Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Super D na harakati za kuinua ndondi

KIU ya kutaka mchezo wa masumbwi upige hatua kubwa mbele na hatimaye kutoa ajira kwa vijana wenye vipaji, ndicho kinachomsukuma bondia wa zamani na kocha wa mchezo huo, Rajabu Mhamila...

Tanzania daima

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Mwananchi

Sudy: Ndondi zimetengwa Tanga

Mwaka 1999 majina ya mabondia Abdallah Nyuki, Mambeya Bakari, Bonzo Mohamed, Karume Kenze, Mnyamisi Tamimu, Marehemu Magoma Shaaban yalikuwa yanatikisa nchini na Afrika Mashariki.

 

10 years ago

BBCSwahili

Wateuliwa kushikiri ndondi C Brazaville

Mabondia nyota wa Kenya Benson Gicharu uzani wa bantam, Rayton Okwiri uzani wa welter na Nick Abaka uzani wa middle wameruhusiwa na shirikisho la kimataifa la ndondi, Aiba, kuiwakilisha Kenya katika michezo ya mataifa ya Afrika mwezi Septemba nchini Congo

 

10 years ago

BBCSwahili

Kenya yawateua mabondia wa ndondi za Afrika

Chama cha ndondi cha Kenya kimechagua mabondia 10 wanaume na watatu wa kike watakaoshiriki michezo ya mataifa ya Afrika nchini Congo Brazaville mwezi Septemba mwaka huu.

 

11 years ago

Tanzania Daima

BFT: Ndondi Taifa baada ya Madola

SHIRIKISHO la Ngumi za Ridhaa Tanzania (BFT), limesema mashindano ya taifa yatafanyika baada ya kwisha kwa mashindano ya Jumuiya ya Madola yatakayoanza kesho hadi Agosti 3, mjini Glasgow, Scotland. Kwa...

 

10 years ago

GPL

E-FM YAPANIA KUKUZA MCHEZO WA NDONDI NCHINI

Dennis Ssebo akipanga mikakati kati ya EFM Redio na Raisi wa WBF Bwana Howard Goldberg pamoja na Francios Botha.
Bondia Wang Xian Hua akiwa na mkalimani wake ndani ya studio za EFMN redio.…

 

11 years ago

Tanzania Daima

Cheka azipigia debe ndondi kwa serikali

BONDIA wa ngumi za kulipwa nchini, Francis Cheka ‘SMG’, ameitaka serikali kuusaidia mchezo huo kwa maslahi ya vijana wenye vipaji na taifa kwa ujumla. Cheka alisema ngumi ni mchezo unaoitangaza...

 

11 years ago

Michuzi

ndondi kuchapwa JUNI 21 Ulongoni B, GONGOLAMBOTO, Dar es salaam

 Bondia Said Uwezo (kushoto) akifundishwa jinsi ya kutupa makonde na Shujaa Keyakeya wakati wa mazoezi yake ya kujiandaa kupambana na Thobias Adaut katika ukumbi wa Swai Pub uliopo Ulongoni 'B'  huko Gongolamboto, Dar es salaam. Bondia Abdallah Mbela kushoto akipiga ngumi kwa Said Uwezo wakati wa mazoezi ya kujianda kupambana mnamo Juni 21 mwaka huu.  Uwezo atapambana na Thobias Adaut katika ukumbi wa Swai Pub huko Ulongoni 'B'  Gongolamboto

 

11 years ago

Tanzania Daima

Mafunzo ya ndondi kwa vitendo kuanza leo Dar

SHIRIKISHO la Ngumi za Kulipwa Tanzania (TPBC), leo linaanza kutoa mafunzo ya mchezo huo kwa vitendo kwa waamuzi na mabondia kwa lengo la kuuboresha. Kwa mujibu wa Mwenyekiti wa TPBC,...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani