Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


UCHAMBUZI: Watanzania tuna uwezo wa kuwalinda albino wasiteketee

>Mauaji ya watu wenye ulemavu wa ngozi, maarufu kama albino ambayo yalikuwa yanafanyika japo kwa siri sana huko zamani, yalichukua kasi ya ajabu tangu mwaka 2007 na kutangazwa mara kwa mara katika vyombo vya habari hadi kufikia kuzoeleka masikioni mwa watu.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

StarTV

Jeshi la Polisi laombwa kuweka ulinzi maalumu kuwalinda watu wenye ulemavu wa ngozi(Albino)

 

Chama watu wenye ulemavu wa ngozi Albino Mkoa wa Tanga kimeliomba jeshi la polisi kuweka ulinzi maalumu kwenye maeneo yenye walemavu hao kama sehemu ya kukabiliana na ukataji wa viungo na mauaji ya watu hao.

Kauli ya chama hicho imekuja baada ya mlemavu mwenzao wa ngozi Ester Maganga mkazi wa wilaya ya Lushoto kukatwa kidole chake cha mkono wa kusoto kwa imani za kishirikina.

Katibu wa chama cha Albino Mkoa wa Tanga, Mahmud Salekhe amesema kitendo cha Mwenzao Ester Maganga mkazi wa...

 

11 years ago

Mwananchi

UCHAMBUZI: Tusiwakomaze Watanzania kwa mabomu haya

>Hakuna jambo la hatari kama kuingiza siasa katika masuala muhimu na nyeti kama ya usalama, kiasi kwamba mabomu yanayolipuliwa Arusha na Zanzibar yameibua maswali mengi yasiyo na majibu.

 

5 years ago

Michuzi

WATANZANIA WENYE UWEZO WATAKIWA KUSAIDIA MAPAMBANO DHIDI YA CORONA



Mkurugenzi wa Kiwanda cha Husseini Plastic Industries Limited cha Jijini Tanga, Yusuph Hassanali kushoto akizungumza na waandishi wa habari mara baada ya kukabidhi msaada huo

Mkurugenzi wa Kiwanda cha Husseini Plastic Industries Limited cha Jijini Tanga, Yusuph Hassanali kulia akimsikiliza kwa umakini Mkuu wa Mkoa wa Tanga Martine Shigella kushoto wakati wa makabidhiano ya msaada huo

Mkurugenzi wa Kiwanda cha Husseini Plastic Industries Limited cha Jijini Tanga, Yusuph Hassanali kulia...

 

10 years ago

Vijimambo

WATANZANIA HOUSTON MNAKARIBISHWA KUREKODI NA KUZUNGUMZIA MAUWAJI YA ALBINO TANZANIA


Wadau kutoka New York wakirekodi kipindi kimoja wapo.

Wadau wa North Carolina wakiwa kwenye kipindi wakirekodi.

Timu ya Vijimambo ikishiriana na Kwanza Production inapenda kwanza kutoa pongezi kwa Watanzania Houston kwa jitihada zao za kupambana na mauawaji ya ndugu zetu wenye ulemavu wa ngozi na pia ingependa kuandaa kipindi cha video ya kuongelea hili swala kwa mapana zaidi na kuangalia jinsi gani ya kukomesha mauaji haya ambayo yanaleta fedheza na aibu  ikiwemo ukiukaji wa haki za...

 

10 years ago

Michuzi

WaTanzania wa Houston Texas kurekodi kipindi kuhusu mauaji ya Albino Tanzania

Timu ya Vijimambo ikishiriana na Kwanza Production inapenda kwanza kutoa pongezi kwa Watanzania Houston kwa jitihada zao za kupambana na mauaji ya ndugu zetu wenye ulemavu wa ngozi Pia inaandaa kipindi cha video kuongelea hili swala kwa mapana zaidi na kuangalia jinsi gani ya kukomesha mauaji haya ambayo yanaleta fedheha na aibu  ikiwemo ukiukaji wa haki za binadamu.
Kipindi kitarekodiwa siku ya Jumampili saa 8 mchana (2pm) mahali ni Extended Stay America chumba namba 224 anuani ni 2424 West...

 

9 years ago

Michuzi

WAJENGEWA UWEZO ILI KUFANYA UTAFITI WA HALI YA KIELIMU WILAYANI TARIME KUPITIA MRADI WA UWEZO.

Washiriki wa Semina ya wadau watakaoshiriki katika Utafiti wa Ujifunzaji wa Watoto (Wanafunzi) walio na Umri kati ya Miaka Saba hadi 16 katika Kusoma Kiswahili, Kiingereza na Kufanya Hesabu inayofanyika katika Ukumbi wa Halmashauri ya Mji wa Tarime kuanzia leo Septemba 22,2015 hadi kesho Septemba 23, 2015 wakiwa katika picha ya pamoja na mgeni rasmi Enock Waitara (Wa pili kushoto Waliokaa) ambae ni Afisa Elimu Wilaya ya Tarime Mkoani Mara.
Na:Binagi Media GroupSemina hiyo imeratibiwa na...

 

5 years ago

Michuzi

WAZIRI WA MADINI ALITAKA SHIRIKA LA MAENDELEO LA TAIFA (NDC) KUVITAMBUA VIPAJI NA UWEZO WAANZILISHI WA VIWANDA ILI KUWAJENGEA UWEZO

Waziri wa Madini Dotto Biteko amelitaka shirika la maendeleo la taifa (NDC)kujipa muda wa kuvitambua vipaji na uwezo walionao waanzilishi mbalimbali wa viwanda na kuona wanawasaidiaje katika kukuza uwezo wao badala ya kukimbilia kuulizia vibali au leseni ya shughuli zao.

Biteko ameyasema hayo alipotembelea kiwanda kidogo cha kulainisha chuma kilichopo katika kata ya Lubonde wilaya ya Ludewa mkoani Njombe kinachomilikiwa na Bw. Reuben Mtitu (Mzee Kisangani) na kuona uwezo wake katika...

 

10 years ago

BBCSwahili

Uturuki kuwalinda wahamiaji

Waziri mkuu wa Uturuki Ahmet Davutoglu,amesema nchi yake ina nia ya kuanzisha eneo salama kwa wahamiaji kaskazini mwa Syria.

 

10 years ago

Mwananchi

MAUAJI ALBINO: Albino: Adhabu ya kifo sawa

>Mbunge wa Lindi Mjini, Salum Barwany amemwomba Rais Jakaya Kikwete kusaini hukumu ya kunyongwa hadi kufa inayowakabili watu wanne waliopatikana na hatia ya kumuua mtu mwenye ulemavu wa ngozi.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani