Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


MASTAA, WAJANJA WA KWELI HAWALI ‘SEMBE!’

Rehema Chalamila ‘Ray C’. INGAWA Rehema Chalamila ‘Ray C’ na Radhid Makwilo ‘Chid Benz’ ndiyo wasanii pekee waliokiri hadharani kuwahi kutumia madawa ya kulevya na kwamba wako katika harakati za kuhakikisha wanaachana nayo, ukweli ulio dhahiri ni kwamba tunao wasanii wengi, hasa wa Bongo Fleva ambao ni wabwia unga!Wakati vuguvugu la muziki huu linaanza kupamba moto mwanzoni mwa miaka ya...

GPL

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

GPL

Coutinho anogewa na sembe, ubwabwa Yanga SC

Kiungo mpya wa Yanga, Mbrazili, Andrey Coutinho.
Na Wilbert Molandi
AKIWA amefikisha wiki mbili tangu atue Yanga, kiungo mshambuliaji wa timu hiyo, Mbrazili, Andrey Coutinho, amefurahia mchanganyiko wa vyakula vya nchini. Mbrazili huyo alijiunga na Yanga kwa mkataba wa miaka miwili ya kuichezea timu hiyo inayojiandaa na Ligi Kuu Bara na Kombe la Shirikisho Afrika. Akizungumza na Championi Jumatatu, Coutinho alisema vyakula...

 

10 years ago

Vijimambo

Utajua Marafiki wa kweli na Mburulazzz, Lulu Michael Ndio Rafiki wa Kweli

The King Of All Bongo Social Media Network, Le Mutuz ukipenda muite Mzee wa mabebezz amemshukuru mrembo na mwigizaji lulu kwa kuonyesha kumjali wakati wa matizao na kuwashukia baadhi ya marafiki zake ambao huwa wao pamoja nae wakati wa raha tu, ila wakataki washida wote hupoatea. Le mutuz alifunguka“Kwenye shida ndio utajua marafiki wa kweli na le super gademu mburulazzz ..nilipotangaza my House warming Party yanapiga simu kila dakika kuomba mualiko lakini nimesema Mama yangu anaumwa hamna...

 

10 years ago

Mwananchi

Unaposoma unaweza kutambua taarifa anazoandika mtunzi zilizo kweli na zisizo kweli?

Katika makala yangu yaliyochapishwa gazetini tarehe Julai 6, iliyokuwa na kichwa : “Fahamu namna ya kuboresha uwezo wako wa kusoma,” nilieleza kuwa sharti moja la kusoma vizuri ni kuwa na uwezo wa kusoma huku ukitathmini ukweli wa habari unayosoma. Kuna wasomaji kadhaa wameniomba nieleze jinsi mtu anavyoweza kutathmini anachokisoma.

 

11 years ago

Michuzi

News alert: watu 12 raia wa iran na pakistani kizimbani kwa kukutwa na 'sembe' kilo 200.5 bahari kuu

Watu 12 rais wa Iran na Pakistani wamefikishwa katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu, jijini Dar es Salaam leo, wakikabiliwa na mashitaka ya kukutwa na kuingiza nchini kilo 200.5 za dawa za kulevya aina ya heroin zenye thamani ya Sh. bilioni 9.022.   Washtakiwa hao ni, Kepteni Ayoub Mohamed raia wa Irani, Wavuvi, Buksh Mohamed raia wa Pakistani, wa Irani Buksh Mohamed, Fahiz Dauda, Rahim Baksh wa Pakistani, wa Iran Khalid Ally na Abdul Somad.  Wengine ni raia wa Pakistani Abdul Bakashi,...

 

10 years ago

Raia Mwema

Abrakadabra ni neno la wajanja!

JAMII yetu iko kwenye hali ya mkanganyiko.

Maggid Mjengwa

 

11 years ago

BBCSwahili

Walevi wajanja wa Nairobi, Kenya

Madereva walevi nchini Kenya wamebuni njia za kufika nyumbani huku wakikwepa kifaa cha 'Alcoblow' kinachotumiwa na polisi kuwanasa

 

9 years ago

GPL

WAJANJA WA NDALA, NZEGA WAMESTUKA!

Wasanii mbalimbali wakisalimia na mgombea mwenza wa nafasi ya urais kwa tiketi ya CCM, Bi. Samia Suluhu, eneo la Ndala, Nzega Vijijini, jana.Wasanii wakitangaza kampeni yao ya 'Nimestuka'.

 

10 years ago

GPL

ISHU YA MASTAA KUJIUZA CATHY AWALAUMU MASTAA WA KIUME

Na Mayasa Mariwata
MKONGWE kwenye tasnia ya filamu Bongo, Subrina Rupia ‘Cathy’ amewalaumu vikali mastaa wa kiume Bongo kuwa ndiyo chanzo kikubwa cha tasnia kutawaliwa na mastaa wa kike wanaojiuza. Mkongwe kwenye tasnia ya filamu Bongo, Subrina Rupia ‘Cathy’ Akizungumzia kuhusiana na kuwepo kwa madai ya wasanii wa kike Bongo Movie kujiuza, Cathy alisema hawezi kuweka wazi kama anawajua wahusika au...

 

10 years ago

Vijimambo

NEW YORK - JIJI LA WAJANJA LAVAMIWA NA WALEGEVU WA MAMBO

Jiji la New York jana jumapili lilikuwa baadhi ya mitaa haipitiki, baada ya kufungwa na kuwapa fursa walegevu wa mambo ( wasenge)  kusherehekea na kupongezana baada ya mahakama juu nchini marekani  kuhalalisha ndoa ya jinsia moja, (mwanamke kumuowa mwanamke mwengine, na mwanamme kumuowa mwanamme mwengine, kitu ambacho kimewatia hasira baadhai ya wana dini na kuandaa kupingana na uamuzi huoo wa mahakama ya juu





















 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani