Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


PAPA KUJITABIRIA KIFO, WAUMINI WAANZA MAJONZI!

Na Mwandishi Wetu
MAJONZI yameanza kuwakuta baadhi ya waumini wa kanisa katoliki Bongo kufuatia kiongozi wao wa dunia, Papa Francis (77) kuweka hadharani hatima ya maisha yake. Papa Francis. Katikati ya wiki hii, Papa Francis akiwa anarejea Vatican kutoka ziarani Korea Kusini alisema anaamini ana miaka miwili au mitatu ya kuishi duniani na si vinginevyo. “Najaribu kufikiria kuhusu dhambi zangu na makosa yangu, siwezi...

GPL

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Vijimambo

WAUMINI WAANZA KULIOMBEA TAIFA KUELEKEA UCHAGUZI

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania akiongea na Baadhi ya viongozi wa kidini wa Kikristo nchini.(picha kutoka maktaba)

Waumini wa madhehebu tofauti mkoani Tanga wameanza zoezi la kuliombea taifa katika mchakato wa uchaguzi mkuu ujao ili uweze kufanyika kwa amani na utulivu pamoja na kupata viongozi ambao watajali maslahi ya watanzania.Wakizungumza katika ibada maalum ya kuliombea taifa pamoja na kuwasimika baadhi ya viongozi wa makanisa mbalimbali wamewataka watanzania kuacha kushabikia...

 

9 years ago

Dewji Blog

#PAPA TOUR KENYA: Wakenya wampokea Papa kwa mara ya kwanza ujio wake Bara la Afrika!

IMG-20151125-WA0024

Rais wa Kenya, Uhuru Kenyatta akisalimiana na Papa Francis wakati alipowasili mapema leo Novemba 25 katika jiji la Nairobi nchini Kenya.

Papa Francis ameanza ziara yake Afrika kwa kuhimiza umoja, uwazi, kuwathamini vijana na kuyatunza mazingira.

Kiongozi huyo wa Kanisa Katoliki aliwasili Nairobi mwendo wa saa kumi unusu jioni na kukaribishwa kwa shangwe na viongozi wa kisiasa na kidini uwanja wa ndege.

Baada ya kuwasili, alielekea Ikulu ambako alipanda mti kisha kukutana na Rais Uhuru...

 

11 years ago

GPL

PAPA FRANCIS AWATANGAZA PAPA JOHN PAUL II, JOHN XXIII KUWA WATAKATIFU

Mahujaji wakifuatilia tukio la kuwatangaza watakatifu Papa John Paul II na John XXIII jijini Vatican leo. Papa Francis akiongoza ibada kabla ya kuwatangaza watakatifu.…

 

11 years ago

GPL

MAJONZI MAZITO IKULU

Stori: Haruni Sanchawa na Makongoro Oging’ MAJONZI mazito yameikumba Ofisi ya Rais, ikulu jijini Dar es Salaam kufuatia kutokea kwa vifo viwili vya watumishi wa ofisi hiyo wiki iliyopita. Picha ya marehemu Rashidi John Chilwangwa (45). Wa kwanza ni Afisa Usalama wa Taifa Mwandamizi, Silvanus Adriano Mzeru (56) aliyeuawa kwa kupigwa risasi na watu wasiojulikana Aprili 29, mwaka huu  maeneo ya Uwanja  wa Ndege wa...

 

11 years ago

BBCSwahili

Msongo wa mawazo,majonzi na kilio

Hapa ndipo homa kali ya Ebola ilipowafikisha wakazi wa mataifa ya Afrika Magharibi

 

10 years ago

Vijimambo

KHADIJA KOPA NDANI YA MAJONZI

 Khadija Kopa akilia kwa uchungu baada ya kukutana na Katibu wa NEC Itikadi na Uenezi Nape Nnauye kwenye msiba wa kiongozi wa TOT na Mbunge wa Mbinga Magharibi Kapteni John Komba. Khadija Kopa (kulia) akiwa kwenye majonzi makubwa ya kuondokewa na Jabali la muziki wa kwaya nchini na kiongozi wa TOT Kapteni John Komba. Khadija Kopa (kulia) akilia kwa uchungu na wasanii wenzake wa TOT wakati wa kuhani msiba wa Kapteni John Komba
Email ThisBlogThis!Share to TwitterShare to Faceboo

 

11 years ago

BBCSwahili

Ni majonzi wazazi wakiandamana Nigeria

Wazazi wa wasichana 230, waliotekwa nyara Kaskazini Mashariki mwa Nigeria, wamefanya maandamano kuiomba serikali ya Nigeria kuongeza juhudi za kuwatafuta watoto wao

 

10 years ago

BBCSwahili

Kilio na majonzi kwa waliouawa Mandera

Familia za wachimba machimbo ya kokoto waliouawa na Al Shabaab mjini Mandera leo waliwapokea wapendwa wao baada ya miili yao kufikishwa chumba cha kuhifadhi maiti cha City mjini Nairobi

 

10 years ago

GPL

MAJONZI MSIBANI NYUMBANI KWA KOMBA

Makazi ya marehemu John Komba, Mbezi Tangi Bovu jijini Dar ...waombolezaji wakilia kwa uchungu nyumbani kwa marehemu…

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani