Mzigo wote utuliwe, si sehemu tu
BAADA ya kunyaka habari kuwa Chama Cha Majaribio (CCM) kiliwaita baadhi ya watu wake kuwahoji kuhusu kuongeza uzito kiasi cha kuwa zigo zito kwa ulaji wao, kijiwe nacho kimeamua kwenda...
Tanzania daima
Habari Zinazoendana
10 years ago
Vijimambo![](http://img.youtube.com/vi/G8icHtTqOlI/default.jpg)
9 years ago
Mwananchi12 Oct
Ninautua mzigo
11 years ago
Tanzania Daima04 Feb
JK awabebesha mzigo TAKUKURU
RAIS Jakaya Kikwete amelitaka Jeshi la Polisi na Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa nchini (TAKUKURU) kutimiza wajibu wao ili haki iweze kutendeka kwa wakati katika mahakama zote nchini....
11 years ago
Tanzania Daima03 Jan
Warioba: Serikali tatu si mzigo
MWENYEKITI wa Tume ya Mabadiliko ya Katiba nchini, Jaji Mstaafu Joseph Sinde Warioba, ametetea muundo wa serikali tatu kuwa hauna gharama, tofauti na inavyotafsiriwa na wengi. Mbali na kutetea gharama...
10 years ago
BBCSwahili07 Apr
Mahari ni mzigo kwa wanaume?
11 years ago
Habarileo25 Jul
Baraza la Madaktari labebeshwa mzigo
TUKIO la utupaji wa viungo vya binadamu jalalani, linalodaiwa kufanywa na Chuo cha Kimataifa cha Matibabu na Teknolojia (IMTU) cha Dar es Salaam, linadaiwa kuandika historia mbaya nchini.
9 years ago
Mwananchi19 Nov
Vodacom wakerwa na mzigo wa kodi
10 years ago
Mtanzania25 Mar
Pinda aitwisha mzigo NEC
![Waziri Mkuu Mizengo Pinda](http://mtanzania.co.tz/wp-content/uploads/2014/06/Waziri-Mkuu-Mizengo-Pinda-300x197.jpg)
Waziri Mkuu Mizengo Pinda
Na Fredy Azzah, DODOMA
WAZIRI Mkuu, Mizengo Pinda, amesema hatima ya upigaji wa kura ya maoni ya Katiba Inayopendekezwa itatokana na tathmini itakayofanywa na Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC) kuona jinsi hatua hiyo ilivyotekelezwa katika Mkoa wa Njombe.
Pinda aliyasema hayo jana nje ya Ukumbi wa Bunge baada ya waandishi wa habari kutaka kujua msimamo wa serikali juu ya tarehe ya kupiga kura.
Alisema Serikali imekwisha kutoa asilimia 70 ya fedha za kununulia mashine...
10 years ago
Mwananchi26 Nov
Wizara ya Viwanda na Biashara ni mzigo