jeshi la Polisi kwa kumhamisha Kamishina wa Operesheni na Mafunzo, CP Paul Chagonja.
Habari za uhakika zilizopatikana mjini Dar es Salaam jana, zinasema Rais Magufuli amemteua Kamishina Chagonja kuwa Kamishina mpya wa Jeshi la Zimamoto na Uokoaji.
“Rais amefanya mabadiliko madogo ndani ya Jeshi la Polisi, amemhamisha Kamishina Chagonja tangu jana (juzi)...
10 years ago
Tanzania Daima18 Nov
Washauri Zimamoto iunganishwe Tanesco
SERIKALI imetakiwa kubadilisha utaratibu wa huduma za gari la zimamoto na kuzihamishia katika kitengo cha dharura cha Shirika la Umeme Tanzania (Tanesco), ili iwe rahisi wakati matukio ya moto yanapotokea....