Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Muhongo aagiza Rea iwatimue makandarasi wazembe Julai

>Waziri wa Nishati na Madini, Profesa  Sospeter Muhongo ameiagiza Wakala wa Nishati Vijijini (Rea) kuwafutia mikataba makandarasi wote ambao watakuwa hawajaanza kazi ifikapo Julai Mosi, mwaka huu.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

Mwananchi

Muhongo kutimua wazembe Tanesco

Waziri wa Nishati na Madini, Profesa Sospeter Muhongo amesema ataanza kuwatimua wafanyakazi wazembe, wavivu na wasiokuwa na tija kwenye Shirika la Umeme Tanzania (Tanesco) katika muda wa siku 90 zijazo.

 

9 years ago

Mwananchi

Profesa Muhongo anusa rushwa Rea mkoani Kagera

Waziri wa Nishati na Madini, Profesa Sospeter Muhongo amenusa rushwa katika Wakala wa Umeme Vijijini (Rea) ya njia za uunganishaji umeme zinazochepushwa, huku taasisi za dini na wananchi wakitozwa fedha kinyume cha utaratibu ili waunganishiwe nishati hiyo.

 

10 years ago

Mwananchi

Muhongo aagiza umeme bure Tarime

Waziri wa Nishati na Madini, Profesa Sospeter Muhongo ameagiza kutolewa kwa umeme bure kwenye Kituo cha Ushirika wa Kutokomeza Ukeketaji kilichopo Kata ya Gorong’a, wilayani Tarime Mkoa wa Mara.

 

9 years ago

Michuzi

Prof. Muhongo Aagiza kufungwa matoleo ya umwagiliaji

Waziri wa Nishati na Madini, Profesa Sospeter Muhongo (kushoto) akizungumza jambo wakati wa ziara yake kwenye kituo cha kuzalisha umeme cha Kidatu. Katikati ni Meneja wa Kituo hicho cha Kidatu, Mhandisi Justus Mtolera na anayemfuatia ni Meneja wa Kituo cha kuzalisha umeme cha Mtera, Mhandisi Abdallah Ikwasa.Waziri wa Nishati na Madini, Profesa Sospeter Muhongo (kushoto) akimsikiliza Meneja wa Kituo cha Kuzalisha Umeme cha Kidatu cha Mkoani Morogoro, Mhandisi Justus Mtolera wakati wa ziara...

 

10 years ago

GPL

NEC: UANDIKISHAJI BVR DAR KUANZA JULAI 16-25, PWANI JULAI 7-20

Na Mwandishi -Tume ya Taifa ya Uchaguzi Zoezi la Uboreshaji wa Daftari la Kudumu la wapiga kura kwa teknolojia ya Biometric Voters Registration (BVR) lililoahirishwa katika jiji la Dar es salaam na mkoa wa Pwani hivi karibuni sasa litafanyika kuanzia Julai 7-20 kwa mkoa wa Pwani na Julai 16- 25 kwa jiji la Dar es salaam. Uboreshaji wa Daftari hilo kwa jiji la Dar es salaam na Mkoa wa Pwani uliahirishwa kutokana na kuchelewa kwa...

 

10 years ago

Habarileo

BVR Pwani Julai 7, Dar Julai 16

Mkurugenzi wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi, Julius MallabaTUME ya Taifa ya Uchaguzi (NEC) ambayo iliahirisha uboreshaji wa Daftari la Kudumu la Wapiga Kura kwa teknolojia ya Biometric Voters Registration (BVR) katika Jiji la Dar es Salaam na Mkoa wa Pwani hivi karibuni, sasa imesema utafanyika kuanzia Julai 7 hadi 20 kwa Mkoa wa Pwani na Julai 16 hadi Julai 25 kwa Jiji la Dar es Salaam.

 

10 years ago

Michuzi

Wachina waonesha nia kuwekeza sekta ya madini, wakutana na Muhongo, Maswi, muhongo asisitiza hakuna kusafirisha madini ghafi

Nuru Mwasampeta na Veronica Simba, Dar es Salaam Waziri wa Nishati na Madini, Profesa Sospeter Muhongo amesema Wizara yake imejipanga kuhakikisha inajengwa mitambo ya uchakataji madini (Mineral Processing Plants) hapa nchini ili kuondokana na utaratibu wa kusafirisha madini ghafi nje ya nchi na badala yake zisafirishwe bidhaa zitokanazo na madini husika ili kuongeza thamani na hivyo kukuza pato la nchi.  Aliyasema hayo  alipokutana na kuzungumza na Wawekezaji wa Kampuni ya Chinalco ya nchini...

 

10 years ago

Mwananchi

Dk Mwakyembe kuwatimua kazi wazembe

Waziri wa Uchukuzi, Dk Harrison Mwakyembe amesema hatosita kuwatimua kazi watendaji wabovu wa Shirika ya Reli Tanzania na Zambia (Tazara) wanaoshindwa kusimamia kikamilifu utendaji kazi wao na kuisababishia Serikali hasara ya mabilioni ya fedha kwa masilahi binafsi.

 

9 years ago

Michuzi

DART yaonya madereva wazembe

Zikiwa zimesalia siku chache kabla ya mradi wa Mabasi Yaendayo Haraka (BRT) kuanza jijini Dar es Salaam, baadhi ya madereva wasio makini wameanza kuharibu miundombinu ya mradi huo unaosubiriwa kwa hamu na wakazi wa jiji hilo.
Uharibifu wa hivi karibuni kabisa kutokea unahusu basi lenye usajili T430 (YUTONG) ikiendeshwa na Abuu Nassar mali ya Kampuni ya Fashion Tourism Investment Limited kugonga Kituo cha Kimara Baruti na kusababisha uharibifu.
Meneja Msimamizi wa Miundombinu wa wakala wa Mradi...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani