MNGONI APOTEA, AIBUKA AKIWA MMASAI
![](http://api.ning.com:80/files/fF4HFdlaoO7t1aYjLjqKm-El1v1g7eWNEO5o3M5tamxKJmVYF41zzPTuHN64rplYfSVkb99gF0BHuhm1rGgO7crQhS7ua4v3/MTOTO.jpg)
Hamida Hassan na Gladness Mallya Maajabu ya karne! Mtoto aliyezaliwa na wazazi wa kabila la Kingoni (Mngoni), Samson Matei Joseph wa Nguruka Kata ya Nguruma wilayani Uvinza mkoani Kigoma alipotea miaka miwili iliyopita lakini katika hali ya kushangaza, hivi karibuni ameibuka akiwa ni Mmasai baada ya kusakwa bila mafanikio. Mtoto aliyezaliwa na wazazi wa kabila la Kingoni (Mngoni), Samson Matei Joseph wa Nguruka Kata ya Nguruma...
GPL
Habari Zinazoendana
11 years ago
Tanzania Daima05 Jan
‘Mmasai wa Kigoma’ aibuka na ‘Tatizo Mtonyo’
MSANII chipukizi wa hip hop, Nyembo Ayoub, maarufu kama ‘Mmasai wa Kigoma’ aliyeamua kutumia staili na vionjo vya marehemu Mr. Ebbo, amefyatua kibao cha pili kinachokwenda kwa jina la ‘Tatizo...
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/SRbpV0Al75pMeJwdpRKqsdau-scaCgWFsdowSpVD0Ba4KFmq*ZO3N8MX77aY-ln*m7fxKPvblzVOQVxHwCqtV2pz4csa65RP/kijana.jpg)
KIJANA APOTEA AIBUKA...
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/OsG-NixX39cUr2JN4EPPUQySKpFJ*iBvdQiDg8TrYRmT*NCJjYxZszAibJyXfpwxxFjUjABOe4dwM8a8EiyqxG3-It58w4Sc/mmasasi.jpg?width=650)
MMASAI APIGWA PEMBE LA TUMBO NA NG’OMBE
10 years ago
Vijimambo![](http://img.youtube.com/vi/ZLtuxYaKko0/default.jpg)
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/uw8ZJ9XBTbV1fFwWwIpGpyswEMSrWFTiHj4y7jXabEcr7a3KND9LO2DvHn1pz8eM2WujxQY82wrmSKxgkUO2-sApvxwisgnV/denti.jpg)
DENTI AFAULU, APOTEA!
11 years ago
Habarileo11 Aug
Dereva teksi apotea
DEREVA teksi wa Maili Moja na mkazi wa Mwendapole mjini hapa, Richard Ponera (36) amepotea katika mazingira ya kutatanisha baada ya kukodiwa na watu wasiofahamika.
10 years ago
Tanzania Daima26 Oct
Akiwa Waziri Mkuu eti wapigwe tu, akiwa rais si atasema wachinjw
MOJA ya wosia wa Baba wa Taifa Julius Nyerere ni kutaka wanaoutamani urais wa nchi kujitokeza mapema ili wananchi wapate muda wa kutosha wa kuwatambua, kuwafahamu na kuwajadili. Alisema hivyo...
10 years ago
Bongo Movies14 Feb
PICHA: Timbwili Mitandaoni, Diamond Akiwa na Zari Huku Wema Akiwa na Ommy
Kweli mafahari wikigombana nyasi ndio uumia! Picha za mwanamziki Diamond akiwa na mpenzi wake Zari wakiwa ndani ya gari alizoziweka mtandao usiku wa kuamkia leo siku ya wapendanao na kuandika kwa maneno ya lugha ya kingreza kuwa wanaelekea siku ya Valentine “Road to Valentine...”
Zilizua timbwili la maneno miongoni mwa mashabiki wa Diamond ambao walikuwa wakisifia “Project hii” na wale wa Wema aka TeamWema walikuwa wakiponda na kumshabulia sana mwanadada Zari ikiwemo kumuiga mtindo wa...
11 years ago
Tanzania Daima22 Dec
Mtoto apotea mazingira ya utata
KELVIN Kaijage (pichani), mkazi wa Tabata Magengeni anatafutwa na wazazi wake baada ya kutoroka nyumbani kwao tangu Desemba 19, mwaka huu. Mama wa mtoto huyo, Anna Kaijage alisema mwanaye mwenye...