shughuli zote za upigaji wa disko katika eneo la Kiwengwa zanzibar marufuku
![](http://1.bp.blogspot.com/-dnDYKYAuryE/U-5-11Iw-HI/AAAAAAAF_9U/lcPBzAcTVEE/s72-c/unnamed%2B(36).jpg)
Na Ali Issa Maelezo-Zanzibar. Waziri wa Habari,Utamaduni , Utalii na Michezo Saidi Ali Mbaruok amepiga marufuku shughuli zote za upigaji wa disko katika eneo la Kiwengwa mpaka pale Serikali ya wilaya itapotoa maelekezo maalumu ya upigaji wa disko hilo kwa utaratibu unaofaa. Agizo hilo amelitoa huko Kiwengwa Mkoa wa kaskazini “A”wilaya ya kaskazini B Unguja katika Ofisi ya umoja wa maendeleo wa kijiji cha kiwengwa wakati alipokuwa akifanya mazungumzo na wamiliki wa mabaa mikahawa,na kumbi na...
Michuzi
Habari Zinazoendana
9 years ago
MillardAyo23 Dec
Marufuku ya disko toto?? Walionaswa na pembe za ndovu? Panga la Rais Magufuli? Stori+Audio
Kwenye stori kubwa leo December 23 2015 kuna hizi kubwa zilizoguswa na uchambuzi wa redioni Clouds FM. Kamanda Kova ametangaza kupiga marufuku disco toto siku za sikukuu, atangaza Jeshi la Polisi Dar linawashikilia watu wawili kwa tuhuma na kukutwa na vipande zaidi ya 150 vya pembe za ndovu… Kuna stori pia kuhusu Polisi mmoja kutoroka […]
The post Marufuku ya disko toto?? Walionaswa na pembe za ndovu? Panga la Rais Magufuli? Stori+Audio appeared first on TZA_MillardAyo.
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/HRXB3pTHxIqzvKYnnppcQi0HSDtwkA1zBq8o050c2PmplFfcsMOQBrQQgx-o0wfwfOpDt28tqEKTWJTCvA6dJSmTM88ByCF9/basataLOGO.jpg?width=300)
BASATA YAPIGA MARUFUKU DISKO TOTO NA UKIUKAJI WA SHERIA ZA UENDESHAJI KUMBI ZA BURUDANI KIPINDI HIKI CHA SIKUKUU YA PASAKA
10 years ago
Michuzi17 Jul
BASATA YAPIGA MARUFUKU DISKO TOTO NA UKIUKAJI WA SHERIA ZA UENDESHAJI KUMBI ZA SANAA NA BURUDANI KIPINDI HIKI CHA SIKUKUU YA EID-EL-FITR
![download (9)](http://www.fullshangweblog.com/wp-content/uploads/2015/07/download-9.jpg)
10 years ago
BBCSwahili27 Mar
Upigaji busu hadharani wapigwa marufuku
5 years ago
CCM Blog![](https://1.bp.blogspot.com/-Bls9HfSxa-8/XuXWhjuGmmI/AAAAAAACNPo/_MYdLsHV_hgBouO8OKInq2nW-stUMWEzACLcBGAsYHQ/s72-c/IMG_20200614_104719.jpg)
SERIKALI YAPIGA MARUFUKU UPIGAJI RAMLI CHONGANISHI
![](https://1.bp.blogspot.com/-Bls9HfSxa-8/XuXWhjuGmmI/AAAAAAACNPo/_MYdLsHV_hgBouO8OKInq2nW-stUMWEzACLcBGAsYHQ/s400/IMG_20200614_104719.jpg)
DODOMA, Tanzania
Naibu Waziri wa Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto Dkt. Godwin Mollel amepiga marufuku tabia za Waganga wa tiba asili kupiga ramli chonganishi kwa lengo la kuwasaidia wananchi jambo ambalo ni kinyume...
9 years ago
Dewji Blog09 Dec
Wafanyakazi wa Zanlink Zanzibar wajumuika katika usafi eneo lao la kazi
![](http://3.bp.blogspot.com/-f-XTNbn6kVA/VmgvyRltlKI/AAAAAAACHzI/Kn2op4ZPMHQ/s640/Z%2B2.jpg)
Wafanyakazi wa Kampuni ya Zanlink Zanzibar wakiitikia wito wa Rais wa Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Wakishiriki katika zoezi la Usafi wa Mazingira katika sehemu yao ya Kazi kuadhimisha miaka 54 ya Uhuru.
![](http://4.bp.blogspot.com/-OwkgoQ4ltEs/Vmgv1hBSywI/AAAAAAACHzQ/7xk9CCSyVmU/s640/Z%2B3.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-NIoPKlX0jJk/Vmgv4HW-WhI/AAAAAAACHzY/jzLos-bRM8A/s640/Z.jpg)
Mfanyakazi wa Zanlink Zanzibar akishiriki katika Zoezi la Usafi kuadhimisha miaka 54 ya Uhuru wa Tanzania Bara imeadhimishwa Kitaifa kwa Usafi wa mazingira.
Imetayarishwa na Othman Mapara.Blogspot www.zanzinews.com
9 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-mIlVPZOKt5w/VjYLCweuwSI/AAAAAAAID2A/qUnFjZjPcgU/s72-c/unnamed%2B%252821%2529.jpg)
mtu mmoja anusurika katika ajali ya gari eneo la Kibele, Zanzibar, leo
![](http://4.bp.blogspot.com/-mIlVPZOKt5w/VjYLCweuwSI/AAAAAAAID2A/qUnFjZjPcgU/s640/unnamed%2B%252821%2529.jpg)
9 years ago
MichuziMAALIM SEIF ATEMBELEA KISIMA KINACHOSADIKIWA KUWA NA MAFUTA KATIKA ENEO LA TUNDAUWA,ZANZIBAR
Amesema kwa miaka mingi Zanzibar imeshindwa kuchimba mafuta yake kutokana na kutokuwepo mikakati imara, na kuahidi kuwa iwapo atachaguliwa kuwa Rais wa Zanzibar atahakikisha kuwa suala hilo linawekewa mikakati imara ya...
9 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-R980nVV3gBs/Vl2m3Q9BQSI/AAAAAAAIJiQ/GMpEWMICsyc/s72-c/084.jpg)
UJENZI WA KISIWA CHA KITALII WAANZA KATIKA ENEO LA MTONI MARINE KASKAZINI MAGHARIBI ZANZIBAR
![](http://4.bp.blogspot.com/-R980nVV3gBs/Vl2m3Q9BQSI/AAAAAAAIJiQ/GMpEWMICsyc/s640/084.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-TNs3iAr4mLg/Vl2m4NQiRvI/AAAAAAAIJic/vFAD-1nuNzY/s640/134.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-uSGbITUElcY/Vl2odsqY3xI/AAAAAAAIJjE/ONp7a-O7DUs/s640/167.jpg)
MRADI mkubwa wa Kimataifa wa ujenzi wa kisiwa cha Kitalii ambacho...