Madiwani Kyela wajinoa usafi wa mazingira Kibaha
MADIWANI wa Halmashauri ya Wilaya ya Kyela mkoani Mbeya wamefanya ziara ya mafunzo kwa kuitembelea Halmashauri ya Mji Kibaha kwa lengo la kujifunza jinsi ya uboreshaji na usafi wa mazingira....
Tanzania daima
Habari Zinazoendana
10 years ago
Habarileo08 Oct
Madiwani Kyela wajifunza usafi Kibaha
MADIWANI wa Halmashauri ya Kyela mkoani Mbeya wamefanya ziara ya mafunzo kwa kutembelea Halmashauri ya Mji Kibaha kujifunza uboreshaji na usafi wa mazingira.
11 years ago
Tanzania Daima22 Dec
Madiwani wafanya ziara ya usafi
MADIWANI wa Halmashauri ya Wilaya ya Kilombero Mkoa wa Morogoro wamefanya ziara katika Halmashauri ya Mji wa Mpanda yenye lengo la kujifunza wenzao walivyofanikiwa kuwa mshindi wa kwanza wa usafi ...
11 years ago
Habarileo23 Dec
Madiwani wasifu Mji wa Mpanda kwa usafi
MADIWANI wa Halmashauri ya Wilaya ya Kilombero mkoani Morogoro wameimwagia sifa Halmashauri ya Mpanda-Mji mkoani Katavi iliyoibuka kidedea na kushika nafasi ya kwanza ya hamashauri za miji nchini katika mashindano ya Usafi Kitaifa kwa miaka miwili mfululizo.
11 years ago
Mwananchi21 May
Dengue kuwakumbusha usafi wa Mazingira
10 years ago
MichuziKAMPUNI YA BEACON WAHAMASISHA USAFI WA MAZINGIRA.
11 years ago
Dewji Blog29 Apr
Wananchi waaswa kuzingatia usafi wa mazingira
Afisa Afya wa Manispaa ya Temeke Bw.Willium Muhemu akifafanua kwa waandishi wa habari mafanikio yaliyofikiwa na Manispaa hiyo katika kuwaondoa wafanyabiashara wanaofanya biashara katika maeneo yasiyo rasmi pamoja na watu wote wanaochafua mazingira,Kulia ni Afisa Uhusiano wa Manispa hiyo Bi. Joyce Nsumba.(Picha zote na FRANK MVUNGI-maelezo).
Afisa Mazingira wa Halmashauri ya Manispaa ya Temeke Bw.Ernest Mamuya akizungumza na waandishi wa habari (hawapo pichani)kuhusu hatua...
10 years ago
MichuziTBL YAPATA USHINDI WA USALAMA NA USAFI WA MAZINGIRA
9 years ago
Mwananchi11 Dec
Vitendea kazi ni muhimu kwa usafi wa mazingira
11 years ago
MichuziRED CROSS YASAIDIA WANAFUNZI WAISHIO MAZINGIRA MAGUMU KIBAHA