Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Mwaliko wa Iddi El Fitr - Atlanta, GA


Vijimambo

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Vijimambo

Watanzania Atlanta BBQ


Tanzania Association of Atlanta BBQ PartyWhere: Holcomb Bridge Park - {4300 Holcomb Bridge, Norcross GA 30092}When:  Saturday June 13th, 2015Time: 4:00 PM (EST)*** Wote Mnakaribishwa***
http://icc-msh.org/pictures/Parish%20Picnic/picnic.gif

 

10 years ago

Vijimambo

MSIBA ATLANTA, ALABAMA NA TANZANIA

Tuna masikitiko makubwa kuwataarifu msiba wa Mzee Henry Ebrahim ,baba mzazi wa Bwana
Elvis Doto Ebrahim Mnyamulu wa Atlanta Georgia, na Bi Salome Ebrahim Mollel wa... Alabama Msiba umetokea leo Saa 11 alfajiri saa za Africa ya Mashariki/nyumbani Tanzania.Mzee Ebrahim alikuwa akitibiwa mjini Atlanta na
Alirudi nyumbani wiki 3 tatu zilizopita kuendelelea na matibabu, hadi alipoitwa kwenye makao ya milele, Ijumaa 01/16/2015.
Mipango ya mazishi inafanyika nyumbani Tanzania.(Sinza near Lion...

 

9 years ago

Mtanzania

P-Square wanunua nyumba Atlanta

p squareATLANTA, MAREKANI

NYOTA wa muziki kutoka nchini Nigeria ambao wanaunda kundi la P-Square, Paul na Peter Okoye, wameonesha jeuri ya fedha baada ya kununua nyumba Atlanta, nchini Marekani.

Wasanii hao ambao wanatishia kwa utajiri barani Afrika, hiyo itakuwa ni nyumba yao ya tatu kuimiliki nchini Marekani.

Kupitia akaunti ya Instagram ya Paul, aliweka picha mbalimbali za nyumba hiyo na kuandika maneno ambayo yalisema: “Pongezi kwetu kwa kufanikisha zoezi la ununuzi wa nyumba nyingine, hii...

 

10 years ago

Michuzi

HARUSI YA KANUMBA YAFANA ATLANTA GEORGIA

IMG_6523Bw.harusi David Kanumba akiwa na mkewe Nadege na wakwe zake mara baada ya kufunga ndoa siku ya Jumamosi Machi 28,2015, katika kanisa la Faith Ministry International Atlanta Georgia. IMG_6563Bw.harusi na Bi harusi wakiwa Bw.Togo na mkewe na mwisho kulia ni mchungaji Mwinamila. IMG_6569Bw.harusi na bi.harusi wakiwa na Best man Oscar na Matron Renee . 

BOFYA HAPA KUONA PICHA ZAIDI

 

10 years ago

GPL

FILAMU YA 30 DAYS IN ATLANTA YAFUNIKA NOLLYWOOD

FILAMU 30 Days in Atlanta ambayo ndani yake staa ni AY wa Nigeria imepanda katika soko la filamu nchini Nigeria ambapo mauzo yake yamepanda kutoka Naira milioni 76 mpaka kufikia Naira Milioni 132 na hivyo kuwa filamu iliyopanda kimauzo katika historia ya filamu za nchi hiyo. Filamu hiyo iliingiza Naira milioni 76 katika wiki saba za kwanza tangu ilipozinduliwa imeonekana kuwa chaguo la wengi. Filamu hiyo ilizinduliwa nchini...

 

10 years ago

Mtanzania

Lil Wayne anusurika kifo Atlanta

BADI MCHOMOLO NA MITANDAO
KIONGOZI wa kundi la Young Money, Lil Wayne, juzi alinusurika kifo alipokuwa Atlanta, nchini Marekani, baada ya basi alilopanda kupigwa risasi na watu wasiojulikana.
Lil Wayne alikuwa katika mzunguko wa maonyesho yake ya muziki katika mji huo, huku akitumia basi lililokuwa likiwabeba baadhi ya wasanii wa kundi lake.
Hata hivyo, katika shambulio hilo la risasi hakuna mtu aliyejeruhiwa. Kupitia mtandao wa Twitter, msanii huyo aliandika kwamba ameshangaa kuona gari...

 

10 years ago

Dewji Blog

9 years ago

Bongo5

Filamu ya maisha ya Tupac kuanza kutengenezwa Atlanta

tupac_shakur_1996_death_row_interscope_records_photofest_WEB-630x416

Filamu itakayoongelea maisha ya Tupac, All Eyez On Me imeanza kufanyika jijini Atlanta, Marekani kwa mujibu wa mtayarishaji, L.T. Hutton.

tupac_shakur_1996_death_row_interscope_records_photofest_WEB-630x416

Aliandika kwenye Instagram:

IT’S BEEN A LONG JOURNEY BLOOD SWEAT AND TEARS ALL THE LIES. LL THE BULLSHIT HARD WORK HAS PAID OFF !! WE START SHOOTING IN A FEW HOURS !!!!! HISTORY WILL BE MADE ALL LOVE TO THE REAL THE FAKE THE RUMOR BELIEVER’S THE SOCIAL NETWORKING NON FACT CHECKING ASS HOLES YOU KNOW WHAT IT IS !! LET’S GO !!! #alleyezonme#tupac #2pac...

 

10 years ago

Vijimambo

LB YAIKARIBISHA VIJIMAMBO ATLANTA KWA MNUSO WA KIMTINDO


Linda Bezuidenhout Ceo wa LB akifanya matayarisho kwa ajili ya wageni wake aliowakaribisha kwenye mnuso mdogo aliofanya kuipongeza Timu ya Vijimambo kwa kazi ya kuhabarisha jamii inayofanya siku ya Jumamosi Februari 28, 2015 katikati ya jiji la Atlanta jimbo la Georgia.Linda Bezuidenhout Ceo wa LB akiwa katika picha ya pamoja na wageni wake kushoto ni Meck Khalfan Ceo na Co Founder wa PUKU Mtanzania aliyegundua mashine ya chaja ya kubeba inayo chaji simu ya kiganjani.Linda Bezuidenhout Ceo...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani