Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


MASOGANGE LAIVU NA MIDUME MIWILI HOTELINI

Muuza nyago maarufu Bongo, Agnes Gerald Waya ‘Masogange’. Hamida Hassan na Gladness Mallya AIBU jamani! Muuza nyago maarufu Bongo, Agnes Gerald Waya ‘Masogange’ ametia aibu baada ya kunaswa laivu hotelini akifanya yake na wanaume wawili tofauti, Ijumaa Wikienda linaripoti. Kwa mujibu wa chanzo cha karibu na Masogange, tukio hilo lilijiri katika Hoteli ya Lamada iliyopo Mbezi-Beach jijini Dar hivi karibuni baada ya mrembo...

GPL

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

GPL

ESTER AWATOA UDENDA MIDUME HOTELINI

Hamida Hassan
Staa anayefanya poa kwenye tasnia ya filamu Bongo, Ester Kiama, juzikati aliwatoa udenda wanaume waliokuwa ndani ya Hoteli ya Landmark iliyopo Mbezi jijini Dar baada ya kutinga akiwa amevaa kivazi cha kihasara ile mbaya. Staa anayefanya poa kwenye tasnia ya filamu Bongo, Ester Kiama. Ester aliingia hotelini hapo akiwa amevaa shati tu na kuacha wazi eneo la kuanzia mapajani, kitendo kilichowafanya wanaume wengi...

 

10 years ago

Bongo Movies

Ester Awatoa Udenda Midume Hotelini

Staa mrembo wa Bongo Movies, Ester Kiama, juzikati aliwatoa udenda wanaume waliokuwa ndani ya Hoteli ya Landmark iliyopo Mbezi jijini Dar baada ya kutinga akiwa amevaa kivazi cha kihasara ile mbaya.

Ester aliingia hotelini hapo akiwa amevaa shati tu na kuacha wazi eneo la kuanzia mapajani, kitendo kilichowafanya wanaume wengi kuacha shughuli zao na kumkodolea macho.

“Hee! Huyu ni Ester yule msanii wa filamu? Mama yangu weee, ndo’ kavaa kivazi gani kile sasa. Yaani huyu ipo siku atatembea...

 

10 years ago

Mwananchi

PAC yahoji mkuu wa wilaya kuishi hotelini miezi miwili

Dar es Salaam. Kamati ya Hesabu za Serikali (PAC), imebaini madudu katika taarifa za hesabu za mikoa ya Mara na Tanga kwa mwaka 2013/14, zilizowasilishwa kwenye kikao cha kamati hiyo kilichofanyika jijini hapa.

 

10 years ago

Vijimambo

DAVIDO WAPEANA MAKAVU LAIVU LAIVU KWENYE MITANDAO

Ikiwa bado ni asubuhi kabisa yaani wiki ya kwanza ya 2015, lakini inavyoonekana kuna mtu kagusa ‘wrong note’ kwenye gitaa la bwana David Adedeji Adeleke a.k.a Davido, hivyo ameamua kumtolea uvivu!Muimbaji huyo wa Nigeria ambaye yupo Dubai na familia kwaajili ya mapumziko ya sikukuu za mwisho wa mwaka, ametumia Twitter kutoa hasira zake kwa mtu ambaye hakumtaja kwa jina, kwa kuandika “Niggas forget who helped them So quick God don bless me I do my thing dey go keep my name out ur mouth !! WHO...

 

10 years ago

GPL

AMTOROKA BWANA’KE AJIACHIA NA MIDUME 5

Stori: RICHARD  BUKOS/Risasi
BINTI aliyefahamika kwa jina moja la Ashura, anayedaiwa kuwa ni mke wa mtu, hivi karibuni alimtoroka bwana’ke na kuonekana akijiachia hovyo na wanaume watano tofauti katika Ukumbi wa Mango Garden, Kinondoni jijini Dar es Salaam kulipokuwa na onyesho la Bendi ya Taarabu ya Mashauzi Classic.…

 

10 years ago

Vijimambo

Muonekano wa Lulu 2015 Wawa Gumzo, Midume yasema Anazidi Kuwa Mtamu Kama Mcharo

Lulu Michael Mrembo wa Bongo Flava amezidi mwagiwa sifa Kede kede mitandaoni hasa Instagram kwa jinsi anavyojiweka kimuonekano japo anakabiliwa na kesi ya........mauaji ya bila kukusudia ya marehemu Kanumba , Watu wamempa sifa na kusema toka atoke mahabusu kwa dhamana amezidi kuwa mrembo zaidi..Wapo wanaotania na kusema amezidi kuwa Mtamu kama Mcharo!!!!

 

10 years ago

GPL

JIDE, AY LAIVU!

Stori: Andrew Carlos
KABANG! Mwanadada asiyechuja kwenye muziki wa Bongo Fleva, Judith Wambura Mbibo   ‘Jide’ mwishoni mwa wiki iliyopita alibambwa ‘laivu’ kwa mara ya kwanza katika kipindi kirefu akiwa ‘very close’ na mwanamuziki mwenzake, Ambwene Yessaya ‘AY’ wakiteta jambo. Wabongo Fleva, Judith Wambura Mbibo ‘Jide’ na Ambwene Yessaya ‘AY’...

 

9 years ago

GPL

RIYAMA LAIVU!

KANASWA! Staa wa filamu Bongo, Riyama Ally kwa mara ya kwanza amenaswa laivu na kijana aliyemtambulisha kama mwandani wake, akimtaja kwa jina la Idd Mwalimu Mzee, anayemzidi umri kwa miaka saba, Amani linaandika. Staa wa filamu Bongo, Riyama Ally akiwa na anayedaiwa kuwa ni mpenzi wake. ‘Sapraizi’ hiyo ilitokea saa sita mchana Jumatatu wiki hii nyumbani kwa muigizaji huyo, Mabibo jijini Dar, akiweka wazi kuwa muda...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Watalii 17 wavamiwa hotelini

KUNDI la watu wanaoaminika kuwa ni majambazi wakiwa na silaha za moto na mapanga, wamevamia watalii 17 kutoka mataifa mbalimbali na kuwapora kiasi kikubwa cha fedha, kamera na kompyuta mpakato...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani