Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Wanyama wafukuzisha kazi watu Australia

Watu 10 wafukuzwa kazi kwa kosa la kutumia wanyama hai, kutoa mafunzo.

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

BBCSwahili

Watu na Wanyama pori wasombwa Georgia

Mafuriko makubwa yaliyoikumba mji mkuu wa Georgia, Tbilisi,yamesababisha maafa ya watu 8 pamoja na wanyama wa porini

 

10 years ago

Michuzi

WATU WA CHINA WAZINDUA KAMPENI YA KUWALINDA WANYAMA DHIDI YA UJANGILI


Balozi wa China nchini Tanzania, Dk.Lu Youqing (katikati), akihutubia wakati akizindua kampeni ya kupambana na ujangili viwanja vya Leaders Club Dar es Salaam leo asubuhi. Kampeni hiyo imeanzishwa na watu wa China kwa ajili ya kuunga jitihada za watanzania katika mapambano hayo ya kuwalinda wanyama dhidi ya ujangili hasa tembo.Balozi wa China nchini Tanzania, Dk.Lu Youqing (kulia), akimpa zawadi ya mpira kwa niaba ya wanafunzi wa Shule ya Msingi ya Kinondoni, Faudhia Eddy katika uzinduzi...

 

10 years ago

GPL

WATU WA CHINA WAZINDUA KAMPENI YA KUWALINDA WANYAMA DHIDI YA UJANGILI‏

Balozi wa China nchini Tanzania, Dk.Lu Youqing (katikati), akihutubia wakati akizindua kampeni ya kupambana na ujangili viwanja vya Leaders Club Dar es Salaam leo asubuhi. Kampeni hiyo imeanzishwa na watu wa China kwa ajili ya kuunga jitihada za watanzania katika mapambano hayo ya kuwalinda wanyama dhidi ya ujangili hasa tembo. Balozi wa China nchini Tanzania, Dk.Lu Youqing (kulia), akimpa zawadi ya mpira kwa niaba ya wanafunzi...

 

10 years ago

BBCSwahili

Roboti kuchukua kazi za raia Australia

Takriban asilimia 40 ya kazi nchini Australia ambazo zipo kwa sasa huenda zikapotea katika kipindi cha kati ya miaka 10 hadi 15 ijayo

 

10 years ago

Vijimambo

Unawaambia nini watu wanaodharau kazi za watu?

Kila binadamu ananjia zake za kutafuta ridhiki ili aweze kuishi na kupata mahitaji yake muhimu,kuna binadamu ambao wao hujiona ni bora kuliko wengine mpaka kufika hatua ya kuwadharau na kuwapuuza watu wa kipato cha chini,wanasahau kuwa maisha ni kutegemeana huyu asipofanya kazi ya kuuza mkaa yeye anaweza kushindwa kula sababu ili ale huenda mkaa ungesaidia kupika.huyu asipozibua vyoo kesho wewe utashindwa kutumia choo chako ulichokijenga kwa gharama kubwa.

 

5 years ago

BBCSwahili

Virusi vya corona: Wanyama wa mwituni wanavyokatiza mitaa ambayo watu wake wanajifungia ndani kuzuia kusambaa kwa Covid-19

Picha za Wanyama hao zimepigwa katika nchi tofauti duniani ambazo raia wake wanatekeleza maelekezo ya kuzuia kasi ya janga la corona.

 

10 years ago

Vijimambo

WAFANYAKAZI WA HOSPITALI YA WANAWAKE NA WATOTO MJINI CANBERRA NCHINI AUSTRALIA WAONYESHA NIA YA KUJA KUFANYA KAZI TANZANIA

sa1Mke wa Rais Mama Salma Kikwete akikaribishwa na Mama Elizabeth Chatham, Mkurugenzi Mtendaji wa Hospitali ya Caniberra nchini Australia inayotoa huduma ya Afya ya Mama, vijana na watoto mara baada ya kufika eneo la hospitali kwa madhumuni ya kujionea namna bora yautoaji huduma. Mama Salma yupo nchini Australia akifuatana na mumewe Rais Jakaya Kikwete kwenye ziara rasmi ya kiserikali nchni humo.sa2Mke wa Rais na Mama Salma Kikwete na mwenyeji wake Mkurugenzi Mtendaji wa Hospitali ya...

 

9 years ago

BBCSwahili

Twitter kuwafuta kazi watu 336

Mtandao wa Twitter umesema kuwa unapunguza kazi 336 ikiwa ni asilimia 8 ya ajira zote duniani za mtandao huo kama mpango wa kuimarisha biashara yake.

 

10 years ago

Bongo5

Je wajua kwanini watu hufukuzwa kazi?

Sio utani unaposikia kuna suala la kufukuzwa kazi kwani inakupunguzia ujasiri wako binafsi kwa familia yako, mke wako, watoto wako na hata jamii inayokuzunguka. Vile vile inaweza ikawa ni kitu cha kukufanya ujitambue zaidi na kujua kitu gani cha kufanya ingawa si rahisi, kwa urahisi ni kwamba kazi ilifikia mahali kwamba si ya kwako tena. […]

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani