UCHAMBUZI: Watanzania tuna uwezo wa kuwalinda albino wasiteketee
>Mauaji ya watu wenye ulemavu wa ngozi, maarufu kama albino ambayo yalikuwa yanafanyika japo kwa siri sana huko zamani, yalichukua kasi ya ajabu tangu mwaka 2007 na kutangazwa mara kwa mara katika vyombo vya habari hadi kufikia kuzoeleka masikioni mwa watu.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
9 years ago
StarTV23 Dec
Jeshi la Polisi laombwa kuweka ulinzi maalumu kuwalinda watu wenye ulemavu wa ngozi(Albino)
Chama watu wenye ulemavu wa ngozi Albino Mkoa wa Tanga kimeliomba jeshi la polisi kuweka ulinzi maalumu kwenye maeneo yenye walemavu hao kama sehemu ya kukabiliana na ukataji wa viungo na mauaji ya watu hao.
Kauli ya chama hicho imekuja baada ya mlemavu mwenzao wa ngozi Ester Maganga mkazi wa wilaya ya Lushoto kukatwa kidole chake cha mkono wa kusoto kwa imani za kishirikina.
Katibu wa chama cha Albino Mkoa wa Tanga, Mahmud Salekhe amesema kitendo cha Mwenzao Ester Maganga mkazi wa...
11 years ago
Mwananchi09 Jul
UCHAMBUZI: Tusiwakomaze Watanzania kwa mabomu haya
5 years ago
MichuziWATANZANIA WENYE UWEZO WATAKIWA KUSAIDIA MAPAMBANO DHIDI YA CORONA
Mkurugenzi wa Kiwanda cha Husseini Plastic Industries Limited cha Jijini Tanga, Yusuph Hassanali kushoto akizungumza na waandishi wa habari mara baada ya kukabidhi msaada huo
![](https://1.bp.blogspot.com/-84vK5j5wGE0/Xp__E3PReSI/AAAAAAAAgoY/6yyQW_9RSBEyQrhV5tlYkWx9nP54Ym2mgCLcBGAsYHQ/s640/IMG-20200420-WA0015.jpg)
Mkurugenzi wa Kiwanda cha Husseini Plastic Industries Limited cha Jijini Tanga, Yusuph Hassanali kulia akimsikiliza kwa umakini Mkuu wa Mkoa wa Tanga Martine Shigella kushoto wakati wa makabidhiano ya msaada huo
![](https://1.bp.blogspot.com/-xL3_ehRRRFM/Xp__FbxjLpI/AAAAAAAAgoc/TR8wB2HqvrQlf68dFv-jOdaCDqF2gyZpwCLcBGAsYHQ/s640/IMG-20200420-WA0013.jpg)
Mkurugenzi wa Kiwanda cha Husseini Plastic Industries Limited cha Jijini Tanga, Yusuph Hassanali kulia...
10 years ago
VijimamboWATANZANIA HOUSTON MNAKARIBISHWA KUREKODI NA KUZUNGUMZIA MAUWAJI YA ALBINO TANZANIA
![](http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2013/11/DSC_9912.jpg)
Wadau kutoka New York wakirekodi kipindi kimoja wapo.
Wadau wa North Carolina wakiwa kwenye kipindi wakirekodi.
Timu ya Vijimambo ikishiriana na Kwanza Production inapenda kwanza kutoa pongezi kwa Watanzania Houston kwa jitihada zao za kupambana na mauawaji ya ndugu zetu wenye ulemavu wa ngozi na pia ingependa kuandaa kipindi cha video ya kuongelea hili swala kwa mapana zaidi na kuangalia jinsi gani ya kukomesha mauaji haya ambayo yanaleta fedheza na aibu ikiwemo ukiukaji wa haki za...
10 years ago
MichuziWaTanzania wa Houston Texas kurekodi kipindi kuhusu mauaji ya Albino Tanzania
Kipindi kitarekodiwa siku ya Jumampili saa 8 mchana (2pm) mahali ni Extended Stay America chumba namba 224 anuani ni 2424 West...
9 years ago
MichuziWAJENGEWA UWEZO ILI KUFANYA UTAFITI WA HALI YA KIELIMU WILAYANI TARIME KUPITIA MRADI WA UWEZO.
Na:Binagi Media GroupSemina hiyo imeratibiwa na...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-2Jhx8l-1L1E/Xm2-F73IsMI/AAAAAAALjsk/aCqIdWSGq_QCuckT4BegeSwtJsBTBXmHACLcBGAsYHQ/s72-c/a3d9931f-b021-490e-ba1f-4e3e9397d96c.jpg)
WAZIRI WA MADINI ALITAKA SHIRIKA LA MAENDELEO LA TAIFA (NDC) KUVITAMBUA VIPAJI NA UWEZO WAANZILISHI WA VIWANDA ILI KUWAJENGEA UWEZO
Biteko ameyasema hayo alipotembelea kiwanda kidogo cha kulainisha chuma kilichopo katika kata ya Lubonde wilaya ya Ludewa mkoani Njombe kinachomilikiwa na Bw. Reuben Mtitu (Mzee Kisangani) na kuona uwezo wake katika...
10 years ago
BBCSwahili12 Aug
Uturuki kuwalinda wahamiaji
10 years ago
Mwananchi07 Mar
MAUAJI ALBINO: Albino: Adhabu ya kifo sawa