Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


MNGONI APOTEA, AIBUKA AKIWA MMASAI

Hamida Hassan na Gladness Mallya Maajabu ya karne! Mtoto aliyezaliwa na wazazi wa kabila la Kingoni (Mngoni), Samson Matei Joseph wa Nguruka Kata ya Nguruma wilayani Uvinza mkoani Kigoma alipotea miaka miwili iliyopita lakini katika hali ya kushangaza, hivi karibuni ameibuka akiwa ni Mmasai baada ya kusakwa bila mafanikio. Mtoto aliyezaliwa na wazazi wa kabila la Kingoni (Mngoni), Samson Matei Joseph wa Nguruka Kata ya Nguruma...

GPL

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Tanzania Daima

‘Mmasai wa Kigoma’ aibuka na ‘Tatizo Mtonyo’

MSANII chipukizi wa hip hop, Nyembo Ayoub, maarufu kama ‘Mmasai wa Kigoma’ aliyeamua kutumia staili na vionjo vya marehemu Mr. Ebbo, amefyatua kibao cha pili kinachokwenda kwa jina la ‘Tatizo...

 

11 years ago

GPL

KIJANA APOTEA AIBUKA...

Stori: Timothy Itembe Tarime
KIJANA Kenedy Onyango Augustine (22),  mkazi wa Kitongoji cha Nyambogo Shuleni, Kata ya Kitembe wilayani Rorya mkoani Mara aliyepotea kimiujiza amerudi nyumbani akiwa hai baada ya kudaiwa kuwa alikuwa amechukuliwa msukule. Kijana Kenedy Onyango Augustine aliyedaiwa kupotea kimiujiza amerudi nyumbani akiwa hai baada ya kudaiwa kuwa alikuwa amechukuliwa msukule. Baba mzazi wa kijana huyo,...

 

11 years ago

GPL

MMASAI APIGWA PEMBE LA TUMBO NA NG’OMBE

Stori: Dustan Shekidele, Morogoro MAUMIVU! Mfugaji wa jamii ya Kimasai, Sita Lumembe (36), mkazi wa Kijiji cha Ludewa wilayani Kilosa mkoani hapa, amefikishwa hospitalini akiwa hoi baada ya kupigwa pembe la tumbo na mmoja wa ng’ombe wake aliokuwa akiwachunga. Mfugaji wa jamii ya Kimasai, Sita Lumembe (36), mkazi wa Kijiji cha Ludewa wilayani Kilosa mkoani Morogoro aliyepigwa pembe la tumbo na mmoja wa ng’ombe wake...

 

10 years ago

GPL

DENTI AFAULU, APOTEA!

Stori: Mwandishi  wetu
MWANAFUNZI Asia Hamed Muagi (15) ambaye alifanya mtihani wa kumaliza darasa la saba mwaka huu katika shule ya msingi Gerezani  jijini  Dar es Salaam amepotea katika mazingira ya kutatanisha tokea Oktoba 28. Mwanafunzi Asia Hamed Muagi aliyepotea katika mazingira tatanishi . Akizungumza na gazeti  hili, mjomba wa mwanafunzi huyo ambaye matokeo ya darasa la saba yanaonyesha amefaulu kwa masomo...

 

11 years ago

Habarileo

Dereva teksi apotea

DEREVA teksi wa Maili Moja na mkazi wa Mwendapole mjini hapa, Richard Ponera (36) amepotea katika mazingira ya kutatanisha baada ya kukodiwa na watu wasiofahamika.

 

10 years ago

Tanzania Daima

Akiwa Waziri Mkuu eti wapigwe tu, akiwa rais si atasema wachinjw

MOJA  ya wosia wa Baba wa Taifa Julius Nyerere ni kutaka wanaoutamani urais wa nchi kujitokeza mapema ili wananchi wapate muda wa kutosha wa kuwatambua,  kuwafahamu na kuwajadili. Alisema hivyo...

 

10 years ago

Bongo Movies

PICHA: Timbwili Mitandaoni, Diamond Akiwa na Zari Huku Wema Akiwa na Ommy

Kweli mafahari wikigombana nyasi ndio uumia! Picha za mwanamziki Diamond akiwa na mpenzi wake Zari  wakiwa ndani ya gari alizoziweka mtandao usiku wa kuamkia leo siku ya wapendanao na kuandika kwa maneno ya lugha ya kingreza kuwa wanaelekea siku ya Valentine “Road to Valentine...”

Zilizua timbwili la maneno miongoni mwa mashabiki wa Diamond ambao walikuwa wakisifia “Project hii” na wale wa Wema  aka TeamWema walikuwa wakiponda na kumshabulia sana mwanadada Zari ikiwemo kumuiga mtindo wa...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Mtoto apotea mazingira ya utata

KELVIN Kaijage (pichani), mkazi wa Tabata Magengeni anatafutwa na wazazi wake baada ya kutoroka nyumbani kwao tangu Desemba 19, mwaka huu. Mama wa mtoto huyo, Anna Kaijage alisema mwanaye mwenye...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani