Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Pinda: Serikali imeandaa sheria ya gesi

Mizengo-PindaNa Aziza Masoud, Dar es Salaam
WAZIRI Mkuu Mizengo Pinda amesema Serikali imeandaa sera, taratibu na sheria madhubuti zitakazosimamia uvunwaji wa gesi nchini.

Pinda alisema hayo Dar es Salaama jana katika mkutano wa 20 wa Taasisi wa Uchumi na Umasikini (REPOA) uliokuwa uanajadili namna gani nchi inaweza kufaidika na matumizi ya gesi.

Alisema katika suala la gesi Serikali imejipanga kuepuka kuingiza watanzania katika machafuko.

“Hii rasilimali ya gesi inaweza kuwa baraka au inaweza kuwa laana...

Mtanzania

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Dewji Blog

Sheria ya gesi inakuja — Kikwete

unnamed (22)

Rais Jakaya Kikwete akizungumza kwenye uzinduzi wa kongamano la 19 la mwaka la utafiti liliandaliwa na taasisi ya utafiti nchini REPOA. Rais Kikwete alilisitiza kwamba utafiti nchini kwa wafanyabiashara ndogo ndogo na vijana kwa ajili ya kupambana na umaskini ni umuhimu kwa maslahi ya vizazi vya sasa na vijavyo. Utafiti huo wa REPOA ulijikita katika mabadiliko ya uchumi na kilimo na kujenga mazingira mazuri kwa wafanyabiashara ndogo ndogo na za kati na kupanua wigo wa ajira kwa vijana na...

 

10 years ago

Habarileo

Sheria ya gesi, SWF kufikishwa bungeni

MISWADA miwili, mmoja wa Sheria ya Gesi na ule wa kuanzisha Mfuko wa Kutunza Mapato ya Ziada (SWF), inatarajiwa kuwasilishwa bungeni kwa ajili ya kusomwa kwa mara ya kwanza.

 

11 years ago

Habarileo

Mawakili kusomea sheria za gesi, mafuta Marekani

CHAMA cha Wanasheria Tanganyika (TLS) wakishirikiana na The Colom Foundation INC na Nashera Hotel wanakusudia kuwapeleka mawakili 20 wa Tanzania katika Chuo Kikuu cha Mississippi nchini Marekani kujifunza zaidi juu ya elimu ya nadharia na vitendo katika sheria, hususan ya gesi na mafuta.

 

11 years ago

Mwananchi

Sitta: Sheria ya gesi itadhibiti mikataba mibovu

Waziri wa Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Samuel Sitta amesema sheria ya gesi inayotarajiwa kufikishwa bungeni mwishoni mwa mwaka huu itakuwa nguzo katika usimamizi wa mikataba yote ya nishati hiyo ili kulinufaisha taifa.

 

11 years ago

Tanzania Daima

Sheria kuwezesha wazawa kwenye gesi yaja

RAIS Jakaya Kikwete amesema serikali ipo kwenye hatua za mwisho za kuandaaa sheria, kanuni na taratibu kwa ajili ya uwekezaji wenye tija kwa wazawa katika sekta ya gesi na mafuta....

 

11 years ago

Habarileo

Pinda atembelea masalia ya vurugu za gesi

WAZIRI Mkuu, Mizengo Pinda, ametembelea makazi na ofisi zilizochomwa moto wakati wa vurugu za gesi mkoani Mtwara na kuelezewa baadhi ya sababu za vurugu hizo. Akielezea sababu hizo, Mkuu wa Wilaya Masasi, Farida Mgomi alisema moja ya sababu za vurugu katika Mji wa Masasi na vitongoji vyake, ni madai na uchochezi kwamba viongozi wa CCM katika wilaya, wameshindwa kuwajibika kwa wananchi.

 

11 years ago

Mwananchi

Pinda kukagua ujenzi bomba la gesi

Waziri Mkuu, Mizengo Pinda leo anaanza ziara ya siku mbili kukagua ujenzi wa bomba la gesi Mikoa ya Dar es Salaam, Pwani, Lindi na Mtwara.

 

11 years ago

Habarileo

Pinda ataka ulinzi wa uhakika mitambo ya gesi

UJENZI wa mitambo ya uchakataji wa gesi katika eneo la Madimba umepamba moto na inaelezwa kuwa wanavijiji wa eneo hilo na wale wa Songosongo licha ya kufaidika na umeme, lakini pia watapewa huduma ya majisafi na salama bure.

 

11 years ago

Mwananchi

Pinda: Bomba la gesi kukamilika mwaka huu

Waziri Mkuu Mizengo Pinda, amesema zoezi la utandazaji mabomba ya kusafirishia gesi kutoka Mtwara kwenda Dar es Salaam, unatarajiwa kukamilika mwishoni mwa mwaka huu.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani