Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Iraq yasema haisaidiwi kukabili IS

Iraq yasema kuna ushahidi mdogo wa kuwepo kwa uungwaji mkono wa kimataifa katika vita dhidi ya wapiganaji wa IS

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

BBCSwahili

Uganda yasema haitishwi na vikwazo

Uganda imesema haitishwi na vikwazo ilivyowekewa na Marekani kwa kupitisha sheria dhidi ya mapenzi ya jinsia moja ikisema havina athari kubwa kwa nchi hiyo

 

9 years ago

BBCSwahili

Urusi yasema huenda ikashambulia IS

Rais wa Urusi Vladimir Putin amesema taifa hilo linaweza likashambulia wapiganaji wa Islamic State iwapo hilo litaidhinishwa na Umoja wa Mataifa.

 

9 years ago

Mzalendo Zanzibar

NEC yasema wenzetu wametugeuka

Mwenyekiti wa tume ya uchaguzi akemea hatua ya viongozi wa kisiasa kushawishi wafuasi wao wasiondoke eneo la kupigia kura huku akibainisha ni kinyume cha taratibu.

The post NEC yasema wenzetu wametugeuka appeared first on Mzalendo.net.

 

10 years ago

BBCSwahili

Marekani yasema imefanikiwa dhidi ya IS

Mkuu wa majeshi wa Marekani amesema kampeni ya miezi mitatu dhidi ya dola ya kiislamu Islamic State imekuwa na mafanikio.

 

10 years ago

Mtanzania

TEC yasema ni Katiba ya CCM

Makamu wa Rais wa Baraza la Maaskofu Tanzania (TEC), Askofu Severin Niwemugizi

Makamu wa Rais wa Baraza la Maaskofu Tanzania (TEC), Askofu Severin Niwemugizi

NORA DAMIANI, DAR ES SALAAM

MAKAMU wa Rais wa Baraza la Maaskofu wa Katoliki (TEC), Askofu Severin Niwemugizi, amesema licha ya Rasimu ya Katiba inayopendekezwa kupitishwa na wajumbe wa Bunge Maalumu la Katiba jana, kelele za kudai Katiba Mpya hazitaisha kwani mchakato wa upatikanaji wake haukuwa wa maridhiano.

Akizungumza na gazeti hili jana, Askofu Niwemugizi alisema mchakato mzima umeendeshwa kwa mtazamo,...

 

10 years ago

BBCSwahili

Man U yasema haitaongeza mshambuliaji

Kocha mkuu wa Manchester United Louis Van Gaal ametamba kuwa hatanunua mshambuliaji mwingine kwani alio nao kwa sasa wanatosha wakiongozwa na Wayne Rooney.

 

11 years ago

BBCSwahili

Facebook yasema itainunua WhatsApp

Facebook imesema kuwa itanunua mtandao wa mawasiliano ya ujumbe mfupi wa simu WhatsApp kwa kima cha dola bilioni kumi na sita.

 

10 years ago

Mwananchi

Hatutaahirisha Uchaguzi, yasema NEC

Dar es Salaam. Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC), imesema haina mpango wa kutaka kuiongezea muda Serikali ya Awamu ya Nne kwa kuahirisha Uchaguzi Mkuu ambao kikatiba hutakiwa kufanyika Oktoba ya mwaka wa uchaguzi.

 

11 years ago

BBCSwahili

Nigeria yasema Mugabe amewatusi

Wizara ya mashauri ya nchi za nje ya Nigeria yamuelezea balozi wa Zimbabwe kwamba kusema Nigeria ina rushwa ni kuitusi

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani