Mwaliko wa Iddi El Fitr - Atlanta, GA
Vijimambo
Habari Zinazoendana
10 years ago
Vijimambo![](http://3.bp.blogspot.com/-oeV21gL_BHw/VWw9avs4nDI/AAAAAAAAIvM/LKP6oo8Nmmo/s72-c/image007.jpg)
Watanzania Atlanta BBQ
![](http://3.bp.blogspot.com/-oeV21gL_BHw/VWw9avs4nDI/AAAAAAAAIvM/LKP6oo8Nmmo/s640/image007.jpg)
Tanzania Association of Atlanta
10 years ago
Vijimambo![](http://4.bp.blogspot.com/-yM_xSFbTcro/VLkg59y9Y0I/AAAAAAADVm4/b0jD7rzsp1E/s72-c/IMG_9270.png)
MSIBA ATLANTA, ALABAMA NA TANZANIA
![](http://4.bp.blogspot.com/-yM_xSFbTcro/VLkg59y9Y0I/AAAAAAADVm4/b0jD7rzsp1E/s1600/IMG_9270.png)
Elvis Doto Ebrahim Mnyamulu wa Atlanta Georgia, na Bi Salome Ebrahim Mollel wa... Alabama Msiba umetokea leo Saa 11 alfajiri saa za Africa ya Mashariki/nyumbani Tanzania.Mzee Ebrahim alikuwa akitibiwa mjini Atlanta na
Alirudi nyumbani wiki 3 tatu zilizopita kuendelelea na matibabu, hadi alipoitwa kwenye makao ya milele, Ijumaa 01/16/2015.
Mipango ya mazishi inafanyika nyumbani Tanzania.(Sinza near Lion...
9 years ago
Mtanzania15 Sep
P-Square wanunua nyumba Atlanta
ATLANTA, MAREKANI
NYOTA wa muziki kutoka nchini Nigeria ambao wanaunda kundi la P-Square, Paul na Peter Okoye, wameonesha jeuri ya fedha baada ya kununua nyumba Atlanta, nchini Marekani.
Wasanii hao ambao wanatishia kwa utajiri barani Afrika, hiyo itakuwa ni nyumba yao ya tatu kuimiliki nchini Marekani.
Kupitia akaunti ya Instagram ya Paul, aliweka picha mbalimbali za nyumba hiyo na kuandika maneno ambayo yalisema: “Pongezi kwetu kwa kufanikisha zoezi la ununuzi wa nyumba nyingine, hii...
10 years ago
Michuzi30 Mar
HARUSI YA KANUMBA YAFANA ATLANTA GEORGIA
![IMG_6523](https://sundayshomari.files.wordpress.com/2015/03/img_6523.jpg?w=714)
![IMG_6563](https://sundayshomari.files.wordpress.com/2015/03/img_6563.jpg?w=714)
![IMG_6569](https://sundayshomari.files.wordpress.com/2015/03/img_6569.jpg?w=714)
BOFYA HAPA KUONA PICHA ZAIDI
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/dPD9WoZYhyqhqzwSVF-GFlfRHpkQL6vec5xlX2wP45QVhZB-1N0M6K609vyq7MXwz8DHBHMKrDJbpQsN4-U*PDY45AAQGFyw/30DaysinAtlantaGhanaPremierePulse.jpg?width=650)
FILAMU YA 30 DAYS IN ATLANTA YAFUNIKA NOLLYWOOD
10 years ago
Mtanzania28 Apr
Lil Wayne anusurika kifo Atlanta
BADI MCHOMOLO NA MITANDAO
KIONGOZI wa kundi la Young Money, Lil Wayne, juzi alinusurika kifo alipokuwa Atlanta, nchini Marekani, baada ya basi alilopanda kupigwa risasi na watu wasiojulikana.
Lil Wayne alikuwa katika mzunguko wa maonyesho yake ya muziki katika mji huo, huku akitumia basi lililokuwa likiwabeba baadhi ya wasanii wa kundi lake.
Hata hivyo, katika shambulio hilo la risasi hakuna mtu aliyejeruhiwa. Kupitia mtandao wa Twitter, msanii huyo aliandika kwamba ameshangaa kuona gari...
10 years ago
Dewji Blog27 Aug
9 years ago
Bongo518 Dec
Filamu ya maisha ya Tupac kuanza kutengenezwa Atlanta
![tupac_shakur_1996_death_row_interscope_records_photofest_WEB-630x416](http://www.bongo5.com/wp-content/uploads/2015/12/tupac_shakur_1996_death_row_interscope_records_photofest_WEB-630x416-300x194.jpg)
Filamu itakayoongelea maisha ya Tupac, All Eyez On Me imeanza kufanyika jijini Atlanta, Marekani kwa mujibu wa mtayarishaji, L.T. Hutton.
Aliandika kwenye Instagram:
IT’S BEEN A LONG JOURNEY BLOOD SWEAT AND TEARS ALL THE LIES. LL THE BULLSHIT HARD WORK HAS PAID OFF !! WE START SHOOTING IN A FEW HOURS !!!!! HISTORY WILL BE MADE ALL LOVE TO THE REAL THE FAKE THE RUMOR BELIEVER’S THE SOCIAL NETWORKING NON FACT CHECKING ASS HOLES YOU KNOW WHAT IT IS !! LET’S GO !!! #alleyezonme#tupac #2pac...
10 years ago
VijimamboLB YAIKARIBISHA VIJIMAMBO ATLANTA KWA MNUSO WA KIMTINDO