Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Mrema azidi kuiumbua KNCU K’njaro isifidiwe

>Mbunge wa Vunjo, Augustino Mrema amekijia juu Chama cha Ushirika cha Wakulima wa Kahawa Mkoa wa Kilimanjaro, (KNCU) amekionya kwa kukitaka kisimchafue mbele ya wapiga kura wake.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Tanzania Daima

Ripoti ya CAG yazidi kuiumbua serikali

KILA mwaka Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali (CAG), huainisha jinsi fedha za serikali zinavyofujwa. Lengo kuu la CAG ni kuizindua serikali kuhusu matumizi mabaya ya fedha na...

 

10 years ago

TheCitizen

Ruzuku ya shule za msingi, sekondari kuiumbua Serikali

Dar es Salaam. Ikiwa imebaki miezi miwili mwaka wa fedha wa 2014/2015 umalizike, Serikali imetoa asilimia tisa tu ya ruzuku kwa shule za msingi na asilimia 22 ya ruzuku kwa shule za sekondari na siyo asilimia 100 kama ilivyoahidi chini ya Mpango wa Matokeo Makubwa Sasa (BRN), imeelezwa.

 

10 years ago

Mwananchi

KNCU wamlaumu mrajisi wa vyama

Chama Kikuu cha Wakulima wa Kahawa Mkoa wa Kilimanjaro (KNCU), kimemjia juu mrajisi wa vyama hivyo nchini kwa kile ilichodai kukwamisha ustawi na maendeleo yake.

 

10 years ago

Tanzania Daima

KNCU yalia na ofisi ya Mrajisi

CHAMA Kikuu cha Ushirika mkoani Kilimanjaro (KNCU), kimeishutumu ofisi ya Mrajisi wa vyama vya ushirika nchini kikidai ni kikwazo katika ustawi wa ushirika kutokana na kuyumba katika utoaji wa uamuzi. Shutuma hizo...

 

11 years ago

Mwananchi

KNCU Moshi taabani kifedha

Chama Kikuu cha Ushirika cha Wakulima wa Kahawa Mkoa Kilimanjaro (KNCU), kimeelemewa na mzigo wa madeni na sasa kimeamua kuuza sehemu ya mali zake kulipa madeni hayo.

 

11 years ago

Habarileo

Serikali kuilipa KNCU mil. 225/-

SERIKALI imekubali kulipa Chama Kikuu cha Ushirika mkoani Kilimanjaro (KNCU) 1984, Sh milioni 255. 1, kusaidia chama hicho kufidia hasara iliyotokana na mdororo wa uchumi duniani.

 

11 years ago

Mwananchi

KNCU yakanusha kukopa wakulima kahawa yao

>Chama Kikuu cha Ushirika cha Wakulima wa Kahawa Mkoa Kilimanjaro (KNCU), kimesema hakijawahi kukopa wakulima  kwani kinachofanya ni ukusanyaji peke yake.

 

10 years ago

Michuzi

KNCU WAINGIZA MTAMBO MPYA WA KUKOBOLEA KAHAWA

Mtambo mpya wa kisasa wa kukobolea Kahawa ulionunuliwa na Chama Kikuu cha Ushirika cha Wakulima wa zao la Kahawa mkoani Kilimanjaro kwa gaharama za dola laki 9.48 ukishushwa katika kiwanda.
Mota ya kuzungusha mashine wakati wa ukoboaji ikishushwa ikiwa ni sehemu ya mtambo mpya wa kukobolea Kahawa utakaofungwa katika kiwanda cha Cofee Curing.

BOFYA HAPA KWA HABARI NA PICHA ZAIDI

 

11 years ago

Mwananchi

KNCU yazidi kuing’ang’ania Serikali

Chama Kikuu cha Ushirika cha Wakulima wa Kahawa wa Mkoa Kilimanjaro (KNCU), kimezidi kuibana Serikali kikisisitiza kuwa kinastahili kulipwa Sh255.1 milioni, kama fidia ya mdodoro wa uchumi wa mwaka 2008.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani