UNESCO, KOICA wawabeba wakazi wa Usambara mashariki
Afisa Mradi wa uchumi wa kijani ndani ya hifadhi hai (GEBR) Kitengo cha Sayansi kutoka UNESCO na mwakilishi wa KOICA, Myoung Su Ko, (kulia) akisalimiana na Mtendaji wa Kata ya Mnyuzi, Bw. Gosbert Ishengoma mara baada ya kuwasili kwenye ofisi za kata hiyo wilayani Korogwe. Katikati ni Afisa Usafi na Mazingira wa Wilaya ya Korogwe, Bw. Frederick Linga.
Na Mwandishi wetu, Korogwe
Shirika la Umoja wa Mataifa la Elimu, Sayansi na Utamaduni (UNESCO) limezindua mradi wa mamilioni katika eneo la...
Dewji Blog
Habari Zinazoendana
11 years ago
Michuzi12 Jul
11 years ago
Tanzania Daima22 Jul
TPB, ZSSF wawabeba wastaafu Zanzibar
MAKAMU wa Pili wa Rais Zanzibar, Balozi Seif Ali Iddi, amesema mpango wa utoaji mikopo kwa wastaafu ulioanza kutekelezwa, una lengo la kuwasaidia katika kukidhi mahitaji yao mbalimbali ya kimaisha....
10 years ago
Habarileo09 Feb
Utafiti wawabeba vijana Urais 2015
SHIRIKA la Utafiti wa Maendeleo ya Elimu (TEDRO), limesema katika utafiti walioufanya kuhusu ushiriki wa vijana katika siasa na matarajio kuelekea uchaguzi mkuu 2015, umeonesha kwamba endapo mgombea urais kijana atapendekezwa atakubalika kwa asilimia 82.
10 years ago
Vijimambo![](http://1.bp.blogspot.com/-xf_jHa_Wu3w/VPASGW_tbVI/AAAAAAAAB-g/ary4UCa7fEo/s72-c/1.jpg)
Wawabeba Watalii Mabegani,Kama Watumwa Walivyobeba Mabwana,Huu ni Utalii au Utumwa
![](http://1.bp.blogspot.com/-xf_jHa_Wu3w/VPASGW_tbVI/AAAAAAAAB-g/ary4UCa7fEo/s640/1.jpg)
10 years ago
GPLKOICA WAZINDUA MRADI WA UMEME SEKONDARI YA IGOGO MWANZA
10 years ago
Habarileo17 Aug
Koica yaipa shule ya kata vitabu 500, maabara
SHIRIKA la Kimataifa la Kujitolea la Korea (KOICA) limekabidhi vitabu 500 pamoja na maabara ya kufundishia masomo ya sayansi kwa uongozi wa sekondari ya kata ya Msambweni, mradi uliogharimu Dola za Marekani 16,725 (Sh milioni 27).
10 years ago
Dewji Blog20 Apr
KOICA wakipiga jeki chuo cha walemavu Sabasaba Singida
Kaimu mwakilishi wa shirika la KOICA Tanzania, Jieun Park, akizungumza kwenye sherehe za uzinduzi rasmi wa mradi wa uboreshaji wa miundombinu ya chuo cha ufundi kwa watu wenye ulemavu cha Sabasaba mjini Singida.Kushoto ni mkuu wa wilaya ya Singida, Saidi Alli Amanzi na kushoto ni mwenyekiti wa walemavu wa ngozi mkoa wa Singida.
Mkuu wa chuo cha ufundi kwa watu wenye ulemavu cha Sabasaba manispaa ya Singida, Fatuma Malenga,akitoa taarifa yake kwenye sherehe ya uzinduzi wa mradi wa...
11 years ago
Michuzi15 Jul
MRADI WA MIL 700/- WA MATUMIZI YA RASILIMALI ENDELEVU USAMBARA WAANZA
![DSC_0008](http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2014/07/DSC_00082.jpg)
Na Mwandishi wetu, KorogweShirika la Umoja wa Mataifa la Elimu, Sayansi na Utamaduni (UNESCO) limezindua mradi wa mamilioni katika eneo la...
11 years ago
GPL![](http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2014/07/DSC_00082.jpg)
MRADI WA MIL 700/- WA MATUMIZI YA RASILIMALI ENDELEVU USAMBARA WAANZA