Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Waziri aagiza maRC, DC kuchukua hadhari ya ebola

WAZIRI wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu, Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (Tamisemi), Hawa Ghasia ameagiza waganga wakuu wa mikoa na Halmashauri za Wilaya kuongeza kiwango cha kuchukua hadhari juu ya ugonjwa wa ebola.

habarileo

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Habarileo

Wasisitiziwa kuchukua tahadhari ya ebola

WANANCHI wilayani Masasi, wametakiwa kutokuwa na hofu na badala yake waendelee kuchukua tahadhari za kujikinga na ugonjwa hatari wa ebola ikiwa ni pamoja na kuepuka kugusa ama kuingiwa na mate, damu, mkojo, jasho, kinyesi pamoja na majimaji mengine yanayotoka mwilini mwa mtu mwenye ugonjwa huo.

 

11 years ago

Michuzi

11 years ago

Mwananchi

Waziri Nyalandu aagiza wavamizi kuondoka

Serikali imesema haitaogopa wala kumvumilia mtu atakayevamia maeneo ya hifadhi na mapori ya akiba kwa lengo la kuhujumu maliasili.

 

10 years ago

Habarileo

Waziri aagiza uingizaji wa bidhaa udhibitiwe

WAZIRI wa Nchi, Ofisi ya Makamu wa Rais (Mazingira), Dk Binilith Mahenge amezitaka mamlaka husika kuimarisha ulinzi mipakani na bandarini ili kudhibiti uingizwaji wa bidhaa hafifu zisizo na viwango, ikiwamo mifuko ya plastiki ambayo imekuwa ikizagaa mitaani na kuchafua mazingira.

 

11 years ago

Mwananchi

Waziri ambana mkandarasi, aagiza asilipwe

Naibu Waziri wa Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (Tamisemi), Aggery Mwanri amezuia kufanyika kwa malipo yoyote kwa mkandarasi mmoja wilayani Maswa mkoani Simiyu baada ya kugundua kuwepo kwa kasoro katika mradi wa ujenzi wa mkandaasi huyo.

 

9 years ago

StarTV

Waziri Kitwanga aagiza ukaguzi wa kina Uhamiaji

Waziri wa Mambo ya Ndani, Charles Kitwanga amemwagiza Katibu Mkuu  wa Mambo ya Ndani kupeleka wakaguzi katika Idara ya Uhamiaji ili kuweza kuondoa utata na kujua malipo yanayofanyika kwa njia ya benki.

Waziri Kitwanga ametoa maagizo hayo baada ya kutembelea makao makuu ya Idara ya Uhamiaji na kujadiliana mambo mbalimbali na wakuu wa idara ili kuboresha utendaji kazi.

Mbali na Agizo hilo Waziri Kitwanga pia amewaagiza uhamiaji kukaa pamoja na Kamishna wa kazi ili kuweka utaratibu mzuri wa...

 

10 years ago

Habarileo

Waziri aagiza kuimarishwa bandari ya Mkoani Pemba

WAZIRI wa Mawasiliano na Miundombinu wa Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar, Juma Duni Haji amelitaka Shirika la Bandari kuimarisha bandari ya Mkoani Pemba ambayo imetangazwa kuwa lango kuu la kiuchumi.

 

9 years ago

Habarileo

Waziri Mkuu aagiza kasi ukusanyaji mapato

WAZIRI Mkuu, Kassim Majaliwa ameagiza halmashauri za wilaya, manispaa na majiji nchini, kuongeza kasi katika ukusanyaji wa mapato ya ndani, hatua itakayosaidia kuboresha huduma za afya na kuharakisha shughuli mbalimbali za maendeleo.

 

10 years ago

Vijimambo

Waziri aagiza Dawasco iwaondoe mameneja wawili

Naibu Waziri wa Maji, Amos Makalla akiwa ameongozana na watendaji wa Kampuni ya Maji Safi na Majitaka Dar es Salaam (Dawasco) wakati wa ziara ya kuwabaini wezi wa maji jana. Picha na Kelvin Matandiko, Mwananchi
Dar es Salaam. Naibu Waziri wa Maji, Amos Makalla ameuagiza uongozi wa Bodi ya Kampuni ya Maji Safi na Majitaka Dar es Salaam (Dawasco), kuwaondoa mameneja wawili wa kampuni hiyo kutokana na wizi wa maji kufanyika kwenye maeneo yao.

Makalla amesema udhaifu unaofanywa na watendaji wa...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani