MTITU AGOMA KUMCHEZESHA MKEWE MUVI
![](http://api.ning.com:80/files/LAl787uzrCA-L*AdiJmlxXs*l2mWytGj1yrq7X3E0Qo*xjsK00f-nebmJN4WYQNeICslxpQFuDcuZIBXdMHmd2qSBdnNGoa5/mtitu.jpg)
BOSI wa Kampuni ya Five Effects, William Mtitu amefunguka kuwa kamwe hatamchezesha mkewe muvi kwa madai kuwa anaogopa vishawishi vya kusalitiwa. Bosi wa Kampuni ya Five Effects, William Mtitu akiwa na mkewe. Akipiga stori na mwandishi wetu, Mtitu alisema kuwa anakubali kuwa mkewe ni mrembo na anaweza kucheza filamu lakini kutokana na uzoefu wake kwenye tasnia ya filamu, anatambua vishawishi vinavyochochea michepuko ni vingi....
GPL
Habari Zinazoendana
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/y39xTR5a6g4Nwu1Rn1jwFmbS0U0qT6Do*lMXK3GhVGIK3DFJJmGc2JVqjEqkAPv-FiVMA1ZI8Sl*I2gg457hv-b0QXZJkO*M/DUDE.jpg)
BETHIDEI YA MTOTO, MKE WA MTITU, DUDE AMKTISHA MAUNO MKEWE
9 years ago
Bongo505 Dec
Real Madrid waondolewa mashindano ya ‘Copa Del Rey’ kwa kumchezesha mchezaji Denis Cheryshev
![denis-cheryshev-real-madrid_3384298](http://www.bongo5.com/wp-content/uploads/2015/12/denis-cheryshev-real-madrid_3384298-300x194.jpg)
Klabu ya Real Madrid imeondolewa katika michuano ya Copa del Rey kwa kumchezesha mchezaji ambaye hakufaa kuchezeshwa wakati wa mechi yao dhidi ya Cadiz Jumatano.
Mchezaji huyo, Denis Cheryshev, ndiye aliye funga goli la kwanza katika mechi ya Real ilishinda 3-1.
Winga huyo wa Urusi alifaa kuwa akitumikia marufuku, aliyopewa alipokuwa Villarreal kwa mkopo.
Lakini yeye na klabu yake ya Real, wanasema hawakujuzwa hilo kabla ya mechi hiyo.
Klabu hiyo imesema itachukua “hatua ifaayo”...
10 years ago
Bongo509 Dec
Rapper amuua mkewe na kujiua, mkewe alimsaliti na Trey Songz, Mayweather ashuhudia tukio zima la mauaji!
11 years ago
Habarileo12 Feb
Mbunge agoma kujiuzulu
MBUNGE wa Bahi kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM), Omar Baduel amesema hatajiuzulu kwenye nafasi hiyo, kutokana na kuandamwa na baadhi ya madiwani kwa tuhuma za kutumia vibaya fedha za mfuko wa jimbo. Alitoa kauli hiyo juzi kwenye kikao cha baraza la madiwani la halmashauri ya Bahi.
11 years ago
Habarileo11 Jul
Magufuli agoma matuta
WAZIRI wa Ujenzi, Dk John Magufuli amesisitiza Serikali haitaweka matuta ya vizuizi vya kupunguza ajali katika barabara zote zilizoko nchini.
10 years ago
CloudsFM18 Dec
TIBAIJUKA AGOMA KUJIUZULU
“Leo natuhumiwa na kila mtu kwamba nimepewa pesa na Rugimalira kwamba ni za kifisadi,Jamani tuwe wa kweli kuhusu madai haya maana...
10 years ago
Mwananchi19 Aug
Sure Boy agoma penalti
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/CrfMSzuE5d6TLjrEVtyrJrwfo4em*KuB-Yq760DCpkjWw-6wEF39oWIki8y18GaNT1WHYMhwr5UuLneYBOhtuwcutL*virM4/jb.jpg)
MTITU AMPA MAKAVU JB
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/czF6wJsbSj3HbShd4a7MZM*2bqVplXHc1v1uBW4x6I7HZta88MNrMlFbnNEgDNpW15bQD7qenAb-obo2JRRFbtAvxII02b7q/mtitu.jpg?width=650)
MTITU, NIVA WAZICHAPA