Dude Asema Akili Yake ni Mbovu Ndiomana Anashindwa Kuoa
Mwigizaji nguli wa filamu za hapa Bongo, Kulwa Kikumba, amesema licha ya kuishi na mzazi mwenzie kwa zaidi ya miaka kumi, anashindwa kuoa kwa sababu akili yake siyo nzuri.
Akipiga stori mbili tatu na mwanahabari wa GPL, Dude alisema linapokuja suala la kulaumiwa kuchelewa kuoa, anastahili kwani hakuna kitu kinachomsababisha asioe zaidi ya akili yake kuwa mbovu.
“Mimi akili yangu tu bwana ndiyo mbovu, hakuna kitu cha ziada ninachoweza kujitetea, kama kuona ningeoa siku nyingi sana,...
Bongo Movies
Habari Zinazoendana
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/79xb1yI4El*JMqoAbUa-8LG*oV20xik83KbpRHQUd9M5pVxRYAc3fkziNlCLERAtSjA5Zv6j0tvUTWYvHnk9ZZuTjxwJtG9S/d.jpg?width=650)
DUDE: AKILI YANGU MBOVU NDIYO MAANA SIOI
9 years ago
Bongo528 Sep
Davido asema hana mpango kabisa wa kuoa kwa sasa
10 years ago
Bongo521 Jan
Dude asema anakubaliana na Steps kuuza filamu moja Tsh 1,500
10 years ago
Vijimambo![](http://3.bp.blogspot.com/-WCrGKnurb58/VKoK9wdvMfI/AAAAAAADURI/kUQGaRDVP3c/s72-c/k.jpg)
ALIKIBA AWAJIBU WANAODAI VIDEO YAKE YA WIMBO WA ‘MWANA’ NI MBOVU
![](http://3.bp.blogspot.com/-WCrGKnurb58/VKoK9wdvMfI/AAAAAAADURI/kUQGaRDVP3c/s1600/k.jpg)
10 years ago
Vijimambo![](http://4.bp.blogspot.com/-ILvs5R2vL9M/VM8eP9PblWI/AAAAAAAAF74/tvwGxlq3-Fw/s72-c/diamond%2Bplatnumz%2Bna%2Bzarir.jpg)
Zari Hassan kufunga ndoa na Nasibu Abdul ‘Diamond Platnumz’, "Asema hakuna umri maalumu wa Kuoa au Kuolewa"!
![](http://4.bp.blogspot.com/-ILvs5R2vL9M/VM8eP9PblWI/AAAAAAAAF74/tvwGxlq3-Fw/s640/diamond%2Bplatnumz%2Bna%2Bzarir.jpg)
10 years ago
Bongo Movies22 Jan
Dude akubaliana na bei ya Tshs. 1500 kwa filamu. Asema ndio njia pekee ya kupambana na uharamia.
Masanii wa filamu nchini Dude, amefunguka kwa kusema kuwa kwa kuwa serikali imeshindwa kupambana na wezi wa kazi za wasanii ni bora bei ya Steps Tsh 1500 iyendelee ili kuiyokoa tasinia hiyo.
Dude ameiambia tovuti ya Bongo5 kuwa hakuna njia kwa sasa ya kuweza kupambana na maharamia wa kazi za wasanii zaidi kushusha bei ya filamu.
“Tumeshindwa kuwathibiti pirates, watu wanasambaza kazi, wanauza kazi kwa bei rahisi, leo hii ukienda Buguruni unapata kazi kwa elfu mbili, elfu moja mia tano,...
9 years ago
Global Publishers31 Dec
Kuoa wake wanne sawa, lakini mpe mkeo haki yake!
Asalam alaikum wapenzi wasomaji wangu wote ambao mmekuwa pamoja katika mada zangu ninazotoa kila wiki, kwa wale wagonjwa poleni sana.
Leo nimeamua kuja na mada hii kwa sababu nimepata malalamiko kutoka kwa msomaji wangu aliyeamua kunywa sumu baada ya kuona mume wake ameoa bila kumwambia na kusubiri kuambiwa na jirani yake aliyempelekea umbeya.
Hivi wanaume mnadhani ni sahihi kuoa bila kuwaandaa wake zenu? Je, dini inasemaje katika suala hili, hakika kama wewe ni muumini wa dini inayoruhusu...
10 years ago
GPL01 Jun
9 years ago
Bongo Movies08 Sep
Mwaka Huu Nimewajua Wasanii Waliokuwa na Akili na Wasiokuwa na Akili-Ray
"(FREEDOM OF SPEECH)
Kuna vitu vingi sana nimegunduakwenye uchaguzi wa mwaka huu nimewajua baadhi ya wasanii waliokuwa na akili na wasiokuwa na akili japokuwa nami nawezakuwa mmoja wapo katika hao wasiokuwa na akili. Why nasema hivi na samahani kama nitakuwa nime2mia lugha kali, Unajua nashanga sana sasa hivi kumekuwa na vita baina ya wasanii wanaosapoti (CCM) Na (UKAWA)
Jamani siasa ni democracy kila m2 ana haki yakuwa upande anayeuona yeye unamfaa. Mimi nilidhani badala ya kuwa na...